Akikujibu unistue MkuuIdadi ya Challenge x 30,000?
Imagine challenge zipo 100, jumla ni 3,000,000, je vitu alivyonavyo na hela aliyoiingiza vinalingana, huenda simu yake tu 2,500,000, vitu vya saluni alinunulia KIKUU? Nguo ananunulia karume? Naomba tuweke hesabu vyema kabla ya kusema kuna mapato lukuki nje na tiktok, tiktok ni bango tu
Mbaneni vizuri hakuna TikTok influencer anaingiza laki 3 Kwa siku hapa Tanzania Kwa kulipwa na wasanii.
Laki 3 x 30=9,000,000
Kwa mwaka 12 x 9,000,000= 108,000,000
Kwa hiyo Kwa miezi 12 ndugu yenu anaingiza milion 108 halafu anaenda Kununua bodaboda. Au sio
Mbaneni vizuri hakuna TikTok influencer anaingiza laki 3 Kwa siku hapa Tanzania Kwa kulipwa na wasanii.
Laki 3 x 30=9,000,000
Kwa mwaka 12 x 9,000,000= 108,000,000
Kwa hiyo Kwa miezi 12 ndugu yenu anaingiza milion 108 halafu anaenda Kununua bodaboda. Au sio
Naona ushamuongezea wateja
Sio kila siku anapata laki 3. Ikitokea siku imeenda vizuri akapata wateja 10 ndio inafika hiyo. Kumbuka Kuna siku pia hapati mteja hata mmoja
Tulia anataka vijana wajiajiri kwa kulimaHabari wadau.
Nilikuwa nawadharau sana vijana wanaoimba imba na kucheza cheza tik tok. Nawaona wapuuzi hawana kazi ya kufanya na wajinga.
Mtoto wa shangazi yangu ni mmojawapo wa hao wapuuzi wa tik tok. Ana followers laki 6 huko tik tok
Ni binti ana miaka 21 na Anasoma chuo kikuu kimojawapo nchini
Shangazi alikuwa analalamika anahisi mtoto wake amekuwa tapeli ama amepata madanga. Maana amekuwa na pesa huku hana ajira yeyote mara kanunua boda boda. Mara kanunua simu ya gharama, mara kanunua mavifaa ya saloon ya kike.
Baada ya dogo kuhojiwa sana akafunguka hela anavyozipata.
Yupo chuo mwaka wa pili now. Akasema hela anazipata kupitia tik tok.
Wasanii wa bongo fleva wanataka nyimbo zao zitrend tik tok.
Hivyo wakitoa nyimbo zao huwa wanawafata watu wenye followers wengi tik tok na kuwaambia waanzishe challenge za nyimbo zao ili ku wainfluence followers wao na wao waige na mwisho nyimbo inakuwa hit song. Hivyo wasanii huwa wanawalipa hao tik toker wa kuanzisha challenge kama yeye. Mfano yeye anachaji elfu 30 kwa challenge ya wimbo wa msanii
Wasanii wapo kibao na wengi ma underground na nyimbo mpya zinatoka kila siku. Hivyo kwa siku iliyokuja vizuri anaweza kuhudumia hata wasanii 10 na kuingiza laki 3 easy tu japo pia kuna siku huwa hapati mteja hata mmoja
Pia kuna wasanii wa kenya na nigeria nao wana mchezo huu.
Pia waimba nyimbo za injili na kwaya kina rose muhando, bukuku na wengineo nao wameiga mchezo huu
Hivyo ndio inampa hela anazonunua vitu.
Dogo katuonesha inbox yake tik tok na instagram tukaona wasanii kibao wamemfata dm na wanavyomtumia miamala kaonesha ili kutetea hela zake kwamba anazipata kihalali.
Binafsi nimeshangaa sana na kumpongeza dogo kwa jinsi alivyojiajiri
Vijana ,watoto sahv hawataki kufanya kazi za kutoa jashoTulia anataka vijana wajiajiri kwa kulima
Sio kila siku anapata laki 3. Ikitokea siku imeenda vizuri akapata wateja 10 ndio inafika hiyo. Kumbuka Kuna siku pia hapati mteja hata mmoja
Nakazia sana hiiUkimaliza kusoma hii comment yangu, tafuta fimbo chapa sana huyo cute! Narudia piga stick za kutosha atakueleza ukweli wote! Anajulikana vzr tu huyo cute na kawaongopea vibaya sana! Hizo 600k followers zinamfanya ajulikane na apate sponsors! Kuna conve zake ukitumiwa leo hii hii utaenda kumueleza ajitoe huko haraka sana na fimbo juu! Pole mzee uncle kwa kuingizwa cha kike!
Mkuu tulia ujifunze. Wekeza kwenye digital skills inalipa sana. Ukipatia niche/mada mfano blogging ikikuwa unaweza kutengeneza ata billion kwa mwaka yaani kwa mwezi ukalipwa million 100+. Jifunze pata exposure nenda nje ya bara la Africa uone utofauti ukirudi hutokua kama ulivyokua. AsanteMbaneni vizuri hakuna TikTok influencer anaingiza laki 3 Kwa siku hapa Tanzania Kwa kulipwa na wasanii.
Laki 3 x 30=9,000,000
Kwa mwaka 12 x 9,000,000= 108,000,000
Kwa hiyo Kwa miezi 12 ndugu yenu anaingiza milion 108 halafu anaenda Kununua bodaboda. Au sio
Mzee uko deep sana.the real lisoVijana hasa wa kike inabidi waende Tik Tok wakajibinue huko wanaweza kutoboa. Wakikwama waingie Onlyfans mazima. Huko ndo kuna pesa ndefu sasa hasa kama wana misambwanda! 😁🚶🏿♂️
Kwa blogs sikatai japo nayenyewe sio nyepesi kihivyo maana wanaojua ni wengi especially wazungu ambao ngeli inapanda na wana resource nyingi zinazowapatia content za kutosha bila kusahau vitendea kazi camera kali, vacation za hapa na pale wanapoenda kupatia content international.Mkuu tulia ujifunze. Wekeza kwenye digital skills inalipa sana. Ukipatia niche/mada mfano blogging ikikuwa unaweza kutengeneza ata billion kwa mwaka yaani kwa mwezi ukalipwa million 100+. Jifunze pata exposure nenda nje ya bara la Africa uone utofauti ukirudi hutokua kama ulivyokua. Asante
Umemaliza, asipokuelewa basi tena anafaidika na posho za uncle, anaogopa kujua ukweli uncle hela anavozipataUsitumie nguvu kubishana nenda tiktok tumia feki Account, weka picha za kifahari uonekane una pesa afu zama inbox kwa mjomba mtu muulize swali moja tu
'how much for a single night at my hotel.?'
Akikujibu screenshot uje utupe mrejesho. Mwanachuo wa kike mrembo aliye busy mitandaoni sio wa kumuamini hata akiongea ukweli.
Kupata pesa sishangai wala sipingi Lakini kufikisha followes LAKI 6 siyo issue ndogo labda alikuwa atuma video vya .....mpaka kufikisha hao laki 6.Habari wadau.
Nilikuwa nawadharau sana vijana wanaoimba imba na kucheza cheza tik tok. Nawaona wapuuzi hawana kazi ya kufanya na wajinga.
Mtoto wa shangazi yangu ni mmojawapo wa hao wapuuzi wa tik tok. Ana followers laki 6 huko tik tok
Ni binti ana miaka 21 na Anasoma chuo kikuu kimojawapo nchini
Shangazi alikuwa analalamika anahisi mtoto wake amekuwa tapeli ama amepata madanga. Maana amekuwa na pesa huku hana ajira yeyote mara kanunua boda boda. Mara kanunua simu ya gharama, mara kanunua mavifaa ya saloon ya kike.
Baada ya dogo kuhojiwa sana akafunguka hela anavyozipata.
Yupo chuo mwaka wa pili now. Akasema hela anazipata kupitia tik tok.
Wasanii wa bongo fleva wanataka nyimbo zao zitrend tik tok.
Hivyo wakitoa nyimbo zao huwa wanawafata watu wenye followers wengi tik tok na kuwaambia waanzishe challenge za nyimbo zao ili ku wainfluence followers wao na wao waige na mwisho nyimbo inakuwa hit song. Hivyo wasanii huwa wanawalipa hao tik toker wa kuanzisha challenge kama yeye. Mfano yeye anachaji elfu 30 kwa challenge ya wimbo wa msanii
Wasanii wapo kibao na wengi ma underground na nyimbo mpya zinatoka kila siku. Hivyo kwa siku iliyokuja vizuri anaweza kuhudumia hata wasanii 10 na kuingiza laki 3 easy tu japo pia kuna siku huwa hapati mteja hata mmoja
Pia kuna wasanii wa kenya na nigeria nao wana mchezo huu.
Pia waimba nyimbo za injili na kwaya kina rose muhando, bukuku na wengineo nao wameiga mchezo huu
Hivyo ndio inampa hela anazonunua vitu.
Dogo katuonesha inbox yake tik tok na instagram tukaona wasanii kibao wamemfata dm na wanavyomtumia miamala kaonesha ili kutetea hela zake kwamba anazipata kihalali.
Binafsi nimeshangaa sana na kumpongeza dogo kwa jinsi alivyojiajiri
Wewe hiyo 100M unaipata??Mkuu tulia ujifunze. Wekeza kwenye digital skills inalipa sana. Ukipatia niche/mada mfano blogging ikikuwa unaweza kutengeneza ata billion kwa mwaka yaani kwa mwezi ukalipwa million 100+. Jifunze pata exposure nenda nje ya bara la Africa uone utofauti ukirudi hutokua kama ulivyokua. Asante