Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Miss aleesha, Naomba nikuambie kitu kimoja, ni kweli hakuna Mzanzibar aliewahi kumpenda mtu wa bara, ila hakuna Mnzanzibar alie bara anaetaka kurudu Zanzibar, nakueleza hayupo, hayupoo

Na ndio maana wanaotaka kujitenga ni wanzanzibar wa Nzanzibar bali sio Wanaoishi Bara

Hakuna mtu anataka mateso sasa hivi
Kuna mpemba yuko morogoro pale hataki hata kupasikiia kwao
 
Punguza hasira mkuu. Ukipanda boti kwenda znz unalipia kwa shillings na wazungu wanalipa kwa dollar. Hapo huoni ubaguzi?
Fuata taratibu za sheria hivi huyu mleta mada angenunua chakula na kwenda kula kwake au kanisani nani angemfatilia?. Kwanini hakufanya hivyo?


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Usitetee ujinga mkuu hilo la kulazimishana ni uzwazwa funga wewe na moyo wako upate thwawabu akila mtu mwingine wewe inakuhusu nini? Acheni upuuzi bwanaa
 
Wazee wa mchezo wa mapadri
Rekodi ya mohammad yavunjwa singida
Screenshot_20190526-115542~2.jpeg
 
Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
wanafiki sana
 
Kwakweli wewe ni muislamu unaejielewa sana mkuu. Hongera kwa hilo, natamani waislamu wengine waige mfano wako.
Mkuu kuna mijamaa imeingia dini alafu inaingiza tabia zao binafsi na kusingizia eti ni taratibu za dini, dini inatutaka tufunge na funga ni miongoni mwa nguzo 5 za uislam na muongozo hausemi tushurutishe watu kufuata tunachotaka watu tulofunga.
 
Mara nyingi mtu hujikuta hautambui unachohitaji hasa ni nini. Tangu mwez mtukufu umeanza wengi mnakuja na malalamiko ambayo hayaeleweki hasa mnahitaji nini.
kwamba mnalalamika kwa sababu ngozi nyeupe wanaruhusiwa kula hadharani na ninyi hamruhusiwi? kwamba ikitokea na ngozi nyeupe wakakatazwa kula hadharani bas hapo hamtalalamika tena?
Huna hoja ya msingi mkuu swala ni kwamba zanzbr wanafeli huwez kuweka sheria kutetea huu ungese kwamba ni marufuku mtu kula hadharani
 
Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Mara nyingi waletaji mada za kuwachonganisha waislamu na wakristo sio wakristo wala sio waislamu,ni watu wasiokuwa na dini kama wewe mleta mada.Katika uislamu,wapo waislamu wameruhisiwa na dini ya kiislamu wasifunge katika mwezi wa Ramadhani kama
1.Wanawake waliojifunguwa hivi karibuni
2.Wanawake wanaonyonyesha
3.Wagonjwa
4.Watoto wadogo
5.Wasafiri
Kwa hiyo wataka kutumbia huko Zanzibar hakuna waislamu wenye matatizo hayo?Ambao wanakula mchana ila ni wakristo tu,katka Zanzibar nzima.Wacha unafiki wewe sio mkristo,ni mtu usiye na dini.
 
Pumba kabisa, yani ela yangu, halafu nipangiwe cha kufanya, mfano kama njaa imeniuma halafu nimenunua chakula tegeta na mimi ninakaa mbagala, nitoe nauli nipande gari nikale nyumbani kwangu mbagala, halafu nitoe tena nauli nirudi kazini tegeta kuendelea na kazi, kisha jioni tena nipande gari kurudi nyumbani.

kisa mmefunga, hasa funga yenu mimi inanihusu nini, kama nikila hadharani wewe unapungukiwa nini kama ni kutamanishwa chakula kwani lazima unione nikiwa nakula.

Ujinga ujinga ujinga mzigo
Punguza hasira mkuu. Ukipanda boti kwenda znz unalipia kwa shillings na wazungu wanalipa kwa dollar. Hapo huoni ubaguzi?
Fuata taratibu za sheria hivi huyu mleta mada angenunua chakula na kwenda kula kwake au kanisani nani angemfatilia?. Kwanini hakufanya hivyo?


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
nina ishi south africa huku dini ni yako mwenyewe hakuna anaye kubuguzi yani kitu kinacho hitwa haki ya binadamu huku wamekitendea haki.
mpaka muislamu kafunga lakini anauza mgahawa wake watu wanakula,huku kila mtu yupo huru [emoji23]
Si huru, ugalatia umejaa huko ! Huko hata Kariakoo migahawa imefunga
 
Waislamu bwana, yaani wanataka kile wanachokiamini kila mmoja akiamini pia. Tena kwa nguvu!
Huyu aliyeleta huu ,uzi sio mkristo,ni mtu anataka kuchonganisha waislamu na wakristo.Ndani ya uislamu wapo waislamu wanaruhusiwa,kutokufunga kwa dharura mbali mbali,kama.
Ugonjwa
Uzazi
Watoto wadogo
Wasafiri
Hawa wote watakuwa Zanzibar hakuna ?
 
Ficha upumbavu wako, mtu aache kukaa kwake nje na kula kwa raha kisa tumefunga? Huo ni upumbavu.
Nimezaliwa kwenye dini lakini huu ujinga sikuwahi kufundishwa wala kuuona kwetu
Anakula nje ili iweje !? Wacha ulofa wako wa akili, pumbavu mwili mzima wewe !
 
Back
Top Bottom