Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Umeandika porojo tu kuonesha ujinga wa hii dini yenu,

mzee kufunga ni zaidi ya kuacha kula mchana na kula usiku kama mnavyofanya.
Wewe hujielewi,hata nilichoandika hukielewi.Ni ujinga wako na dini uliyonao,ndio umekufanya usielewe kilichoandikwa.
 
Unajua we mzee wa vipedo unanishangaza kitu kimoja, Lini na wapi nimesema nasapoti ulevi? ulevi ni mbaya na haufai, kunywa kinywaji kwa kiasi sio ulevi, na ndio maana Allah akasema ,"Kuluu wa asharabu, ala anta'l musrifuna" Kuleni na mnywe ila msifanye isirafu, sasa ndugu yangu unateseka nini? kunywa kiasi sio ulevi, huo ulevi ni haramu
 
Leo nlinunua zangu karanga mbichi nikawa natafuta kakaja kajamaa flani eti nipe kidogo si unajua bado siku 9 tufungulie! Nikasema hawa watu yule mungu wao aliwafunga ufahamu kabisa
Yaonyesha unakula kama ngedere,acha kula kula ovyo,kama gedere.
 
Yaonyesha unakula kama ngedere,acha kula kula ovyo,kama gedere.
Mm nmekula mchana usiku sili na pumzika.. Wewe hujala mchana ila usiku wote huu utakula hadi unavimbiwa kisha unasema umefunga.
Uchizi wa muhamadi huu
 
Wewe umewahi kubughudhiwa?Wakati aliyeandika uzi,ameandika wazungu wanakula kwenye mahotel.Kwa nini yeye asiende kwenye hizo hotel na kula,na anaonekana ni mvivu wa kazi,ajitahidi afanye kazi apaye pesa za kwenda kula,kwenye sehemu zenye TBS,adile vichochoroni.
Kama hamlazimishi kwa nini mnawabughudhi wanao kula?
 
Mm nmekula mchana usiku sili na pumzika.. Wewe hujala mchana ila usiku wote huu utakula hadi unavimbiwa kisha unasema umefunga.
Uchizi wa muhamadi huu
Wewe ni chizi,hukielewi kama chizi,angalia uliyoandika,umeandika kichi chizi.Kama unapumzika usiku huli,ndio gedere wanavyopumzika usiku.
 
Hata akila hadharani wewe ina kuathiri vipi?

Ndio maana tunawaambia hamfungi mnalazimisha kuacha kula mchana badala yake mnakula usiku
 
Wewe ni chizi,hukielewi kama chizi,angalia uliyoandika,umeandika kichi chizi.Kama unapumzika usiku huli,ndio gedere wanavyopumzika usiku.
Naona umeshavimbiwa cha saa 12 sasa unasubiri uvimbiwe cha alfajiri saa 11 ili mchana ujifanye umefunga
 
Sunbae, kwanza pole...naomba utusamehe pale tulipokukwaza, waislamu wastaarabu kama wewe mnaponzwa na hawa wengine wasio na utu si ajabu hata uislamu wenyewe hawaujui ( wanaonekana hata kwenye huu uzi). Mimi pia kwa sehemu kubwa hili eneo ninaloishi na kufanya vijishughuli vyangu nimezungukwa na waislamu na sijapata shida yoyote ile ingawa yapo mambo ambayo nimejiongeza mwenyewe bila hata kuambiwa na mtu...kwa mfano nilizoea nikienda kijiweni kwetu nanunua vitafunwa naenda kunywa chai hukohuko sasa hivi sifanyi hivyo. Hapa nyumbani ninapoishi napatana na huyu muislamu kiasi kwamba huwa muda mwingine tunapika na kula pamoja, au naweza kupika natoka kwangu na msosi wangu naenda kukaa kwake ila sasa hivi napika ndani kwangu, nakula hukohuko nanawa mikono ndio natoka tunaendelea kupiga stori.
 
Pale CCM -Maisara walikuwa wanauza chakula, Mkuu wa Mkoa kaenda kupafunga.

Ajabu ni kwamba, mara zote nilizoenda kula St. Monica, Kambi ya Jeshi - Nyuki na hata hapo CCM nimekutana na Waislam wengi tu wakipata chakula.

Pia kwa observation nilizo fanya, heri Waislam wa Bara na funga yao kuliko hapa Zenji. Zenj unafki ni mwingi sana, ni watu wenye roho ya kwanini kwa ngozi nyeusi na sio kwa Mzungu.

Juzi nilikiwa Mkunanzini, kuna mzungu kanunua chakula pale Lukmaan na anakula huku anatembea wana muangalia tu na muda wa kufuturu ulikuwa bado, ila mswahili mwenzao hata ukishika chupa ya maji ni KESI.

Mitaa ya Raha Leo nimeona mtu akizongwa zongwa kisa yupo na mtoto anakula chakula nikabaki nashangaa hii ndio DINI YA MWENYEZI MUNGU KWELI ?
 
You have my respect bro [emoji122][emoji122]
 
Nimekuelewa Al-Akhy na mm sijakata moja kwa moja kuwa alichosema ni kweli ndio maana nikasema mwisho wa Post yangu kuwa Ikiwa haya uyesemayo ni kweli basi itakuwa wamefanya makosa Makubwa

Kimsingi Sijamswadikisha moja kwa moja maana Khabari zijaifanyia Ubainifu wake lakini tupo pamoja usijali
 
Hiyo ni dini ya '' mnya_azi mungu
 
Duh huyo Mkristo aliyezaliwa Zanzibar nae aliitwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…