Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Mkwe hakuna kitu kipya...
Kama ni kukojoza, hata maji yanakojoza...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pigia mstari yaan uwe na mate mate sio muda wote koo limekauka kau ila wanawake hawaeleweki km chupa ya maji ya kunywa yanayouzwa 500/1000Apo mada kuu ilikua ni kua na pesa
Mimi nakupenda hio style yako ya Shabaranks tu way mpaka kisogoni inamaanisha karibu kwa Mpala&£&£eUnaakili sana, ndio maana nakupenda😂😂
Unamkosea sana my wife wangu.Mimi nakupenda hio style yako ya Shabaranks tu way mpaka kisogoni inamaanisha karibu kwa Mpala&£&£e
Mkwe mambo gani haya unaongea!!!Mkwe hakuna kitu kipya...
Kama ni kukojoza, hata maji yanakojoza...
Sio kweli mkuu nina ushahidi na wewe lete ushahidi wa hicho unachokiita cancer ya koo iliyosababishwa na kumnyonya mkeo uchi..Huko chini vijana watapata sana cancer ya koo, kinadharia unaona unamfurahisha mwanamke kumbe zile bacteria hatari zinazomsumbuwa mwanamke unazitowa kwake huku akisikia raha zinahamia kwa mwanaume.
Pole sana,mimi yalinishinda nimabeba virago,sasa naishi kwa amani sanaUjinga ujinga kama huu mimi siwezi kufanya tena.
Week 1 sasa hatuwasiliani wala kuongea na wife japo tunakaa nyumba 1 na tunalala kitanda kimoja.
Mwanamke mjuaji kupitilizaaa.
Neno samahani kwake mwaka huu sijawah kulisikia
Mwanamke mbishii jeuri anajiamin kupita kiasi.
MWanamke nyumba hajui hata kuipangilia, unarud jioni unakuta pampas za mtoto kuanzia sitting room kwenye makochi mpaka chumban kitandani nazimetumika.
Mwanamke anaweka pedi zilizotunika bedroom mpaka umkumbushe baada ya kuona chumban sasa kunanuka. Ukimrekebusha ligi ya maneno inaanza
Dah wakuu, hawa wanawake wengine ni mitihan sanaaaa.
KWasasa nimeamua kuwa mkimya na kwasababu ya tabia yake kwakwel nachukizwa nae mnooo, sitaki hata kuongea nae huyu mpumbavu.
Yan nataman hata nitafute nyumba ndogo huko njee
Lucha Devil one "Ushetani uendelee"Acha kupoteza muda kuwaza namna ya kumfurahisha mwanamke , mwanamke mfanyie mfano wa yale anayo kutendea akileta dharau na wewe weka ubedui akitulia na wewe kuwa mwema kwake pia.
Hey Devil two I waited for you for so long my brooUna sifa zote za kuitwa simp
yamekua ayo tena😂😂🥲We Phalller kweli 🤣🤣🤣
Oya. Unaiabisha hio logo. Watu wa hivyo sio waswahili swahili kama wewe kutumatuma comment ovyo. Kama vipi badilisha.
Halafu inatia ukakasi na kuniogofya pale naposoma mentality ya mwanamke ambae kuanzia kwao ni masikini kabisa yaani kaishi na baba yake miaka ishirini na tatu au nneKuchapiwa wanachapiwa hata weñye Pesa.
Ukipata anayekupenda na unampenda OA.
Pesa siô msingi Mkûu wa Ndoa ila Kazi NI msingi WA Ndoa.
Mwanamke anayeolewa Kisa Pesa Hana tofauti na Kahaba WA pale Kimboka
Unaniaibisha eti huo ni Uphaller 🤣🤣🤣yamekua ayo tena😂😂🥲
Samahani mkuu🥲🥲😂😂Unaniaibisha eti huo ni Uphaller 🤣🤣🤣
Take it easy brooOya. Unaiabisha hio logo. Watu wa hivyo sio waswahili swahili kama wewe kutumatuma comment ovyo. Kama vipi badilisha.
Mkuu yaani unamaanisha niache kumfurahisha@Atoto ili umgegede wewe tu na kibunda chako?Ewe mwnaume, jifurahishe achana na hizi biashara za kutaka kufurahisha kiumbe mwanamke. Do what pleases you the most, kama ataangukia kwenye package ni sawa, kama sio apambane na hali yake...ila jifurahishe wewe kama wewe.
Usiwaze Bibiye wa ubani napata tips za kukufanya unipende 🤣🤣🤣Samahani mkuu🥲🥲😂😂
Mambo uliyoandika ni nadharia tupu hakuna uhalisiaWakubwa zangu nishakuambia wengi wenu hamna lolote la kufunza Vijana wa Zama hizi hasa kuhusu mahusiano
Wengi mliishi Kwa maneno ya uongo yenye ubinafsi
Ukimwambia au ukiambiwa utetee hoja ya Kwa nini usimfurahishe Mkeo ndîo utathibitisha ninayoyasema NI kweli au siô kwèli.
Embu toa hoja tatu kuntu Kwa nini unashauri Vijana wasifurahishe Wake zào?
Nakusikiliza