Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Sisi ibada zinaendeshwa kwa lugha inayoeleweka kwenye eneo husika.
Kuna wazee hawajui kiswahili kabisa hivyo ibada zinaendeshwa kwa lugha wanaoijua.

Akija mzungu pia kuna ibada itakayomfaa maana tunazo ibada zaidi ya moja . Na moja wapo itakuwa kwa lugha ya kiswahili.
Kwa maeneo ya mjini penye wageni wengi kuna ibada hadi ya kingereza kwa wale ambao hawajui kiswahili.

Haya Dini yenu inathamini wageni?
 
Acha kuandika uongo,mnasema chakula mnazuiwa kula,halafu wasema wapo waislamu wanakutuma chakula ukawanunulie,kwa hiyo wewe ni mtumwa wa waislamu,kazi kutumwa tumwa tu,na wauislamu.
Kuzuia mnazuia huko mlipotawaliwa na utumwa. Huku bara unakula hata pembeni ya msikiti hamna wa kunyanyua pua.

Teh teh teh situmwi na muislam natumwa na rafiki mwenye kuamini katika uislam.

Yaani nyie watu mkiambiwa ni wabaguzi hamtaki, ina maana akinituma kwa kuwa ana imani tofauti na mimi nisiende?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kabisa mimi mwenyewe nna biblia ya kabila langu
Huko kuwa na biblia ya kabila lako,hiyo ni tafsiri ya biblia,mnashindwa kutofautisha tafsiri na Biblia asili,ndio maana mnatofautiana kiibada.Hata Qur'an ipo ya kila kabila,lakini inahesabiwa ni tafsiri.Kila lugha inautamaduni wake,ukitafsri kutoka Lugha ya asili kuja lugha nyingine maana zinageuka,mfano wazungu mwanamke anaoa na mwanamme anao,hamna kuolewa kwa mwanamke,kwetu sisi waafrika ni tofauti ,wanaume tunaoa na wanawake wanaolewa.
Tumia akili,lugha ina utamaduni wake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani nimegundua wewe una utoto mwingi sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]eti ukitumwa na muislamu na ukaenda wewe ni mtumwa.
Yaani ameshindwa kujizuia kuhusu ubaguzi mwishowe kahitimisha vyema kabisa, kwamba ni wabaguzi.
 
Huna cha kujibu,dini ni mfumo kamili wa maisha,hawezekani ndani ya dini moja kuwe na utofauti wa ibada,iwe wengine wanafanya ibada tofauti na wengine.Ndani ya dini moja,madhehebu mengine yakubali kufunga,mengine yasikubali kufunga.Mengine waswali jumapili wengine Jumamosi,wengine waende kuhiji Vatican wengine waende Jerusalem.Wengine wanawake wao wajifunike kichwa na kuvyaa nguo ndefu,waitwe watawa,wengine hawajifiniki kichwa wala kuvyaa nguo ndefu.Biblia ziko tofauti,kila dhehebu lina biblia yake.Acheni kuingilia imani za watu,kila imani ina mtizamo wake,ambako hata katika imani uliyonayo wewe ina kasoro nyingi tu,tukizianisha hapa,hata usingizi huwezi kuupata hata mwezi mzima,utajiuliza maswali yasio na majibu.
Umenibana nini? Hivi hata umesoma hiyo komenti niliyokuquote?
 
Uzuri wa huu Uzi watu wanaingia kwa shift. Shift yangu imeishia hapa. Ngoja nikapate kitimoto safi na ndizi za kukaanga .
 
Na Huyo ndiye Mungu anayepaswa kuabudiwa.
Mungu lazima aweke utaratibu maalumu wa ibada,sio hawa wanaswali jumamosi hawa jumapili.Hawa wanaofunga kwaresma ,hawa hawafungi,hawa wanasema nguruwe haramu wale wanasema sio haramu.Hawa wanakubali Kuvyaa misalaba,wale hawakubali.
 
Kwahiyo dini inawaambia mkifunga amtakiwi kuona wengine wanakula?
 
Mungu wa vipi huyo,dini moja ,ibada tofauti,kila dhehebu liko tofauti na nwenzake.Na lina siku tofauti ya kufanya ibada kwa wiki.Wapo wa jumapili na wapo wa jumamosi.Wakati katika uislamu ibada zote ziko sawa,na siku ya wiki ya ibada wote ni ijumaa.Hakuna dhehebu la kiislamu,eanaotofaitiana na wengine kwenye ibada zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…