Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

Nimekusikitikia sana ungeweza kumvumilia na mengine sasa huo mdomo lazima awe mjuaji huyo hapo pagumu hata mie nisingeweza, lakini kwenye mchepuko hapo si ndo utakuwa umeongeza kelele watu aina ya mkeo wako makini sana ktk suala la mume kuchepuka na wana fujo sana huo msalaba ushaubeba, ni ama uzoee hayo maisha ama la mtengane yani ajue umemuacha kuliko kuchepuka akudabe utaita mma
Ni kwel, after these 10 years kwenye ndoa na sion dalili ya mabadiliko, nafikiria kutengana nae. Ujue mimi si mtu wa kuoenda hata kuomba ushauri, sijawah kuasema haya popote, ila juzi nikaona sasa nisije nikafa kwa presha, nikamfuata mchungaji wangu nikamueleza kwa kifupi. Nikamwambaia sio kama naomba ushauri wala sio nataka umuite hapana maana hutaweza kumrekebisha yule, nimeongea na wewe ili tu unisaidie niishi labda kwa mtazamo gani na hii shida pia uniombee
 
Nimeshajaribu sanaaa for all 10 yera tukiwa wana ndoa ila waap!!! Na imagine she is a gdown woman of 35 years wala sio mtoto
Basi you need to take break from each other ili kila mmoja ajitafakari. Au shirikisha watu wa karibu yenu mnaowaamini.
 
Ni kwel, after these 10 years kwenye ndoa na sion dalili ya mabadiliko, nafikiria kutengana nae. Ujue mimi si mtu wa kuoenda hata kuomba ushauri, sijawah kuasema haya popote, ila juzi nikaona sasa nisije nikafa kwa presha, nikamfuata mchungaji wangu nikamueleza kwa kifupi. Nikamwambaia sio kama naomba ushauri wala sio nataka umuite hapana maana hutaweza kumrekebisha yule, nimeongea na wewe ili tu unisaidie niishi labda kwa mtazamo gani na hii shida pia uniombee
Mchungaji alikwambia nini?
 
Hii itamtesa huyo msusaji huko mbeleni, hasa kutoka kwa watoto
Mimi mbona hainitesi,hii inamfanya mwanamke kuwa na adabu na kurudi kwenye reli,mwezi mmoja tu ataomba msamaha na kujirekebisha
 
Basi you need to take break from each other ili kila mmoja ajitafakari. Au shirikisha watu wa karibu yenu mnaowaamini.
Kwa mara ya kwanza nimemshirikisha mchungaji wangu ili tu niteme sumu, sijataka kuwaeleza wazee wangu maana nawajua
 
Mimi mbona hainitesi,hii inamfanya mwanamke kuwa na adabu na kurudi kwenye reli,mwezi mmoja tu ataomba msamaha na kujirekebisha
Wengine ndo mwanzo wa ligi kuu, kilichotokea kwako hakitokei kwa yule
 
Alinambia tu kama nimeweza kumvumilia 10 years basi nisifanye maamuzi ya haraka kwasasa, acha tumuombe kwanza Mungu, maana kama binadamu sio rahis kumbadili mtu ambaye amelelewa tofaut na wewe, ni Mungu tu 😅
Wachungaji huwa wanaona ni rahisi wakati wao hawawezi kuvumilia hizo tabia, kabla hujapata afya ya akili nakushauri mpeane nafasi kwa kipindi hata kama ni miezi kadhaa, kuhusu matunzo hasa ya watoto endelea ukiwa huko mbali na kama nae ana kipato gawanya mara mbili, kwenye huo muda utajua kama urudi au uondokane nae mazima
 
Ujinga ujinga kama huu mimi siwezi kufanya tena.
Week 1 sasa hatuwasiliani wala kuongea na wife japo tunakaa nyumba 1 na tunalala kitanda kimoja.
Mwanamke mjuaji kupitilizaaa.
Neno samahani kwake mwaka huu sijawah kulisikia
Mwanamke mbishii jeuri anajiamin kupita kiasi.
MWanamke nyumba hajui hata kuipangilia, unarud jioni unakuta pampas za mtoto kuanzia sitting room kwenye makochi mpaka chumban kitandani nazimetumika.
Mwanamke anaweka pedi zilizotunika bedroom mpaka umkumbushe baada ya kuona chumban sasa kunanuka. Ukimrekebusha ligi ya maneno inaanza

Dah wakuu, hawa wanawake wengine ni mitihan sanaaaa.

KWasasa nimeamua kuwa mkimya na kwasababu ya tabia yake kwakwel nachukizwa nae mnooo, sitaki hata kuongea nae huyu mpumbavu.

Yan nataman hata nitafute nyumba ndogo huko njee
Umeandika kwa uchungu pole sana mkuu kuishi na mwanamke mchafu mtihani sana aisee
 
Mwanamke hata umpe dunia nzima, kama hsumpi unyunba unaojisheleza, huyo atabaki anaungulika maisha, hana furaha ya ndani (inner peace). Ugomvi, kununa, kusikitika hakutamwishia.
. Soma Alfu lela u lela uwajuwe wanawake.

Kuna vitabu vya zamani vingi sana ndivyo vinavyomjuwa mwanamke, mmkitska refence niyawapa vitatu, Hizi theories zenu za sasa hazina lolotenwala chochote.
Mnamtafsiri mwanamke ki material. Mnakosea.

Mwanamke anaejijuwa ana thamani kuliko chochote duniani.
Kuwabebea uhai wenu ndani ya miili yetu, kuna chenye thamani zaidi ya hicho?

Furaha ya mwanamke ipo ndani, siyo nje (inner feelings).

Nami nipo kwaajili ya kuwafanya Wanawake wajitambue.
Ikiwemo kujitegemea na kukataa kufanywa Bidhaa àmbayo inaweza kununuliwa.
 
Back
Top Bottom