Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Wewe na wewe wale wale tu. Ndio maana Mvuvi. Embu elimika uone kama utakua mvuvi...

Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
 
Kasome [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]View attachment 1109211
Mkuu hichi ulichoweka ni nini...nataka uniwekee gazeti linaloonesha mtu amehukumiwa na mahakama zanzbar kwa kufunja sheria za waislamu mfano kula mchana wakati wa mwezi mtukufu wa ramadhani sio haya ma pdf unayoweka ambayo hayana maana yoyote
 
Duuuh.
 
Sio uongo na video zipo watu wakipigwa kisa kula mchana
 
Kuna uelewa mdogo sana kuhusu haya mambo ya kiiamani, wengi wetu ni kufuata mkumbo tu.
 
Ili ushinde majaribu lazima ujaribiwe.kama hutaki kujaribiwa basi hujui dini.
 
Mkuu hichi ulichoweka ni nini...nataka uniwekee gazeti linaloonesha mtu amehukumiwa na mahakama zanzbar kwa kufunja sheria za waislamu mfano kula mchana wakati wa mwezi mtukufu wa ramadhani sio haya ma pdf unayoweka ambayo hayana maana yoyote
Bahati mbaya sina nakala yoyote ya hukumu
 
Zanzibar wana katiba yao na sheria zao.Zimetungwa na baraza la wawakilishi.
Mkuu sheria mama siku zote ni katiba ya jamuhuri ya muungano wa tanzania...na sheria za jamuhuri ya muungano wa tanzania ndo sheria zinazoiongoza tanzania si vingine achana na hizo by-laws....ndo mana nimekwambia kula mchana wakati wa mwezi mtukufu wa ramadhani si kosa kisheria kama nikosa nipe mfano wa mtu aliyepelekwa mahakamani kwa kula mchana na uniambie alihukumiwa vipi
 
Hutaki kupitia mazingira ya matamanio? Wakristu tunafunga kila Leo ukiachana na mfungo ule wa pasaka ushasikia tunaomba watu wasile mbele yetu?
Waislam pia wanafunga kila leo achilia Ramadan zile wanaita Sunah kwani ulishasikia wanamkataza mtu kula mbele yao?
 
Aisee
 
Waislam pia wanafunga kila leo achilia Ramadan zile wanaita Sunah kwani ulishasikia wanamkataza mtu kula mbele yao?
Kama wanafunga ni mmoja kwa mln na tena wale wanaojua nini maana ya kufunga.
 
Kijijini kwetu huko ibadi zinaongozwa hadi kinyakyusa na Mungu anajibu maombi kama mafuriko nakwambia.
Huyu ndiyo Mungu wa dunia, Mungu wa mataifa na Makabila yote.
Huyu mungu wa waislam anayejua kiarabu tu, ninamashaka nae kwakweli. Na watu walivyo apumbavu wanaamini ete kiarabu ndo lugha ya mbinguni. Waislam wote mjiandae kwenda mbingu ya Kilombero au mbuguni na sio Mbinguni/ Peponi.

Waarabu wamefanya kufuru kuliko watu wengine wowote Duniani. Leo wanawaaminisha eti wao ndio wacha Mungu kweli [emoji202] kama kusoma hamjui hata Picha hamuoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…