Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

una akiri sasa?
 
Kwa hiyo na Leo umefunga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]?
Kwanini funga yangu ikutese?

Mbona nyie mkimfungia yule muhuni wenu aliyevaa kichupi pale juu ya msalaba hatuwafatilii.
 
Kwanini funga yangu ikutese?

Mbona nyie mkimfungia yule muhuni wenu aliyevaa kichupi pale juu ya msalaba hatuwafatilii.
tulia mtoto wa malwaya wewe unamjua muhuni wewe nyie ndo mnaofunga alafu watu
 
tulia mtoto wa malwaya wewe unamjua muhuni wewe nyie ndo mnaofunga alafu watu
Teeh teeh teeh

Bi mkubwa umekuja kwa hasira kama kidume kweli kumbe pengine ushaolewa huko kanisani kwenu

Yani unapiga mikwala uku umepakatwa na kidume mwenzio

Amma kweli makanisani sio sehehemu nzuri
 
Acheni kula ovyo ovyo,kama gendere,msiwe lege lege.
Kula Ni mojawapo ya haki ya kidemokrasia ya mtu Huwezi mpangia mti aleje Ni hiari yake bila kulazimishwa kupangiwa na mtu.Mbona waislamu mkifunga mnakula usiku kucha mbona hakuna anayewasumbua kuwa msile usiku kucha Kama ngedere?
 
Teeh teeh teeh

Bi mkubwa umekuja kwa hasira kama kidume kweli kumbe pengine ushaolewa huko kanisani kwenu

Yani unapiga mikwala uku umepakatwa na kidume mwenzio

Amma kweli makanisani sio sehehemu nzuri
Wewe ndo umepakatwa gasho wewe
 
Sio wakristo wote wanaofunga,ni wakatoliki tu.
Sio kweli Wakristo wengine hufunga pia .Angalia hata TV za Wakristo wasio wakatoliki hutangaza miifungo kibao iko ya siku saba,siku 21,Siku 40 siku 60 Hadi siku 90 .Hawa Wakristo wengine wanafunga wasio wakatoliki ila huwa wakimya hawana kelele Kama waislamu kujulisha wamefunga ndio maana hata wewe hujui
 
Kwanini funga yangu ikutese?

Mbona nyie mkimfungia yule muhuni wenu aliyevaa kichupi pale juu ya msalaba hatuwafatilii.
Kila la heri.
Unazidi kuiaibisha dini yako.
Bye!
 
Wewe Cute unajua hata kuwasha kuni ?, au ndio wale umeambiwa kupiliza moto ukolee unakaa mbali na jiko kuhofia nywele zako kushika masizi au moto kabisa !?
Siku njoo kwangu nikuonyeshe, napuliza moto hadi kamasi linatoka.
 
We Rudi kwenu Tanganyika tu, waachie Zanzibari yao.
 
Ni kwenda kinyume na Uislam kutompatia chakula au access ya kula mtu ambaye hastahiki kufunga kama ndugu zetu Wakristo

Hili ni kosa tu bila kujali limefanyika wapi, aidha Zanzibar au sehemu yoyote ya Dunia

Ila kitu kikubwa ambacho nadhani ndugu zetu Wakristo wanashindwa kukielewa ni kwamba Staha na Stara wakati mnapata Vyakula na Vinywaji ktk nyakati hizi ni kitu cha Uungwana sana

Kuna wakati niliwahi kosana na Wife juu ya hili jambo. House Girl ambaye ni Mkristo alitembelewa na Baba yake toka kijijini kwa bahati mbaya wife akawa anasita kutoa mlo kwa Mgeni kwa sababu tu ni Mkristo. Baada ya kumuelimisha sana wife akaelewa huwezi amini yule Bwana alivutika sana na dini yetu na ndio ikawa mwanzo wa kuelewa uislam

Zanzibar hawajakataza kula mchana kwa ambao hawafungi walichokataza ni kula hadharani. Kama mko organised a Muslim Catarer anaweza waletea chakula hata sehemu ya kazi mkaendelea na menu zenu na sio dhambi kwa mfanyabiashara wa kiislam kutoa hiyo service kwa wasio Waislamu

Regards
 
Ni kweli kabisa unachosema mkuu, nimeishi Zanzibar mda mrefu sana ila hakuna wakati nilokua nauchukia kama huo. Yaani unageuka kuishi kama panya
 
Nyie mikafiri mnafunga au mnazingua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…