Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

kwani wewe hujasikia jamaa analia? au ya Mengi na Klyine huyafahamu kwamba alikuwa anatumia pesa za mzee kula maisha na njemba mwingine?
Hayo ya kyline siyafahamu...
Ninachofahamu kwa kuwa Mzee alikuwa na Hela alifanikiwa kumnasa...asingekuwa nayo hakuna ambacho angeambulia..
 
Ukisoma hoja zangu utaona maeneo kama kumlisha, kumfanya apendeze, n.k. hayo yôte yanahitaji Pesa lakini siô nyingi kama àmbavyo unàtaka kuaminisha.

Ukifanya Kazi Huwezi shindwa kumhudumia Mwanamke wako. Na hauhitaji Mamilioni ya Pesa kufanya mambo Hilo.
Madini muhimu sana kuhani wa hekalu jeusi
 
Kuchapiwa wanachapiwa hata weñye Pesa.
Ukipata anayekupenda na unampenda OA.

Pesa siô msingi Mkûu wa Ndoa ila Kazi NI msingi WA Ndoa.

Mwanamke anayeolewa Kisa Pesa Hana tofauti na Kahaba WA pale Kimboka
Sina pesa sioi mkuu, hawa wanazingatia maokotoo tu😜
 
Sina pesa sioi mkuu, hawa wanazingatia maokotoo tu😜

😃😃
Hizo NI propaganda kuwatisha Wanaume na kuwafanya wawe watumwa wa Wanawake.

Wewe Oa akizingua piga chini. Oa tenà, akizingua piga chini
Oa
Oa
Oa

Ishi mwenyewe kama umekuwa tajiri Sana.
Ishi mwenyewe kama NI kapuku Sana
Ishi mwenyewe kama unamagonjwa ya kushindwa kumtosheleza Mwanamke.

Ishi mwenyewe kama hutaki kero za Wanawake
 
Vipi kama mwanaume nae ni maskini na anataka kuoa?

Miss Kelsea hakuna Mwanaume anayependa umasikini na ndio maana huwa tunachukuwaga maamuzi magumu katika kutafuta hela japo nature nayo huwa imepanga mipango yake pia.
 
Vipi kama mwanaume nae ni maskini na anataka kuoa?

Vivyohivyo

Wanaume Maskini wakipata wengi waô wanatabia za Wasanii Muziki
Kina Pdidy, Lily Wyne n.k. hata Hapa bongo Wala usishangae kuona Kwa nini Wasanii hu-act vile wanavyo-act, sababu kûbwa ni poor Background Kwa wengi waô.

Hakuna Watu wanyanyasaji kama Wanaume waliotoka familia Maskini alafu wakazifuma Pesa. Wengi waô ni hatari
Ushahidi ukitaka nitakupa
 
Back
Top Bottom