Jinsi "wasaliti " wanavyoula CCM, huku wafia chama wakitoswa

Jinsi "wasaliti " wanavyoula CCM, huku wafia chama wakitoswa

mwenyekiti aweke wazi mapato na matumizi yatakanayo na pesa za ruzuku, akumbuke zile ni pesa za walala hoi. alafu chama chetu ni cha demokrasia iweje atawale kwa zaidi ya miaka 20? sie vijana tunazungushwa mikono tu wakati wakubwa wakitafuna kuku...... wanatufanya mafala leo wanatuambia fisadi kesho wanataka tumuite mheshimiwa.
 
mwenyekiti aweke wazi mapato na matumizi yatakanayo na pesa za ruzuku, akumbuke zile ni pesa za walala hoi. alafu chama chetu ni cha demokrasia iweje atawale kwa zaidi ya miaka 20? sie vijana tunazungushwa mikono tu wakati wakubwa wakitafuna kuku...... wanatufanya mafala leo wanatuambia fisadi kesho wanataka tumuite mheshimiwa.
Hoja ya kijinga sana ! hivi unajua utajiri wa Bilionea Mbowe we masikini ? au unaiga tu wanavyoandika mbumbumbu wenzio ?
 
mwenyekiti aweke wazi mapato na matumizi yatakanayo na pesa za ruzuku, akumbuke zile ni pesa za walala hoi. alafu chama chetu ni cha demokrasia iweje atawale kwa zaidi ya miaka 20? sie vijana tunazungushwa mikono tu wakati wakubwa wakitafuna kuku...... wanatufanya mafala leo wanatuambia fisadi kesho wanataka tumuite mheshimiwa.
Utabaki unavaaa manguo ya Kijani wenzako wanateuliwa na ulikuwa ukiwaita Wapinzani sasa unaita Mkuu Mkuu
 
Hii ni mbinu ya kubomoa upinzani ili watu makini washawishike kuhama kwa tamaa ya vyeo.
Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.

Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.

Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Julius Mtatiro , Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.

Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.

Majuto ni mjukuu.
 
Hili liwe angalizo kwa vijana wa CCM wanaokesha mitandaoni kutetea wanachokiita chama chao, lakini kumbe chama kina wenyewe.

Sasa ni dhahiri kwamba watu ambao kwa miaka mingi wameiponda CCM hadharani na gizani ndio wanaoteuliwa kushika vyeo ndani ya serikali, huku wanaojiita wafia chama wakipuuzwa na kuonekana vilaza.

Juliana Shonza, Kitilla Mkumbo, Augustino Mrema , Anna Mughwira, Julius Mtatiro , Mtella Mwampamba, Humphrey Polepole , Wilbrod Slaa , Ibrahim Lipumba ni baadhi ya majina machache tu ya walioiponda ccm kwa miaka mingi, lakini wakaonekana lulu baada ya kusaliti walikotoka.

Ndugu yangu unayejifanya CCM ni yako kiasi cha kutetea hata maovu, huu ni wakati wa kujitafakari nafasi yako ndani ya CCM , The time is now.

Majuto ni mjukuu.
umemuweka na Lolepole kama msaliti kivipi?
 
Back
Top Bottom