Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

Sisi hatujawahi kuwa na drama kama hizi unawafundisha vijana wenzako na ndoa zetu zimedumu nyinyi na drama zenu zote kila siku mnalialia kuhusu ndoa

Ila siku ukishakua utakuja kutambua kuwa haya yote uliyoandika ni pumba tupu

Mark this comment

Zilidumu Kwa sababu walikuwa watumwa wenu.
Maskini
Fukara
Wasio na Elimu
Ndîo maana mkawanyanyasa, mkawa mnawapiga, mkawaolea Wanawake wengi, mkawanyima Urithi, mkawakeketa,

Mliwachukulia Wanawake kama Ng'ombe zenu, kuwapiga na kuwakaripia kama Watumwa wenu.
Yàani Nyie ndîo mje muwe lecturer wa mahusiano na Ndoa?


Wazee kama ninyi Hakuna lolote la maana mtakalotufundisha kwèñye ishu ya Ndoa na mahusiano

Mkûu ninyi mlifeli Vibaya Karibu kîla Eneo
Kwèñye 100 ninyi mngepata 20%
Nayo ni Kwa sababu mlizaa full stop
 
Na Kwa nini uchukue àmbaye Hana na anahitaji Pesa Kutoka Kwa Wanaume badala ya kufanya Kazi?
We kajamaa una akili mno,bile 3D view mtu awezi elewa huu uzi wako... Nimetazama kwa jichola 3 tokq mbaliiiii mno na kuuona ujumbe wasiri uliouficha. Big up
 
Usiwekeze muda na hisia kumfurahisha mwanamke , hakuna siku atatosheka na furaha zako kwani mwanamke kwenye mapenzi anafanya utafiti wa kudumu hivo atajaribu mengi na wengine bila wewe kujua
 
Tupe mbinu za kufurahisha watoto wetu na wazazi sio hao kuku maji

😂😂
Acha Hasira.

Mbinu kuu ya kumfurahisha Mtoto au Watoto NI kumfurahisha Mkeo.

Wazazi wanafurahishwa kama utaweza kuimudu na kuwa na furaha na familia yako(mkevna Watoto wako)
 
Yes hakuna anaependa umaskini lkn sasa ndio umejikuta upo humo muda unasonga ila hujatoboa bado. Ndio nikasema huu msemo wa mwanaume usioe mwanamke maskini ni kwa wanaume waliojipata tu vinginevyo utapata wa kufanana nae hakuna namna.
Umasikini huwa upo kwa pande nyingi.
1.Umasikini wa akili ndio mbaya sana
2.Umasikini wa kushindwa kuwa na mahusiano mazuri na watu
3. Umasikini wa roho na nafsi
Ukiwa masikini wa hivyo vitu nilivyotaja mafanikio yatakuwa ni magumu sana. Na kila mtu hapa duniani Nature imemkadiria na kinachosababisha watu kushindwa kufikia kile alichokadiriwa ni hizo aina tatu za umasikini hapo juu
 

Kulikuwa nachango wa aina hiyo? Mada ipo wapi?

NJIAPANDA: Mke wangu alileta mchepuko wake kwangu wiki mbili wakitafuta mtoto, sasa anakaribia kujifungua!

Sina kawaida ya kushika simu ya mke wangu kwani nilikuwa namuamini kiasi kwamba sijawahi hata kufikiria kama atakuja kunisaliti. Nimeoa na ndoa yangu ina miaka 3 sasa, na Mungu ametujalia mtoto mmoja. Sasa hivi mke wangu ni mjamzito na ana mapacha wawili tumboni.

Wiki mbili zilizopita niliona kama mke wangu amebadilika. Alikuwa hana raha na kila nikitaka kuongea naye, anakuwa mkali, na hata kunifokea hadi kunitukana mbele za watu. Mimi nilijua ni ujauzito kwani ana mimba ya miezi nane, hivyo nilijishusha na kukaa kimya.

Lakini kuna kitu kilinichanganya, alikuwa karibu sana na simu yake. Alikuwa bize nayo kiasi kwamba hata chakula alikuwa hali. Ilionekana kama kuna mtu anachati naye. Kilichonishtua zaidi ni kwamba hakutaka mtu kugusa simu yake, hata mtoto akigusa simu, anakuwa mkali, anatukana hadi basi.

Mimi password yake nilijua muda mrefu, ila sikujisumbua naye kwani alijua siijui. Nilipoona mabadiliko, nikaamua kufuatilia kujua ni nini. Nikakuta analalamika kwenye meseji nyingi tu anazotuma kwa mtu mmoja, ambaye hajahifadhiwa kwenye simu. Mwanzoni, meseji zilikuwa zinazungumzia mambo ya ujauzito, baadhi zilikuwa zimefutwa, lakini ni kama alikuwa anamwambia kuhusu watoto wake na mambo kibao, ikionyesha kuwa yeye ndiye baba wa watoto na walionysha kuwa vizuri sana.

Baadaye nikaona Mke wangu alikuwa analalamika, "Utambarikije ndoa na mke wako wakati uliniambia umemuacha? Kwanini uliniambia nibebe mimba kama ulikua na mpango wa kumuacha huyo mwanamke?" Mwanaume alikuwa hajibu, hivyo anatuma meseji tu zaidi ya mia mbili analalamika ila hajajibiwa.

Kwa kweli nilipaniki, nikaamua kufuatilia, nikagundua kuwa hata kadi ya kliniki sijaandikwa mimi kama baba wa mtoto, amemuandika huyo mtu ambaye nilipofuatilia ni mtu namjua. Alishawahi kuja mpaka kwangu kipindi fulani, akaniambia ni baba wa rafiki yake. Aliniomba huyo baba aje kulala kwangu kwa sababu alikuja yuko kwenye matibabu, mpaka rafiki ayke ananipigia simu kunishukuru, akakaa kwangu wiki mbili. Najua alikuwa anaenda hospitalini Muhimbili kumbe ndiyo walikuwa wanatafuta mtoto.

Kwa maana kuwa kumbe walishangaika kupata mtoto kwa muda mrefu kwa sababu mwanaume yuko mkoani. Mke wangu ndiye aliamua kumkaribisha nyumbani ili iwe rahisi kwake kubeba mimba, kwamba wakati mimi niko kazini wao wanahangaika kupata mtoto. Na kwa kweli nilipoangalia tarehe, zinalingana na kipindia licjhobeba mimba.

Sijamuuliza mke wangu kitu chochote, bado nipo kimya. Wiki ijayo ndiyo nampeleka kwao kwa ajili ya kujifungua kwani alisisitiza sana kuhusu mimi kumpeleka. Sasa najiuliza nifanye nini? Sina amani, sina raha, bado nimeshangaa. Hii mimba imenisumbua sana, amenitukana sana na kunidhalilisha sana, nilijua ni kisirani cha mimba kumbe hata si mimba yangu. Naomba ushauri, nifanye nini?

Sahihi kabsa mkuu
 
Kweli sikupingi

Nadhani hayo mambo wanayaweza watoto wa chuo
Ndio maana huyu dogo tunamwamhia akikua atakuja kugundua hizi drama alizoandika ni irrelevant kwenye maisha halisi ya ndoa.

Kama ulivyosema hasahasa watoto wa chuo na walamba lips tu ndio wana muda wa kusimp hivyo
 
Ujinga ujinga kama huu mimi siwezi kufanya tena.
Week 1 sasa hatuwasiliani wala kuongea na wife japo tunakaa nyumba 1 na tunalala kitanda kimoja.
Mwanamke mjuaji kupitilizaaa.
Neno samahani kwake mwaka huu sijawah kulisikia
Mwanamke mbishii jeuri anajiamin kupita kiasi.
MWanamke nyumba hajui hata kuipangilia, unarud jioni unakuta pampas za mtoto kuanzia sitting room kwenye makochi mpaka chumban kitandani nazimetumika.
Mwanamke anaweka pedi zilizotunika bedroom mpaka umkumbushe baada ya kuona chumban sasa kunanuka. Ukimrekebusha ligi ya maneno inaanza

Dah wakuu, hawa wanawake wengine ni mitihan sanaaaa.

KWasasa nimeamua kuwa mkimya na kwasababu ya tabia yake kwakwel nachukizwa nae mnooo, sitaki hata kuongea nae huyu mpumbavu.

Yan nataman hata nitafute nyumba ndogo huko njee
Umeoa mwanamke mchafu sana, pole sana kiongozi...just live with it. yaani pedi zinakaa tu hovyo, diapers zinazagaa tena zimetumika...una zigo lako hapo
 
Ewe mwnaume, jifurahishe achana na hizi biashara za kutaka kufurahisha kiumbe mwanamke. Do what pleases you the most, kama ataangukia kwenye package ni sawa, kama sio apambane na hali yake...ila jifurahishe wewe kama wewe.
 
Dogo Robert Heriel Mtibeli ona ushauri wa wakubwa zako wote kwenye huu uzi wako

Wakubwa zangu nishakuambia wengi wenu hamna lolote la kufunza Vijana wa Zama hizi hasa kuhusu mahusiano

Wengi mliishi Kwa maneno ya uongo yenye ubinafsi

Ukimwambia au ukiambiwa utetee hoja ya Kwa nini usimfurahishe Mkeo ndîo utathibitisha ninayoyasema NI kweli au siô kwèli.

Embu toa hoja tatu kuntu Kwa nini unashauri Vijana wasifurahishe Wake zào?

Nakusikiliza
 
Back
Top Bottom