Jinsi ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Hii in kuwarahisishia walozi wala nyama za wafu wakimuibuia maiti kutoka malaloni akutwe akiwa msafi.

Haiwezekani kuangaika na usafi wote huo kisha mkamzamisha ardhini na kifusi kikubwa juu yake ili kuzuia harufu mbaya ya uozo itakayo kwenye mwili pamoja na bidii zote hizo za kuuosha mwili.

Uai ukikatika katika mwili wa binadamu, thamani yake uishia hapo hapo. Yanayofanyika baada ya hapo ni mbwembwe tu.
 
Nyie zile suti munazowavisha ni zanini!
Au anaenda kugombea madaraka flani kaburini.
 
Nyie zile suti munazowavisha ni zanini!
Au anaenda kugombea madaraka flani kaburini.
Sie akina nani!! Na wewe ni nani kwa mujibu wa maelezo yangu... Wapi nimetaja pande za sie na nyie? Ama umefufuka kutoka kuzimu kutetea walokufa. Nimezungumzia suala la kifo bila kubainisha upande unaohusika kuandaa mwili. Noa upeo wako kabla ya kujishtukia bladifakeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…