Msuluhishi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 248
- 198
Punguza hasira mkuu. Ukipanda boti kwenda znz unalipia kwa shillings na wazungu wanalipa kwa dollar. Hapo huoni ubaguzi?
Fuata taratibu za sheria hivi huyu mleta mada angenunua chakula na kwenda kula kwake au kanisani nani angemfatilia?. Kwanini hakufanya hivyo?
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Hata mimi najiulizaga pia, inapofika katika point peacekama haya usemayo ni kweli basi itakuwa mamlaka za Zanzibar bado haziujui Uislamu!
mimi ni Mkristo by the way lakini nina ndugu Waislamu na ni watu wema sana kiasi najiuliza kwa nini dini hizi 2 zitofautiane kwa kiwango ambacho baadhi yetu tunaonyesha...
....tumelisikia, tutalifanyia kazi. Wazungu nao watakamatwa. Haya nenda kafanye kazi sasa !
Tutafika Mkuu mdogo mdogo.Nimecheka sana! Kweli vyote vya duniani ni vya mzungu...yaani mswahili mwenzio unamminya mzungu unamwachia...ni Tanzania yetu hii hii! Waafrika bado tuna safari ndeefu sana.
Pole sana nakushauri badili dini uwe huruMazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Likes 124 namimi nimeongeza ya 125Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Video zinaweza zikawepo, lakini haina maana kuwa hamna sehemu ya kula mchana kwa wale wasio Waislamu..Sio uongo na video zipo watu wakipigwa kisa kula mchana
Unaruhusiwa ikae kwako ule, marufuku ni kula hadharani, sio Wazanzibari wote wanafunga lakini huwakuti kula hadharani..Kwa nini nipande daladala kwenda kula sehemu ya kula? Hoja iko hapo
Dini haikatazi mtu mwengine kula wakati wa ramadhani hata znz sio kama inakatazwa kwa sababu ya dini. Bali inakatazwa kwasababu ya 98% ya wazanzibari ni waislam, mfano ulaya hairuhusiwi waislam kuazini kwa kutumia kipaza sauti. Lakini wakristo wanatumia bell zao, na waislam wameheshimu hapo. Ingawa walikwenda mahakamani lakini mwisho walikubaliana kwa hilo. Narejea tena hapa sio dini imekataza ila serikali imeona wananchi wake 98% ndio waislam kwahio wamepewa kipao mbele zaidi ya 2%. Hapa usilaumu dini ilaumu serikali.Kwahiyo dini inawaambia mkifunga amtakiwi kuona wengine wanakula?
Mpuuzi zaidi ni wewe muathirika wa ushoga. Umeharibu tamaduni zako kwakuwapenda wazungu na unataka na wengine wawe kama ninyi.
Mmeitwa Zanzibar? Huo ni utamaduni wao kila ukifika mwezi huo. Kama ilivyokwenu kudharau na kutukana kila asiye wa imani yenu.
mkuu hapa umeamua kupotosha umma sijui kama ni kwa makusudi au kwa bahati mbaya.kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa
Huna jibu ,umeanza kupandwa na mapepo.Ikiwa,kufunga Yesu pia alifunga,na unasema wenye kufunga wana akili finyu.
Wewe pumbavu wewe dini yako ni nini !?Nilishasema hizi dini zakuiga ni za kupiga marufuku afrika. Watu wana behave kama robots kisa dini pumbavu kabisa.
Wana chuki na inda juu ya Uislaam ! Nafsi zao zinawasuta wanajuwa kabisa hawana dini wamezama kwenye upotofu.mkuu hapa umeamua kupotosha umma sijui kama ni kwa makusudi au kwa bahati mbaya.