Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Sijui wana nini hawa ndugu zetu jamanii...mbona sisi funga yetu ni ya amani duniani kote???kufunga kwako ww kuna uhusiano gani na tumbo langu???Waislamu bwana, yaani wanataka kile wanachokiamini kila mmoja akiamini pia. Tena kwa nguvu!
Tafuteni pakupeleka hizo tabia zenu za kikafiri kafiri !Ukiwa umefunga na ukamuona mtu anakula wewe unaathirika nini?
Tuache mambo ya kijima wakuu
M'mefunga kitapeli tapeli, wenyewe mnaita 'kwaresma' hakuna mtu kawasemesha humu. Baada ya Ramadhan Kareem kuanza tu, kihere here, maneno, uzushi hauishi humu JF ! Hivi mna nini Wagalatia !?Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Kuna dini inatangaza 'bikira' ya mamake mungu wao Dunia nzima.Kuna dini imejaa wapuuzi sijapata ona...kuna dini inataka wenyewe wakishinda njaa basi kila mtu nae ashinde njaa
Huu ni ujinga wa hali ya juu kabisa, hivi sijui na sisi wakristo tungekuwa tunawafanyia hivyo wao kwenye mifungo yetu sijui ingekuaje!.Waislamu bwana, yaani wanataka kile wanachokiamini kila mmoja akiamini pia. Tena kwa nguvu!
Inukie ili iweje !? Kwa spices, harufu na 'kuunga' mahanjumati unaweza kuweka ligi na Wazenji !?Mimi ningepika ndani, ila napika nyama kwa mtindo wa kunukia mpaka nyumba ya 5.
Sijawahi kupapenda zanzibari
Hiyo mnaita 'kwaresma' haina taratibu wala kanuni wala sheria. Ni uhuni uhuni tu na ujanja ujanja ! Eti unaacha kunywa bia unasema nimo kwenye mfungo wa kwaresma ! Kafiri ni kafiri tuwANAJIITA WAMEFUNGA ILA daku WANALIAMKIA SAA 10 usiku...Funga yao ni ya Kunywa maji tu tena kwa masaa 12 ila kazi kutesa wengine.
Natamani uwatukane zaidi wanakera mno kwa hii tabia.Ni kwann Nile kwa kujificha? Kwan mie mwizi? Kwan wewe kufunga kwako kunanihusu Nini mm? Mbna wakristo wakifunga hawazuii wengine?
Nyie Ni washamba/mbumbumbu hamna elimu ndio maana
Upumbavu wa muafrika ni kudhani dini fulani ni mali yake binafsi, mimi ni muislamu ila sio muislamu mpumbavu kama weweTafuteni pakupeleka hizo tabia zenu za kikafiri kafiri !
Nyie.mlipofunga kwaresma mlikuwa wayakatifu si ndio !? Eti mnafunga kula nyama ! Hivi mtakuwa serious lini ? Kila kitu mizaha tu.Ni ujinga tu wanafunga kinafiki ili waomekane wacha Mungu kumbe mishetan tu
Kwann wazuie watu wa Imani zingine wasile? Kufunga kwao inanihusu nin mimi?
Hata hawa wamesoma kiasi cha kutosha !Ndio upumbavu wao hawajasoma ndio tatizo kuu
Kula kwako kunawahusu nini wao mpaka uzunguke unakula kula hovyo kama mbwa koko !Naunga mkono hoja haiwezekan mm nisile kisa wewe umefunga, kufunga kwako kunanihusu nn?
RUDINI KWENU WATANGANYIKA LEO NI KUIVURUGA ZANZIBAR MNA ARDHI YENU TUNA ARDHI YETU TUSIZINGUWANE WATANGNYIKAA
Angalia hawa wamesoma sanaa, mpaka wanampigia simu Yesu !Hii mijitu haikusoma ndio tatizo
Elimu ni kitu cha muhimu sana
Mkuu sisi wengine hatuna dini...ila huu upuuzi wa mtu kushinda njaa na kutaka watu wengine washinde njaa kama yeye inatakiwa uisheKuna dini inatangaza 'bikira' ya mamake mungu wao Dunia nzima.
Wenyewe wanafurahia mungu wao kuwambwa mtini !