Mwanambugulu
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 683
- 851
Kuna mpemba yuko morogoro pale hataki hata kupasikiia kwaoMiss aleesha, Naomba nikuambie kitu kimoja, ni kweli hakuna Mzanzibar aliewahi kumpenda mtu wa bara, ila hakuna Mnzanzibar alie bara anaetaka kurudu Zanzibar, nakueleza hayupo, hayupoo
Na ndio maana wanaotaka kujitenga ni wanzanzibar wa Nzanzibar bali sio Wanaoishi Bara
Hakuna mtu anataka mateso sasa hivi
Usitetee ujinga mkuu hilo la kulazimishana ni uzwazwa funga wewe na moyo wako upate thwawabu akila mtu mwingine wewe inakuhusu nini? Acheni upuuzi bwanaaPunguza hasira mkuu. Ukipanda boti kwenda znz unalipia kwa shillings na wazungu wanalipa kwa dollar. Hapo huoni ubaguzi?
Fuata taratibu za sheria hivi huyu mleta mada angenunua chakula na kwenda kula kwake au kanisani nani angemfatilia?. Kwanini hakufanya hivyo?
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Angewajua huko jamaa wanaoitwa Janjaweed !Dah kuna jamaa angu kichwa mbovu kweli ni christian
Nataman angefika huko , angewanyoosha vilivyo hao mbwiga wanaoleta usumbufu huko !
Rekodi ya mohammad yavunjwa singidaWazee wa mchezo wa mapadri
wanafiki sanaMazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Hata hawa eti wanatafuta pepo ya JehanamuView attachment 1108807Eti pepo ya FIRDAUS
Mkuu kuna mijamaa imeingia dini alafu inaingiza tabia zao binafsi na kusingizia eti ni taratibu za dini, dini inatutaka tufunge na funga ni miongoni mwa nguzo 5 za uislam na muongozo hausemi tushurutishe watu kufuata tunachotaka watu tulofunga.Kwakweli wewe ni muislamu unaejielewa sana mkuu. Hongera kwa hilo, natamani waislamu wengine waige mfano wako.
Dini ya mizaha ni hii....View attachment 1108815Wazee wa dini ya haki
Huna hoja ya msingi mkuu swala ni kwamba zanzbr wanafeli huwez kuweka sheria kutetea huu ungese kwamba ni marufuku mtu kula hadharaniMara nyingi mtu hujikuta hautambui unachohitaji hasa ni nini. Tangu mwez mtukufu umeanza wengi mnakuja na malalamiko ambayo hayaeleweki hasa mnahitaji nini.
kwamba mnalalamika kwa sababu ngozi nyeupe wanaruhusiwa kula hadharani na ninyi hamruhusiwi? kwamba ikitokea na ngozi nyeupe wakakatazwa kula hadharani bas hapo hamtalalamika tena?
Mara nyingi waletaji mada za kuwachonganisha waislamu na wakristo sio wakristo wala sio waislamu,ni watu wasiokuwa na dini kama wewe mleta mada.Katika uislamu,wapo waislamu wameruhisiwa na dini ya kiislamu wasifunge katika mwezi wa Ramadhani kamaMazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.
Punguza hasira mkuu. Ukipanda boti kwenda znz unalipia kwa shillings na wazungu wanalipa kwa dollar. Hapo huoni ubaguzi?
Fuata taratibu za sheria hivi huyu mleta mada angenunua chakula na kwenda kula kwake au kanisani nani angemfatilia?. Kwanini hakufanya hivyo?
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Si huru, ugalatia umejaa huko ! Huko hata Kariakoo migahawa imefunganina ishi south africa huku dini ni yako mwenyewe hakuna anaye kubuguzi yani kitu kinacho hitwa haki ya binadamu huku wamekitendea haki.
mpaka muislamu kafunga lakini anauza mgahawa wake watu wanakula,huku kila mtu yupo huru [emoji23]
Huyu aliyeleta huu ,uzi sio mkristo,ni mtu anataka kuchonganisha waislamu na wakristo.Ndani ya uislamu wapo waislamu wanaruhusiwa,kutokufunga kwa dharura mbali mbali,kama.Waislamu bwana, yaani wanataka kile wanachokiamini kila mmoja akiamini pia. Tena kwa nguvu!
Huu upuuzi wako wa kukosa dini (upagani/ushenzi) unatakiwa ukome mara moja !Mkuu sisi wengine hatuna dini...ila huu upuuzi wa mtu kushinda njaa na kutaka watu wengine washinde njaa kama yeye inatakiwa uishe
Unataka upite mitaani unakula kula hovyo kama mbwa koko, hali ukijua wenzako wapo kwenye ibada ya kufunga, uzandiki utakumaliza.Halafu bado wanasema wamefunga huku wakiwanyanyasa wenzao!
Unafiki utawamaliza!
Anakula nje ili iweje !? Wacha ulofa wako wa akili, pumbavu mwili mzima wewe !Ficha upumbavu wako, mtu aache kukaa kwake nje na kula kwa raha kisa tumefunga? Huo ni upumbavu.
Nimezaliwa kwenye dini lakini huu ujinga sikuwahi kufundishwa wala kuuona kwetu
Wakristo wanapofunga huwa wanawakataza nyie kula?!Unataka upite mitaani unakula kula hovyo kama mbwa koko, hali ukijua wenzako wapo kwenye ibada ya kufunga, uzandiki utakumaliza.
Si huru, ugalatia umejaa huko ! Huko hata Kariakoo migahawa imefunga