Jinsi ya kujitoa Mange Kimambi app

Jinsi ya kujitoa Mange Kimambi app

Wakuu za asubuhi
Nimejaribu bila mafanikio kujitoa kwenye hii app. Nimewasiliana na wao sipati msaada. Hawana majibu. Benki niliyojisajilia wanasema solution ni.kubadili kadi ya benki. Hivi kweli hadi nibadili kadi?

Kila mwezi nakatwa tsh 2300/- automatically. Sijui nilifanyaje. Nikitaka kufuta akaunti yangu inashindikana. Maelezo niliyopewa kama nilijisajili kupitia app store basi niingie huko nikiona hiyo app ni unsubscribe. Wala sijaiona. Mange mwenyewe hajibu meseji zangu kupitia platform zake. Nia yangu niachane na hiyo app tu kwa sasa. Wazee wa tech tafadhali
Endelea kula umbea kijana si uliutaka?🤣🤣
 
Wanaume wengi ni wanafiki sana. Wengi mnayo app ya mange..mnahishebedua tu hapa.
Tena mijanaume mikubwa kabisa...wanamfatilia mange. Nimeshawaona kama watatu hivi nikashangaa sana.
wewe kuwa nayo hukushangaaa 😀 😀 😀
 
Wakuu za asubuhi
Nimejaribu bila mafanikio kujitoa kwenye hii app. Nimewasiliana na wao sipati msaada. Hawana majibu. Benki niliyojisajilia wanasema solution ni.kubadili kadi ya benki. Hivi kweli hadi nibadili kadi?

Kila mwezi nakatwa tsh 2300/- automatically. Sijui nilifanyaje. Nikitaka kufuta akaunti yangu inashindikana. Maelezo niliyopewa kama nilijisajili kupitia app store basi niingie huko nikiona hiyo app ni unsubscribe. Wala sijaiona. Mange mwenyewe hajibu meseji zangu kupitia platform zake. Nia yangu niachane na hiyo app tu kwa sasa. Wazee wa tech tafadhali
Aibu naona mimi
 
Wanaume wengi ni wanafiki sana. Wengi mnayo app ya mange..mnahishebedua tu hapa.
Tena mijanaume mikubwa kabisa...wanamfatilia mange. Nimeshawaona kama watatu hivi nikashangaa sana.
Nyuzi za "Mji Mzito" za Marehemu yule zilikuwa zinatembea ile mbayaa..

Hiyo yote ina maanisha 99% za wana jf wanapenda udaku...

Hata hiyo Mange Kimbambi App 90% humu wanayo, sema publicly wanajibaraguza, BTS wanayo sanaaa, vpn zinawashwa kwa kwenda mbelee..
 
Wanaume wengi ni wanafiki sana. Wengi mnayo app ya mange..mnahishebedua tu hapa.
Tena mijanaume mikubwa kabisa...wanamfatilia mange. Nimeshawaona kama watatu hivi nikashangaa sana.
Ukashangaa nini? Ungeuliza pengine wana sababu za msingi. Hata mimi nilikuwa na hiyo app na nilikuwa nime-subscribe kulipia kila mwezi lakini sasa nimejitoa. Kilichofanya nijiunga ni kum-support Mange mwenyewe kwa kupigana vita vya mtu mmoja, bila woga kipindi cha udikteta wa Magufuli. Na juzi juzi pia alipopinga mama Abdul kumilikisha bandari zetu kwa waarabu. Kwa sasa nimejitoa kwa sababu kaacha kuanika uovu wa viongozi. Akirudia tena na mimi nitajiunga tena.
 
Wewe ni ke au me? tuanzie hapo kwanza.
Wakuu za asubuhi
Nimejaribu bila mafanikio kujitoa kwenye hii app. Nimewasiliana na wao sipati msaada. Hawana majibu. Benki niliyojisajilia wanasema solution ni.kubadili kadi ya benki. Hivi kweli hadi nibadili kadi?

Kila mwezi nakatwa tsh 2300/- automatically. Sijui nilifanyaje. Nikitaka kufuta akaunti yangu inashindikana. Maelezo niliyopewa kama nilijisajili kupitia app store basi niingie huko nikiona hiyo app ni unsubscribe. Wala sijaiona. Mange mwenyewe hajibu meseji zangu kupitia platform zake. Nia yangu niachane na hiyo app tu kwa sasa. Wazee wa tech tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu za asubuhi
Nimejaribu bila mafanikio kujitoa kwenye hii app. Nimewasiliana na wao sipati msaada. Hawana majibu. Benki niliyojisajilia wanasema solution ni.kubadili kadi ya benki. Hivi kweli hadi nibadili kadi?

Kila mwezi nakatwa tsh 2300/- automatically. Sijui nilifanyaje. Nikitaka kufuta akaunti yangu inashindikana. Maelezo niliyopewa kama nilijisajili kupitia app store basi niingie huko nikiona hiyo app ni unsubscribe. Wala sijaiona. Mange mwenyewe hajibu meseji zangu kupitia platform zake. Nia yangu niachane na hiyo app tu kwa sasa. Wazee wa tech tafadhali
Acha roho mbaya mkuu,ebu endelea kumchangia Mange,Mtanzania mwenzio huyo ujue
 
Mim nipo nje ya mada. Najaribu sana kufungua akaunt twita kwan ya awal nimeipoteza.sasa kila nikifika kipebgele cha kuweka namba ya simu inazunguka ina kwambia unfortunately we cannot register your number at the moment. Hii ni gan?
 
Dah! sijaamini kilichotokea hapa. Page 3 za mashambulizi? Nakumbuka nina threads za kutosha za maana ila hazina hata page mbili za uchangiaji. Wanaojiita wa busara ndio hao wanaochafua jukwaa hili kwa kejeli. Wanachojua ni mipasho tu. Hii ni hatari kwa taifa. Ningekuwa chitchat sawa, ila hapa natafuta ufumbuzi wa ishu iliyotokea. Hao hao wanaoponda hapa ukiwachunguza ni hodari kwa habari za udaku. Nimewasamehe.

Mkuu ukisoma uzi utaona maelezo yangu
Hawajui kuwa wewe ni kitengo na uliingia kule just kufuata info😃
 
Wakuu za asubuhi
Nimejaribu bila mafanikio kujitoa kwenye hii app. Nimewasiliana na wao sipati msaada. Hawana majibu. Benki niliyojisajilia wanasema solution ni.kubadili kadi ya benki. Hivi kweli hadi nibadili kadi?

Kila mwezi nakatwa tsh 2300/- automatically. Sijui nilifanyaje. Nikitaka kufuta akaunti yangu inashindikana. Maelezo niliyopewa kama nilijisajili kupitia app store basi niingie huko nikiona hiyo app ni unsubscribe. Wala sijaiona. Mange mwenyewe hajibu meseji zangu kupitia platform zake. Nia yangu niachane na hiyo app tu kwa sasa. Wazee wa tech tafadhali
[emoji1787][emoji23][emoji1787] ukome ila nakusaidia soma comment inayofuata
 
Back
Top Bottom