Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Huko nchi za arabuni,wafikiri kuna watu,wanene,tafuta picha uwaone,kuanzia wafalme mpaka mawaziri,juzi kama waziri wa Tamisemi wa Saudia,na kwenye TV,jaonekana umemuona hata kitambi hana wacha kuwa mnene.
QUOTE OF THE YEAR by Prof MOHAMED JANNABI, Daktari bingwa wa moyo Tanzania:

"Mambo makubwa yanayosababisha mishipa ya moyo kuziba ni pamoja na ulaji wa wanga,mafuta na sukari.Watu wengi wanadhani ni mafuta tu ndio yananenepesha.La!hasha,wanga ndio mbaya zaidi.Wengi wananenepeana kutokana na wanga.. Ndio maana utafiti uliofanywa unaonyesha watu walionenepeana wako zaidi nchi za kiarabu. Mwezi wa Ramadhani waislamu wenzangu huongezeka sana uzito. Hii ni kwa sababu ya kula vyakula na mahanjumati yenye wanga mwingi.Pia vyakula hivyo huliwa muda mbaya(ftari saa 1 jioni na daku kuanzia saa 6 usiku)ambapo mwili unakuwa hauna activities na hivyo metabolism huwa ni kwa kiasi cha chini sana.............. DIET ni sawa na SALA,maana yake unajiandalia huko mbeleni. Uchaguzi ni wako" Prof M. JANNABI, Clouds FM,25 April 2019
 
Mtu na akili timamu,analeta uzi wa kulalamika,kukatazwa kula,wewe itakuwa umekutana na watoto wa mjini.Wamekuingiza mjini,na hela itakuwa wamekuchomoa,badala kukaa kimya,na kuona umeingizwa mjini,waleta nyuzi za kulia lia
 
Hiyo kwerisma,mnayofunga kwa kugawanyika,madhehebu mengine yanafunga,mengine hawaitambui hiyo funga ya kwaresma wala Pasaka.Wakati katika uislamu,ni waislamu wa madhehebu yote wanafunga na wanatambuwa uwepo wa Eid.

Sawa. Ila kushinda njaa kwa kisingizio cha kusali ni ufinyu wa kujitambua
 
We punguani kweli kweli.

Unaambiwa onesha wapi Yesu kasema "Mimi Mungu" unakuja na kizungumkuti ambacho hata wewe hukielewi.
Okay, haya mi ni punguani.
Anyways kama umeshindwa kuelewa nilichoandika umekiona ni kizungumkuti, I really have strong doubt on your level of intellect
Have a good day madam
 
Hayo ndiyo maandishi anayowadanganya huyo mungu mfu wenu ambaye alijizukia tuu. Nikikuuliza ushahidi hauna zaidi ya kutumia kitabu chenu ambacho kimekuja miaka mingi baada ya ukristo.
Hivi mungu wenu pale.juu ya msalaba akujinyea kweli?
 
Nimekushika pabaya,Yesu alilia kwa Eloi,ili amuokowe kwenye umauti wa msalabani,huyu Eloi ana nguvu zaidi kuliko Yesu,na ndio akaomba msaada kwake.Mtafute Eloi,umjuwe ni yupi,na kwa,nini Yesu amuombe msaada wa kumuokoa kwenye kifo cha msalabani.
'Eli, Eli, lama sabachthani. Eli tafsiri yake Ni Mungu. Na usijidanganye ni allah.
Yesu ni mwana wa Mungu na mtoto wa Mungu ni Mungu.
Kumbuka Yesu hakuzaliwa kwa njia ya Zinaa.
 
Mbaya zaidi ni kwamba hawa jamaa hubadilishaga tu ratiba ya kula.. Ile ratiba ya mchana inahamia usiku..
Sasa je! Wasiofunga wAnataka wale mda gani!? Huu ni zaidi ya ushirikina.
Yani yeye anakula usiku kucha mi nikiwa nimelalA...ila mchana mi nikila shida. . Pumbavu.
Watu wengine washamba sana sasa mtu anajilia kwa mamantilie wewe anakubughudhi nini? Kama wewe umefunga kwa mama ntilie unafuata nini
 
Dawa unapika pilau ndani lakini unahakikisha umetia mdalasini,hiliki na viungo vingine vya kutosha, harufu isikike kuanzia chukwani hadi kiembe samaki
Je na wakati wa kula utakuwa unatembea na jungu lako la pilau huku unakula barabarani? Au utatulia kwako ule?
 
Hapa ndipo huwa nashindwa kuuelewa Uislam,hii mijamaa ni minafiki kupita maelezo.

Kufunga kwako kuna nihusu nini mm nisie funga?mtu mwenye imani thabiti hawezi bugudhiwa na chakula alacho asiyefunga.

Ina maana haya majamaa yanakuwa na njaa muda wote kiasi kwamba yakiona mwenzao anakula mimate inawajaa.Hovyo kabisa,afu eti Uislamu ni dini ya haki! sijui haki gani hiyo?malaka kabisa hawa.
Uislaam ni Dini ya haki, haimfanyi Mungu dhulma kama hawa jamaa zako hapa chini wanavyofanya dhulma.
 
Mbaya zaidi ni kwamba hawa jamaa hubadilishaga tu ratiba ya kula.. Ile ratiba ya mchana inahamia usiku..
Sasa je! Wasiofunga wAnataka wale mda gani!? Huu ni zaidi ya ushirikina.
Yani yeye anakula usiku kucha mi nikiwa nimelalA...ila mchana mi nikila shida. . Pumbavu.
Inashangaza sana mkuu, eti mtu umeenda zako kwa mamantilie upate lunch unaambiwa unakula ovyo? Eti unaambiwa ujizuie kula, kwa sababu wewe umefunga?
 
Mtu na akili timamu,analeta uzi wa kulalamika,kukatazwa kula,wewe itakuwa umekutana na watoto wa mjini.Wamekuingiza mjini,na hela itakuwa wamekuchomoa,badala kukaa kimya,na kuona umeingizwa mjini,waleta nyuzi za kulia lia
Cha ajabu mnajinasibu mnafunga mwezi mzima kutubu, cha ajabu dhambi zote mmezitamani mmeziweka kiporo mkisubiri mwezi uishe muanze kuzitenda.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Siku ya idi gesti na lodge na majumba yote ambayo hayajaisha huwa yanajaa.
Wanaofanya biashara za kitimoto hiyo siku zinatoka kuliko kawaida.
Unafiki tuu.
 
Inashangaza sana mkuu, eti mtu umeenda zako kwa mamantilie upate lunch unaambiwa unakula ovyo? Eti unaambiwa ujizuie kula, kwa sababu wewe umefunga?
Kwa sababu hawawezi kujizuia na hawajafunga kwa hiyari bali ni kwa lazima.
Hivi Mimi niseme sitaki kuzini mpaka niolewe, hapo hapo naona gere watu wakizini.
Ukiacha kitu hautakiwi hata kukitamani. Na changamoto lazima utambue uwepo wake ili uzishinde.
 
Kwa sababu hawawezi kujizuia na hawajafunga kwa hiyari bali ni kwa lazima.
Hivi Mimi niseme sitaki kuzini mpaka niolewe, hapo hapo naona gere watu wakizini.
Ukiacha kitu hautakiwi hata kukitamani. Na changamoto lazima utambue uwepo wake ili uzishinde.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mungu atusaidie jamani. Kuna mmoja nilimuuliza hivi unapokuwa unaomba toba huku unafikiria kuwa mwezi ukiisha naenda kuendelea na dhambi toba yako inapokelewa kweli? Akaniambia inapokelewa...nikasema basi Mungu wenu mpole sana
 
Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Asilimia 98 ya wazanzibari ni waislam. Kwa hiyo silka, mila na damaduni zao zinaendana kwa kiasi kikubwa na dini yao. Hivyo ukienda huko kipindi cha ramadhani inabidi elewe hivyo.
'When in rome do as the romans do'
 
Mtu na akili timamu,analeta uzi wa kulalamika,kukatazwa kula,wewe itakuwa umekutana na watoto wa mjini.Wamekuingiza mjini,na hela itakuwa wamekuchomoa,badala kukaa kimya,na kuona umeingizwa mjini,waleta nyuzi za kulia lia
Wakristo wakifunga kwaresma hawamzuii yeyote kula.Kufunga Ni kushinda nafsi hata mbele ya pilau linalonukia vizuri .Kufunga kwa wakristo Ni pamoja na kujizuia matamanio mbele ya kinachotamanisha.Mtu aweza weka kuku choma mbele yako na usimtamani Wala kumla sababu umefunga SI chakula tu bali na matamanio kuwa hata chakula au kinachotamanisha vipi kiwe mbele yako hutakula Wala kutamani.Ndio maana Mkristo akifunga SI rahisi hata kumjua sababu hajitangazi ,hanuni na kufoka foka kufokea wengine kuwa kafunga!!! Wakristo hufunga siku nyingi kuliko waislamu na hawana mbwembwe.Wakristo hufunga siku 40 wakati waislamu Ni mwezi mmoja.Wa siku 40 hawana mayowe wa mwezi mmoja uwiiiii!!! Kelele kila Kona nimetunga nimefunga sitaki ule mbele zangu nk eee
 
Back
Top Bottom