Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Punguza hasira mkuu. Ukipanda boti kwenda znz unalipia kwa shillings na wazungu wanalipa kwa dollar. Hapo huoni ubaguzi?
Fuata taratibu za sheria hivi huyu mleta mada angenunua chakula na kwenda kula kwake au kanisani nani angemfatilia?. Kwanini hakufanya hivyo?


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

Tozi25, kwa hiyo Mbantu akilipa nauli kwa dola kwenda Unguja ataweza kula mchana kama mzungu?
 
kama haya usemayo ni kweli basi itakuwa mamlaka za Zanzibar bado haziujui Uislamu!

mimi ni Mkristo by the way lakini nina ndugu Waislamu na ni watu wema sana kiasi najiuliza kwa nini dini hizi 2 zitofautiane kwa kiwango ambacho baadhi yetu tunaonyesha...
Hata mimi najiulizaga pia, inapofika katika point peace
 
Nilishasema hizi dini zakuiga ni za kupiga marufuku afrika. Watu wana behave kama robots kisa dini pumbavu kabisa.
 
Nimecheka sana! Kweli vyote vya duniani ni vya mzungu...yaani mswahili mwenzio unamminya mzungu unamwachia...ni Tanzania yetu hii hii! Waafrika bado tuna safari ndeefu sana.
Tutafika Mkuu mdogo mdogo.
 
Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Pole sana nakushauri badili dini uwe huru
 
Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Likes 124 namimi nimeongeza ya 125
 
I don't care what anybody thinks but its outright wrong. Funga ipo moyoni.... funga sio dhidi ya njaa tu... ni kuonyesha restrains kutokana na matamanio.

Sasa nashindwa kuelewa. Nyumbani kuna watoto, ina maana hatuwapikii? Tunawashindisha na njaa ili tusitamani vyakula? Kuna watu wanategemea biashara ya kupika ili wakimu mahitaji yao na ya familia zao.....So wasipopika wanaishije?

We are becoming extremists... pretending to be so sensitive ili kuwa harass wenzetu. Hivi mfano Waislamu wa enzi hizi tungeambiwa tukapigane Al Badr na Sawm zetu si tungetoka nduki?

Acheni hizo bwana.
 
Sio uongo na video zipo watu wakipigwa kisa kula mchana
Video zinaweza zikawepo, lakini haina maana kuwa hamna sehemu ya kula mchana kwa wale wasio Waislamu..

Waacheni Wazanzibari na mila na utamaduni wao, acheni chokochoko, Chokochoko hazitasadia isipokuwa zitazidi kuleta chuki..

Zanzibar kuungana na Tanganyika isiwe Nongwa!!!!? Hupendi nini Wazanzibari wanafanya siku ya mwezi wa Ramadhani, basi bora Uhame Zanzibar kwa Muda uwaache Wazanzibari wafanye yao..
 
Kwa nini nipande daladala kwenda kula sehemu ya kula? Hoja iko hapo
Unaruhusiwa ikae kwako ule, marufuku ni kula hadharani, sio Wazanzibari wote wanafunga lakini huwakuti kula hadharani..

"They say when you are in Rome do like Romans do".. Jaribu kuheshimu mila na tamaduni za wengine ijapokuwa unaziona ni mbaya..
 
Kwahiyo dini inawaambia mkifunga amtakiwi kuona wengine wanakula?
Dini haikatazi mtu mwengine kula wakati wa ramadhani hata znz sio kama inakatazwa kwa sababu ya dini. Bali inakatazwa kwasababu ya 98% ya wazanzibari ni waislam, mfano ulaya hairuhusiwi waislam kuazini kwa kutumia kipaza sauti. Lakini wakristo wanatumia bell zao, na waislam wameheshimu hapo. Ingawa walikwenda mahakamani lakini mwisho walikubaliana kwa hilo. Narejea tena hapa sio dini imekataza ila serikali imeona wananchi wake 98% ndio waislam kwahio wamepewa kipao mbele zaidi ya 2%. Hapa usilaumu dini ilaumu serikali.


Nangatukaa 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Apa bongo wapo waislamu mbona awapendi kulalamika hovyo? Ww unataka dunia yote iende vile jins ww unataka? Nakshaur wacha kaz rudi om
 
Na matusi yote haya 'unayoserereka' na 'kutiririka' nayo hapa ndo upo kwenye 'so called mwezi mtukufu!

Kwanini umekubali kuwafanya waislamu wengine waonekane 'weupe' sana akilini kwaajili tu ya 'ujuha' wako?

Katika kila nafasi unayoipata ku comment unaingiza ushoga hata kama haukuzungumziwa, are you one of them?.... If so, did anyone tell you they're interested with your gay business?

Get lost please, the most hopeless idiot fella i have seen today
Mpuuzi zaidi ni wewe muathirika wa ushoga. Umeharibu tamaduni zako kwakuwapenda wazungu na unataka na wengine wawe kama ninyi.
Mmeitwa Zanzibar? Huo ni utamaduni wao kila ukifika mwezi huo. Kama ilivyokwenu kudharau na kutukana kila asiye wa imani yenu.
 
Huu muungano umeficha mambo mengi siku koti hili takatifu likivuliwa tutajua mengi yalijificha nyuma ya pazia
 
kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa
mkuu hapa umeamua kupotosha umma sijui kama ni kwa makusudi au kwa bahati mbaya.
 
Nilishasema hizi dini zakuiga ni za kupiga marufuku afrika. Watu wana behave kama robots kisa dini pumbavu kabisa.
Wewe pumbavu wewe dini yako ni nini !?
Au dini yako ni kama hawa....
 
mkuu hapa umeamua kupotosha umma sijui kama ni kwa makusudi au kwa bahati mbaya.
Wana chuki na inda juu ya Uislaam ! Nafsi zao zinawasuta wanajuwa kabisa hawana dini wamezama kwenye upotofu.
Walikuwa na funga yao ya ujanja ujanja inaitwa kwaresma. Haijulikani 'fajr wala maghrib'. Hakuna mtu kawauliza wala kasema na funga yao ya kitapeli.
 
Back
Top Bottom