Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Sawa mkuu mimi nimekuelewa
 
Sasa ww njoo huku zanzibar alafu alafu ule njiani au hadharani uone tutavyo kufanya...
Ok...zanzbar nimeishi sana mkuu na kuna wajinga kama wewe walishataka kuleta huu ujinga unaosema wewe nilichowafanya hawawezi kuja kunisahau...
 
Kwanini mkataze watu kula!
 
Hujawahi ww unaongea tu njoo sasa tukutie adabu unadhani ni dini ya gwajima hii
Ok...zanzbar nimeishi sana mkuu na kuna wajinga kama wewe walishataka kuleta huu ujinga unaosema wewe nilichowafanya hawawezi kuja kunisahau...
 
Wanasema ukienda kwenye mji wa vipofu nawe jifanye chongo mkuu, sasa we unataka kujifanya una macho wakati mamlaka zipo na zinajua watu wote kwenye mji huo ni vipofu.
Hapo ndo tunapozitilia shaka baadhi ya dini...wenyewe kwanini walete taratibu zao za dini huku mitaani....kuna siku wasabato nao watatupiga marufuku kunywa chai sababu dini yao hairuhusu kutumia majani ya chai
 
Mkuu kwani nikila hadharani nikionekana kuna ubaya gani...nakuwa nimevunja sheria gani ya nchi???
ni gesture ya kuwatafuta maneno,wala si kwamba unawamanisha kwani hata wao huo mchana kuna vyakula vinapikwa ajili ya futari,sasa wewe umetoka katikati ya mtaa na kuanza kubugia matonge ya ugali it is a fk you gesture kwao na lazima wakudisplin
 
Hujawahi ww unaongea tu njoo sasa tukutie adabu unadhani ni dini ya gwajima hii
Ndo mana nimekwambia jichanganye uone nitakachokufanya...kuna wajinga kama wewe washawahi jichanganya sasa nizamu yako wewe kujichanganya...kwani shida ipo wapi??si nakutajia tu naposhinda na time ambayo napata lunch tena hadharani ile uje na hao wajinga wenzio wanaotaka watu wote tufuate hizo dini zenu mlizoletewa na wazungu nikupe funzo...njo pm nikupe details mkuu hapa naona tutaendelea kubishana tu
 
Mr Morogoro,hata utilie wasiwasi haisaidii,Mungu mwenyewe alisema fuata dini ambazo ndo zina amri zake au laa,atakutupa jehanumu ufe huko,je unamtilia wasiwasi Mungu kwa kulazimisha watu wamwabudu?
 
Hapo ndo tunapozitilia shaka baadhi ya dini...wenyewe kwanini walete taratibu zao za dini huku mitaani....kuna siku wasabato nao watatupiga marufuku kunywa chai sababu dini yao hairuhusu kutumia majani ya chai
Mkuu kitu ambacho hakipo ukitaka kukiweka hivi sasa ni tatizo. Lakini umeona wapi ndani ya Zanzibar adhana muda wote na watu wakawa wanakasirika kuwa wanakerwa na kelele zake, lakini katika miji mengine si wanasema wanafanyiwa kelele na adhana? Lakini hapo hapo kuna bar jirani na inapiga mziki usiku kucha watu hao hao hawasemi kuwa wanakerwa na kelele za mziki kutoka bar. Ndipo nikasema usilazimishe kitu ambacho kipo katika mji wa watu kifanane na katika mji wako au kilichopo katika mji wako kifanane na katika mji wa watu. Upo katika mji wa watu fuata taratibu zao na hutogombana nao. Faqat.
 
Mr Morogoro,hata utilie wasiwasi haisaidii,Mungu mwenyewe alisema fuata dini ambazo ndo zina amri zake au laa,atakutupa jehanumu ufe huko,je unamtilia wasiwasi Mungu kwa kulazimisha watu wamwabudu?
Mkuu unaniletea maswala ya mungu sijui alisema nini mi nayajulia wapi ..hujui nchi yetu kila mtu ana uhuru wa kuchagua dini yoyote na inatambua hata wasio na dini
 
Mkuu kwani nikila hadharani nikionekana kuna ubaya gani...nakuwa nimevunja sheria gani ya nchi???
Unakula hadharani hali ukijua ni hadharani wakati huo huo ukijua jamii kubwa imo katika ibada ya funga, hayo ni makusudi ya makuruhu/maudhi. Hukumu yako inastahili kuwa papo kwa hapo !
 
Na wewe wakati mwengine uwe unaficha ujinga wako.
 

Qur'an 2:

120. Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
120
 
Na tutaendelea na utaratibu wetu wazanzibar viboko vitawahusu wote wanaokula hadharani au kwa kujionyesha
..
Msome huyo jamaa halafu useme kama haya mambo hayapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…