Jinsi vijana wanavyotengeneza pesa kila siku kwa kutengeza maudhui TikTok

Jinsi vijana wanavyotengeneza pesa kila siku kwa kutengeza maudhui TikTok

Kupata pesa sishangai wala sipingi Lakini kufikisha followes LAKI 6 siyo issue ndogo labda alikuwa atuma video vya .....mpaka kufikisha hao laki 6.

Wabundu watu laki 6 ni wengi sana kuna wasanii maarufu sana unakuta ana milioni 3 au 7.

Sasa mtu wa kawaida huna jambo la ziada kufikisha laki 6, hongera zake

Hana jina kubwa ila ana upuuzi mwingi sana huko tik tok. Wanamuita dada kiwigi.. huyo dogo ni mcheshi kweli kweli anaongeaa kama mzaramo. Ndio maana tik tok kapata sana ma followers
 
Habari wadau.

Nilikuwa nawadharau sana vijana wanaoimba imba na kucheza cheza tik tok. Nawaona wapuuzi hawana kazi ya kufanya na wajinga.

Mtoto wa shangazi yangu ni mmojawapo wa hao wapuuzi wa tik tok. Ana followers laki 6 huko tik tok

Ni binti ana miaka 21 na Anasoma chuo kikuu kimojawapo nchini

Shangazi alikuwa analalamika anahisi mtoto wake amekuwa tapeli ama amepata madanga. Maana amekuwa na pesa huku hana ajira yeyote mara kanunua boda boda. Mara kanunua simu ya gharama, mara kanunua mavifaa ya saloon ya kike.

Baada ya dogo kuhojiwa sana akafunguka hela anavyozipata.


Yupo chuo mwaka wa pili now. Akasema hela anazipata kupitia tik tok.

Wasanii wa bongo fleva wanataka nyimbo zao zitrend tik tok.

Hivyo wakitoa nyimbo zao huwa wanawafata watu wenye followers wengi tik tok na kuwaambia waanzishe challenge za nyimbo zao ili ku wainfluence followers wao na wao waige na mwisho nyimbo inakuwa hit song. Hivyo wasanii huwa wanawalipa hao tik toker wa kuanzisha challenge kama yeye. Mfano yeye anachaji elfu 30 kwa challenge ya wimbo wa msanii

Wasanii wapo kibao na wengi ma underground na nyimbo mpya zinatoka kila siku. Hivyo kwa siku iliyokuja vizuri anaweza kuhudumia hata wasanii 10 na kuingiza laki 3 easy tu japo pia kuna siku huwa hapati mteja hata mmoja


Pia kuna wasanii wa kenya na nigeria nao wana mchezo huu.

Pia waimba nyimbo za injili na kwaya kina rose muhando, bukuku na wengineo nao wameiga mchezo huu

Hivyo ndio inampa hela anazonunua vitu.

Dogo katuonesha inbox yake tik tok na instagram tukaona wasanii kibao wamemfata dm na wanavyomtumia miamala kaonesha ili kutetea hela zake kwamba anazipata kihalali.

Binafsi nimeshangaa sana na kumpongeza dogo kwa jinsi alivyojiajiri
Apambane tu
 
Hela hulipwi na tik tok. Bali hela unapewa na wasanii watakaokufata ufanye challenge ya nyimbo zao.

Wasanii huwa wanaangalia watu wanaofit kufanya challenge ya nyimbo zao.

Labda wewe ni maarufu ila age imeenda ama huna muonekano wa kuchangamsha tik tok kwa challenge
Siyo kweli, na inawezekana hujui hizi platform zinavyofanya kazi ambapo your income depends on followers, view count, content type or both
 
Huko kuna pisi moja ya Nairobi inaitwa Njoki Murira. Hiyo tu basi...Njori Murira nimesema
 
huko only fans wanauza misambwanda ?
Kama analo Tako na sura nzuri onlyfans ndio kwenyewe.

Kwa kifupi Ile ni kama porn site/content platform ma porn stars wengi wamehamia huko baadala kusubiria deals za makampuni ya porn.

Lakini pia sio lazima awe porn star kule Kuna watengeneza content za mlengo mbalimbali

Mfano mapishi, mapambo, fashion n.k.

Social media watu wanatengeneza Hela sana kirahisi tu.
 
30k per challenge then ana boda boda, vifaa vya salon, simu kali, na vitu vingine 🤔 kuna mtu hapo kasema za kuambiwa changanya na zako. sawa mjomba
 
Mkuu tulia ujifunze. Wekeza kwenye digital skills inalipa sana. Ukipatia niche/mada mfano blogging ikikuwa unaweza kutengeneza ata billion kwa mwaka yaani kwa mwezi ukalipwa million 100+. Jifunze pata exposure nenda nje ya bara la Africa uone utofauti ukirudi hutokua kama ulivyokua. Asante
Unadhani sijui digital skills.


Unajibu usichojua


Nimesema hakuna mtu Tanzania anaelipwa laki 3 Kwa siku Kwa kupost nyimbo za wasanii. Unakuja kujibu upuuzi mwingine.
 
Labda kweli, vipi account yake huwa anapost nyimbo tofauti fofauti kwa muda gani.

Isijekua amekuona wewe ni mjomba na sio uncle janjajanja kakuingiza cha kike ili na wewe ukaaminishe wenzio. Hivi vitoto ni vijanja sana.

All in all mitandaoni kuna easy money kwa wale wanaopenda mitandao.
Kanat*mbesha hako!
 
Back
Top Bottom