Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

M'mefunga kitapeli tapeli, wenyewe mnaita 'kwaresma' hakuna mtu kawasemesha humu. Baada ya Ramadhan Kareem kuanza tu, kihere here, maneno, uzushi hauishi humu JF ! Hivi mna nini Wagalatia !?
 
wANAJIITA WAMEFUNGA ILA daku WANALIAMKIA SAA 10 usiku...Funga yao ni ya Kunywa maji tu tena kwa masaa 12 ila kazi kutesa wengine.
Hiyo mnaita 'kwaresma' haina taratibu wala kanuni wala sheria. Ni uhuni uhuni tu na ujanja ujanja ! Eti unaacha kunywa bia unasema nimo kwenye mfungo wa kwaresma ! Kafiri ni kafiri tu
 
Ni kwann Nile kwa kujificha? Kwan mie mwizi? Kwan wewe kufunga kwako kunanihusu Nini mm? Mbna wakristo wakifunga hawazuii wengine?
Nyie Ni washamba/mbumbumbu hamna elimu ndio maana
Natamani uwatukane zaidi wanakera mno kwa hii tabia.
 
Ni ujinga tu wanafunga kinafiki ili waomekane wacha Mungu kumbe mishetan tu
Kwann wazuie watu wa Imani zingine wasile? Kufunga kwao inanihusu nin mimi?
Nyie.mlipofunga kwaresma mlikuwa wayakatifu si ndio !? Eti mnafunga kula nyama ! Hivi mtakuwa serious lini ? Kila kitu mizaha tu.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…