Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Ukifanya yote hayo yeye atakupa nini?
Hiyo NI Mada ñyiñgine àmbayo itabeba kichwa "jinsi ya kumfurahisha Mwanaume wako"
Swali Lako lipo nje ya mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifanya yote hayo yeye atakupa nini?
Karibu masaki jioni kwenye pati yangu mtoto mzuriNakupigia nyeto wewe
Hivyo vyote sijui kuhusu sanaa vinakuwa na nguvu siku za mwanzoni ila baada ya muda vinazoeleka na vinaanza kuwa bored kwa mwenzako.
Hata pesa nayo huzoeleka ila hii kidogo inachukua muda tofauti na hayo mambo ya kisanaa.
Karibu masaki jioni kwenye pati yangu mtoto mzuri
hapana liko ndani ya mada, kwa sababu kila unalolifanya lina matarajio, kabla haujaenda kwenye hiyo mada nyingine, ni nini mwanaume anapata katika kumfurahisha mwanamke?Hiyo NI Mada ñyiñgine àmbayo itabeba kichwa "jinsi ya kumfurahisha Mwanaume wako"
Swali Lako lipo nje ya mada
kumbe unajua jinsi yakumfurahisha mwanume😁😁😁😁karibu kwenye pati jioni ya leoHiyo NI Mada ñyiñgine àmbayo itabeba kichwa "jinsi ya kumfurahisha Mwanaume wako"
Swali Lako lipo nje ya mada
Dah sasa unatombajeeee bila kuzama chumvini...mie siwezi aiseeHuko chini vijana watapata sana cancer ya koo, kinadharia unaona unamfurahisha mwanamke kumbe zile bacteria hatari zinazomsumbuwa mwanamke unazitowa kwake huku akisikia raha zinahamia kwa mwanaume.
Hata upendo wenyewe nao unapungua na kuna muda unaweza kufikia ukaisha kabisa.Kwa Mtu unayempenda havizoeleki Kwa sababu haufanyi Kwa kuigiza Bali vinatoka naturally. Drama za ujana hazifanani na drama za Ûtu uzima. Hivyo mambo huenda Kwa kubadilika.
Vitu ndîo huzoeleka lakini tàbia na mienendo ya binadamu haizoeleki
mpaka kansa ikuue, na mabikra 72 ukoseDah sasa unatombajeeee bila kuzama chumvini...mie siwezi aisee
wee kwangu mchumba tuu.Baàda ya kukupangia apartment siô.
Acha kupoteza muda kuwaza namna ya kumfurahisha mwanamke , mwanamke mfanyie mfano wa yale anayo kutendea akileta dharau na wewe weka ubedui akitulia na wewe kuwa mwema kwake pia.
Duh8. ZAMA CHUMVINI
Mabikra 72 wanatokea wapi tena...mbona kila leo mafundisho mapyampaka kansa ikuue, na mabikra 72 ukose
Kwasasa nimeamua kuwa hiv, nimejishusha sana na kuwa muungwana kwa muda mrefu sanaAcha kupoteza muda kuwaza namna ya kumfurahisha mwanamke , mwanamke mfanyie mfano wa yale anayo kutendea akileta dharau na wewe weka ubedui akitulia na wewe kuwa mwema kwake pia.
Duh umemtoa wapi huyo, haya sasa kama huyo inatakiwa umuwekee drama gani ili ajue pempas na ped zilizotumika hazipaswi kukaa ndaniUjinga ujinga jama huu mimi siwezi kufanya.
Week 1 sasa haruwasiliani wala kuongea na wife japo tunakaa nyumba 1 na tunalala kitanda kimoja.
Mwanamke mjuaji kupitilizaaa.
Neno samahani kwake mwaka huu sijawah kulisikia
Mwanamke mbishii jeuri anajiamin kupita kiasi.
MWanamke nyumba hajui hata kuipangilia, unarud jioni unakuta pampas za mtoto kuanzia sitting room kwenye makochi mpaka chumban kitandani nazimetumika.
Mwanamke anaweka pedi zilizotunika bedroom mpaka umkumbushe baada ya kuona chumban sasa kunanuka. Ukimrekebusha ligi ya maneno inaanza
Dah wakuu, hawa wanawake wengine ni mitihan sanaaaa.
KWasasa nimeamua kuwa mkimya na kwasababu ya tabia yake kwakwel nachukizwa nae mnooo, sitaki hata kuongea nae huyu mpumbavu.
Yan nataman hata nitafute nyumba ndogo huko njee
eti anasema swali hili ni nje ya madaWakati huo wewe unanufaika na kipi toka kwake??
Braza acha tu.. hakua hiv nafikiri alijitahid kuigiza ila hiibtabia sikuwah kuijua.Duh umemtoa wapi huyo, haya sasa kama huyo inatakiwa umuwekee drama gani ili ajue pempas na ped zilizotumika hazipaswi kukaa ndani