Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

Huko chini vijana watapata sana cancer ya koo, kinadharia unaona unamfurahisha mwanamke kumbe zile bacteria hatari zinazomsumbuwa mwanamke unazitowa kwake huku akisikia raha zinahamia kwa mwanaume.
Sio kweli mkuu nina ushahidi na wewe lete ushahidi wa hicho unachokiita cancer ya koo iliyosababishwa na kumnyonya mkeo uchi..
Wapeni raha wake zenu acheni kujifungia kwenye box.
Be free bro sasa unakataa kumpa raha mpenzi wako halafu unaenda kuvuta sigara unapata cancer..
 
Pole sana,mimi yalinishinda nimabeba virago,sasa naishi kwa amani sana
 
Acha kupoteza muda kuwaza namna ya kumfurahisha mwanamke , mwanamke mfanyie mfano wa yale anayo kutendea akileta dharau na wewe weka ubedui akitulia na wewe kuwa mwema kwake pia.
Lucha Devil one "Ushetani uendelee"
By Devil one promax.
Natafuta Ajira Devil two come bro huku tuna jambo letu.. Gianado.
 
Kuchapiwa wanachapiwa hata weñye Pesa.
Ukipata anayekupenda na unampenda OA.

Pesa siô msingi Mkûu wa Ndoa ila Kazi NI msingi WA Ndoa.

Mwanamke anayeolewa Kisa Pesa Hana tofauti na Kahaba WA pale Kimboka
Halafu inatia ukakasi na kuniogofya pale naposoma mentality ya mwanamke ambae kuanzia kwao ni masikini kabisa yaani kaishi na baba yake miaka ishirini na tatu au nne
Lakini huyo baba yake hajaweza kumuwekea akiba hata ya laki tano kwenye akaunti

Lakini anajiweka kama vile kosa la umasikini wake ni la mumewe so mwanaume wake anatakiwa asafoketi kumjengea uchumi yeye peke yake yaani she singles herself out of her man's family..
Kwa kitisho kuwa asipotekelezewa hayo anayoyataka ya kupewa pesa eti atatombwa kwingine daah!!
Yaani masimp naona yanavyoandaliwa kisaikolojia na yanalegea yanaingia kwenye mifumo ya mamalaya yaliyoshindikana hadi visimi vimegina..
Mwamba hapo juu kacoment kuwa
"Siwezi kukupa pesa na penzi its either you take one" ukiondoka mi nitabaki na nini?
Na ukichagua pesa ujue mimi ndie price manipulator..
Nakupa price nayoona inakufaa then mahitaji mengine hupati unapita hivi.
Na hii ni kama unafaa for one night stand.
 
Oya. Unaiabisha hio logo. Watu wa hivyo sio waswahili swahili kama wewe kutumatuma comment ovyo. Kama vipi badilisha.
Take it easy broo
Usivichukulie serious sana vitu vya humu broo.
Even bros in brotherhood need refreshment
Usinikazie sana damu yangu..
Au nimekuboa kumtag manzi naemuelewa?
Sema kweli..
 
Hili swala la kumfurahisha mwanamke au mtu yeyote, ni subjective.

Huwezi toa maoni yako kuhusu wanawake halafu ukafanya generalization kwa wanawake wote kwamba ndio wapo hivyo.

Kuna wanawake wako very serious na very strict kwenye maisha yao na wala hawana mambo ya utani na drama.

Na wala hawahitaji kufurahishwa.
 
Ewe mwnaume, jifurahishe achana na hizi biashara za kutaka kufurahisha kiumbe mwanamke. Do what pleases you the most, kama ataangukia kwenye package ni sawa, kama sio apambane na hali yake...ila jifurahishe wewe kama wewe.
Mkuu yaani unamaanisha niache kumfurahisha@Atoto ili umgegede wewe tu na kibunda chako?
HUjanishawishi bado naiona hidden agenda yako hapa.
 
Mambo uliyoandika ni nadharia tupu hakuna uhalisia

Eti ukicheka tumia sanaa. Ulishawahi kumuona baba yako akimchekea mama yako kisanii

Wewe dogo akili zako unazijua mwenyewe. Wewe endelea kuwachekea kisanaa wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…