min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mtakula nini🤣Vipi kama mwanaume nae ni maskini na anataka kuoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtakula nini🤣Vipi kama mwanaume nae ni maskini na anataka kuoa?
Ndio hapo sasa lazima mwanaume awe amejipata vinginevyo akina sisi ndio tupo.Mtakula nini🤣
Kabisa tena kujipata haswa , ndio maana mimi huwa nasema mpaka nikifika 60 huko 😁😁Ndio hapo sasa lazima mwanaume awe amejipata vinginevyo akina sisi ndio tupo.
Nakubali upo sahihi.Vivyohivyo
Wanaume Maskini wakipata wengi waô wanatabia za Wasanii Muziki
Kina Pdidy, Lily Wyne n.k. hata Hapa bongo Wala usishangae kuona Kwa nini Wasanii hu-act vile wanavyo-act, sababu kûbwa ni poor Background Kwa wengi waô.
Hakuna Watu wanyanyasaji kama Wanaume waliotoka familia Maskini alafu wakazifuma Pesa. Wengi waô ni hatari
Ushahidi ukitaka nitakupa
🤣 60? Wewe unakimbia kuoa huna lolote.Kabisa tena kujipa haswa , ndio maana mimi huwa nasema mpaka nikifika 60 huko 😁😁
Nitaoa ila pesa zinakuja kwangu kwa mwendo wa kobe ndio maana🤣🤣🤣😅🤣 60? Wewe unakimbia kuoa huna lolote.
Unaona Ms R ninachokuambiaga ? 🤣🤣🤣.utulie tuli.
Kuleta umaskini wako kwèñye mapenzi utajikuta NI Malaya àmbaye asiye na vyeti.
Fanya Kazi
Saidiana na mwenzako.
Hayo ndîo maisha
AmeeeeeeeenSema tawileeeeee
Noted with thanks.utulie tuli.
Kuleta umaskini wako kwèñye mapenzi utajikuta NI Malaya àmbaye asiye na vyeti.
Fanya Kazi
Saidiana na mwenzako.
Hayo ndîo maisha
Yes hakuna anaependa umaskini lkn sasa ndio umejikuta upo humo muda unasonga ila hujatoboa bado. Ndio nikasema huu msemo wa mwanaume usioe mwanamke maskini ni kwa wanaume waliojipata tu vinginevyo utapata wa kufanana nae hakuna namna.Miss Kelsea hakuna Mwanaume anayependa umasikini na ndio maana huwa tunachukuwaga maamuzi magumu katika kutafuta hela japo nature nayo huwa imepanga mipango yake pia.
Niende uko nje nikafe,,bi mdogo mie nmetulizwa au unasemaje😂😂Wacha weee umepata ndio sasa uende wapi tena 🤣🤣🤣
Sisi hatujawahi kuwa na drama kama hizi unawafundisha vijana wenzako na ndoa zetu zimedumu nyinyi na drama zenu zote kila siku mnalialia kuhusu ndoaUkiona Watoto hawafundishiki ujue wewe NI Mzee uliyefeli karibu kîla kitu.
Huwazi mfundisha Mtu Jambo ambalo ulifeli.
Mambo mengi Wazee wetu mlifeli hivyo mnastahili kupuuzwa
Huogopi madonda ya koo🏃🏃🏃😁😂😂😂Chizi wewe unaniona baadala ya kuja nikupige deki😝
Kumbe umeoa,,niltaka nianze kukutegea mingoSisi hatujawahi kuwa na drama kama hizi unawafundisha vijana wenzako na ndoa zetu zimedumu nyinyi na drama zenu zote kila siku mnalialia kuhusu ndoa
Ila siku ukishakua utakuja kutambua kuwa haya yote uliyoandika ni pumba tupu
Mark this comment
Uzushi tuu huo wa wanazengo....hamna cha vidonda wala nini....ni full kuchezea kisimi na ulimi huku miguu yako ipo shingoni mwanguHuogopi madonda ya koo🏃🏃🏃😁
Mingo inaruhusiwaKumbe umeoa,,niltaka nianze kukutegea mingo