Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Nakumbuka 2015 Ramadan Ilinikuta huko. Ase ilikua ni shida msosi kuupata nimpaka ufike church STONE TOWN na ukifika hapo inabidi ukaguliwe na kale kamashine kama umebeba mabomu, mguu WA kuku or anything ndo ingie

Pia kuna sehemu moja DARAJANI kushawai kutegwa bomu na kuripuka asubuhi kpindi watu wanakunywa chai
 
Nimeona kwanin watu wanakua na chuki na ubaguzi kwao wenzao.


utakutia wanaingiza chuki katika swala la udini.
Kwenye ukristo kuna masharti yake mfano kuna fidia ya ubatizo kama hujalipa unaweza kubatizwa?.
Kama ukiwa mlokole hivi Lutheran au wakatoliki watakusalia na kukuzika?
Kwa waislam wao hata uwe shia basi ukifa watakuzika tu hata uwe na dhehebu lipi utadhikwa tu. Kila sehemu na sheria yake usiifanye sheri kuwa njia ya ubaguzi.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Wenyewe wakila hawamlazimisgi mtu kula umesikia wapi mtu analazimishwa kula but wanaoshinda njaa ndo wanataka kila mtu ashinde njaa....chezea njaa wewe....mtu anaona wivu wenzie kula....cha msingi kila mtu afuate imani yake tusilazimishane kufuata imani za wengine
Ndiyo maana hawajaja kukulazimisha kwenu,umewafuata kwao acha waishi maisha yao.
 
Ndiyo maana hawajaja kukulazimisha kwenu,umewafuata kwao acha waishi maisha yao.
Nimewafuata kwao wapi...kwao misikitini???....jamuhuri ya muungano wa tanzania inatambua waislamu,wakristo na watu wasio na dini...wewe ukiwa muislamu or mkristo or mpagani unaruhusiwa kuishi sehemu yoyote ndani ya jamuhuri ya muungano wa tanzania na kuishi vyovyote utakavyo pasipo kuvunja sheria za nchi...
 
Wallah Nakwambia ndugu zetu wa bara wanachuki na sisi hata sijui kwanini.


Kwanin inakua hivi lakini kubaguana hatuwezi kuishi kwa amani halafu eti ndo nchi ya amani kisa tu hatupigani ila tunachukiana wenyew kwa wenye.
Wakristo bwana!! Sasa hizi propaganda za uongo zinasaidia nini,??? Mbona sehemu za kula kwa wasio Waislamu ziko nyingi..
Ukenda Maisara sehemu moja inatwa CCM inapata chakula unachotaka..

Anyway, Zanzibar iko hivyo miaka nenda miaka rudi mbona Wakristo wazawa wa Zanzibar hawajalalamika!!!!?
 
Nimewafuata kwao wapi...kwao misikitini???....jamuhuri ya muungano wa tanzania inatambua waislamu,wakristo na watu wasio na dini...wewe ukiwa muislamu or mkristo or mpagani unaruhusiwa kuishi sehemu yoyote ndani ya jamuhuri ya muungano wa tanzania pasipo kuvunja sheria za nchi...
Kumbe ulikuwa unalenga kutaja msikiti,we ulizungumzia chakula,na ulisema huko umeenda tu,sasa mahali siyo kwenu unataka kuwabadilishia maisha wewe kama nani?acha ushamba wewe,maisha ya kibandani kwako unataka yakawe ya wenye mji wao?
 
Na hizi chuki baina ya pande mbili hazitokwisha.
M'mefunga kitapeli tapeli, wenyewe mnaita 'kwaresma' hakuna mtu kawasemesha humu. Baada ya Ramadhan Kareem kuanza tu, kihere here, maneno, uzushi hauishi humu JF ! Hivi mna nini Wagalatia !?
 
Unapo zungumzia neno HAKI,ubaguzi tena ukazidi kuseama SA wamevitendea haki ----nimekudharau kiwango cha mnara ulio juu---south afrika ndo inch inayo ongoza kwa ubaguzi afrika tena ubaguzi wakutoa damu kwa kuchinja na kupiga mpka kuua-nakupa fursa yakutaja inchi zengine ila si kwa ulio itaja---kadanganye unao waona mazuzu ila si humu jf mkuu-humu ni great thinkers watupuu

ubaguzi unao zungumzia ni hupi.maana huku uliopo ni zile chuki za wanasiasa kukosa sera na kueneza kuwa wageni ndio wanamaliza ajila,wakati wao wenyewe hawataki kazi,kusoma ni mbinde yani shuleni washawekewa kondom na kuhamisishwa,uhuru uliopitiliza hata mtoto kuhamua kufanya lolote,hupigi mwanamke huu kama unataka kwenda jela.
wenyewe wazawa wamepewa kila kitu lakini hawa jitambui.
 
Mi naishangaa sana hii dini yani wana akili mbovu mbovu mbovu
Hizi ndo akili mbovu mbovu !
Wote hawa ni kwa jina la Yesu.
 
Eti zenj kuna sehemu wakristo wamepangiwa sehemu ya kula. Msilete uPimbi nyie
Mim binafsi sijawahi kuona.


Wanaenda madukani wananunua wanachokitaka na wanauziwa.


mahoteli chakula kinauzwa sijui nin hawa jamaa wanachokitaka.
 
Laanatullah.


Lkini hawa watu usiwashangae walikua hivi hivi tokea enzi za mitume na manabii.
Makafiri hawawezi kufurahi kuona kuna sehemu waislamu wamekaa kwa amani.
Laana ya Mungu iwe juu yao wote wenye chuki na Dini hii.
 
katika sehemu hakuna dini ni huku,hata leo kuona dini huku unashangaa unakuta ostazi au imamu ,mchunhaji kumbe jambazi,muaji,shoga n.k
huku sio kabisa
Wakatoliki wamewatafuna watoto wabeba mishumaa Altareni mpaka Papa kaomba radhi Dunia nzima !
 
Yaani kuna vitu vinatia hasira.
Inaonekana utumwa bado haujaisha huko, na Elimu hamna.
 
Waislam hawafungi wanabadilishaga Muda kula tu badala ya kula mchana wanakula usiku.

Unafuturu saa 1 jioni (sawa na breakfast)

Unakula daku saa 4 usiku (Sawa na Lunch)

Unakula daku saa 10 alfajiri (hii chakula cha usiku) [emoji16][emoji16] hapa umefunga nini? Kama sio kuibiana.

Ukifunga ndani ya saa 24 kula mara moja tu, hio ndio kujiweka ndani ya nadhiri. Ila hii yakushindilia chakula masaa mawili kabla ya wafanyakazi kunywa breakfast waende kazini unasema umefunga kumbe umekula alfajiri ni mbwembwe
Kama ni rahisi mbona nyie mvmeshindwa !
Mnafanya utapeli tapeli na ujanja ujanja wenyewe mnaita kwaresima. Eti unafunga kula nyama, sijui kunywa bia, hajulikani saa ya kuanza wala ya kumaliza. Utapeli tapeli tuu ! Kafiri jahil !
 
Huyu hajakatazwa na mtu ,tumia akili,humu jf,kuna wanaojifanya ni wakristo,wanaleta nyuzi za kuwagombanisha waislam na wakristo,na wapo pia wanaojifanya waislamu,kuwagombanisha wakristo na waislamu,wanatumia ID tofauti.
Uislamu umetoa ruhusa ya kutokufunga kwa waislamu
Wagonjwa
Wazazi waliojifunguwa karibuni
Watoto wadogo
Wazee sana,wasiojiweza
Wanawake wanaonyonyesha
Wasafiri
Kwa hiyo Zanzibar nzima,haina waislamu wenye dharura za hapo juu?Ambao hawafungi,ila ni yeye asiye na dini mmoja,anayejifanya ni mkristo.
Wakristo wanapofunga huwa wanawakataza nyie kula?!
 
Back
Top Bottom