Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Kwa nini mwezi wa Ramadhani wanakataza sasa
Sunah ni hiyari sio lazima hivyo mtu anaweza kuamua kufunga siku anaona yupo mazingira mazuri bila kupishana/kukwazana na wengine....

Ramadhani ni lazima sio hiyari hivyo inawalazimu kufunga ukiwa katika mazingira yeyote yale ndio maana unaona watu wanapishana/kwazana
 
Nikija huko naweza pata kesi wasengerema nyinyi watu wa muddy saleu salaleu, yani kula kwangu kunawahusu nini fisi nyinyi? Pmbaav
 
Acha kuandika uongo,mnasema chakula mnazuiwa kula,halafu wasema wapo waislamu wanakutuma chakula ukawanunulie,kwa hiyo wewe ni mtumwa wa waislamu,kazi kutumwa tumwa tu,na wauislamu.
Kwa hiyo nyie hamruhusiwi kushirikiana na Wakristo?
Kwa hizi comments za humu, Mungu nisaidie niendelee kuijua kweli ya Mungu na kweli ikaishi ndani mwangu na kwa kizazi changu chote.
 
Kweli, maana waislam ni ndugu zetu, tunaishi nao kwa amani makazini na majumbani
Mbona tunakula na wao wamefunga na hakuna kinachoharibika
Ni wapumbavu waliokosa maarifa ndio wanaweza kusupport huu ujinga
Ni kukosa elimu tu wanaojitambua wala hawana time na kula ya mtu
 
Ugaidi huanza taratibu kama homa ya kichwa! Utashangaa wametega mabomu kwenye migahawa ya chakula!
Unaacha hotel za maana,unakwenda kula vichochoroni,kwenye vyakula visivyo na kiwango,kwa nini usikutane na wajanja wa mjini wakutishi tishe,mjini shule.
 
Mroho ni yule analalamika,kuwa hapati pa kula wengine wakifunga.Mmezidi kujilegeza mnakula kula ovyo ,kama ngedere.
Jamaa ni waroho sanaa. na unafiki mwingii. Maanaaa kama wewe umefunga na mwezio hajafunga inakuuma nini? . ukiona mtu anakula
 
Sio tu siku ya idd
Kuna siku yao kabla ya mfungo kuanza wanaita vunja chungu, hiyo siku nilijua baada kutoka safari kenya nikawa natafuta pakulala nilihaangaika sana cause vyumba vilikuwa vimejaa, driver taxi akanielezea hiyo siku ni ya vunja chungu
Nilisikitika sana
Sio wote ila kuna watu ni wanafiki sana
Wewe ndio utakuwa hujielewi, nyumba za wageni,uliambiwa zimejaa,ulionekana umekaa kigaidi gaidi.
 
Acha kula ovyo ovyo kama ngedere,unakuwa lege lege,kila wakati una njaa.
Kwahiyo hawataki kutamanishwa kula? Vipi kuhusu harufu ya vyakula? Watu wanapaswa kufunika masufuria ili yasitoe harufu?? Dini ya kishenzi sana hii! Kuna haja ya kufanya tathmini ya kuifutilia mbali!

Kuna bwana mdogo mmoja alikatwa panga la shingo saudi Arabia kwa sababu amesikiliza hip hop ya Rick Rose!!
 
Ukiangalia kiukweli wewe unayekula chakula ndio unakuwa unayemfungisha mfungo kwa kumnyima asikione chakula ili afunge.Sababu akikiona chakula udenda unamtoka anataka kula.Wewe mwenye chakula ndie Ramadhani mwenyewe kwa kutomwonyesha chakula ndio unamfanya afunge.Kwa hiyo Kama Mungu anatoa thawabu inabidi awape wale waliokataa kupika chakula hadharani au kula chakula hadharani kwani ndio Akina Ramadhani waliofanikisha mfungo Sio wale waliofunga.Wewe mheshimiwa Ramadhani kumsaidia huyo afunge usile mbele yake.Anakutegemea wewe ili afunge uwe mwislamu au kafiri tegemeo lake liko kwako.Wewe ndie ramadhani wake
Acheni kula ovyo ovyo,kama gendere,msiwe lege lege.
 
Labda tusome hapa kidogo
IMG-20190526-WA0010.jpeg
 
Sunah ni hiyari sio lazima hivyo mtu anaweza kuamua kufunga siku anaona yupo mazingira mazuri bila kupishana/kukwazana na wengine....

Ramadhani ni lazima sio hiyari hivyo inawalazimu kufunga ukiwa katika mazingira yeyote yale ndio maana unaona watu wanapishana/kwazana
Ahaa sasa nimekuelewa, kumbe wanakuwa wamelazimishwa ndio maana wanateseka sisi wengine tukila
 
Hutaki kupitia mazingira ya matamanio? Wakristu tunafunga kila Leo ukiachana na mfungo ule wa pasaka ushasikia tunaomba watu wasile mbele yetu?
Sio wakristo wote wanaofunga,ni wakatoliki tu.Halafu mnapofunga waislamu hawaendi maeneo mliopo,huwezi kusikia muislamu naenda maeneo ya wakristo wengi,kwenda kula.
 
Kama ikitokea vita vya kidini (MUNGU aepushie mbali) basi hawa wenzetu watakuwa ndio chanzo. Wanatamani sana kulazimisha na wengine wafuate kile wanachokiamini wao. Yupo mmama mmoja humu anatamani kila mtu humu awe katiri kama yeye
 
Kitabu chao kinawambia wakifunga na wengine wasile [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wacha kumtetea,mwenzako,kakutana na vibaka,vichochoroni,wamempiga ngwara,ametiwa mjini,anakuja lia lia.Hiyo ndio faida ya kuacha hotel na kwenda kula vichochoroni,mbona wazungu,amewaona wapo hotel wanakula,bila bughdha
 
Sio uongo na video zipo watu wakipigwa kisa kula mchana
Unapigwa na vibaka,mji wowote ukioneka wakuja,mshamba mshamba,lazima utiwe mjini.Kule waenyewe wanajuana kwa ustaarabu na uvaaji wao,wakikuona huko kama wenyeji wa hapo,ndio vibaka wanakutia mjini.
 
Kwa hiyo nyie hamruhusiwi kushirikiana na Wakristo?
Kwa hizi comments za humu, Mungu nisaidie niendelee kuijua kweli ya Mungu na kweli ikaishi ndani mwangu na kwa kizazi changu chote.
Nyie ni mikafiri.

Mie binsfsi nikiliona. kafiri naona kama nimeliona ng'ombe flani au dudu fulani hivi linapita.
 
Back
Top Bottom