Jinsi ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Asante mkuu kwa mchango
 
Hakuna Dini nyengine yeyote hpa Duniani inoendana kimaumbile kma Uislamu we ukikataa ni ww tu lkn Uislamu ndio dini Safi kabisaa ya kuifuata
Watu wengi wamekua wakiituhumu Uislamu kwa Ushirikina na Mambo mengine lkn ukweli kua izo ni Chuki zao tu juu ya Dini yetu Pendwa

Ukiwa hupendi kuitwa KAFIRI fanya Usilimu tuu
 
Wakati huo wameshakukamua mavi,na mkeo yuko nyumbani
 
Wakati huo wameshakukamua mavi,na mkeo yuko nyumbani
Mbona hujaongelea suala la kusindikizwa kaburini ? kma mnapendana kweli mngekua mnafnya kma sisi
Ata Rais wetu alotangulia aliwahi kulisifia hili ilipotokea ajali kule ukerewe
 
Mbona hujaongelea suala la kusindikizwa kaburini ? kma mnapendana kweli mngekua mnafnya kma sisi
Ata Rais wetu alotangulia aliwahi kulisifia hili ilipotokea ajali kule ukerewe
Rais yupi kama ni huyu john mzee wa fix achana nae
 
Rais yupi kama ni huyu john mzee wa fix achana nae
Ongelea basi suala la kusindikizwa kaburini
Yni nakuona ulivo mweupeee peee kua huna point bcz main point hujibu unajibu minor point
 
Ongelea basi suala la kusindikizwa kaburini
Yni nakuona ulivo mweupeee peee kua huna point bcz main point hujibu unajibu minor point
Kusindikiza kaburini kumefanyaje na kuna impact gani,mi nikifa nachomwa moto mambo ya kusindikizana sijui kukamuana kinyesi ujinga mtupu
 
Yani upande ule wenye mambo mengi kama unga wa ngano ndo hawamsafishi!!

Alafu upande huu usio na mambo mengi na ndio wanaomsafisha

And still you blame this beautiful side

Dear brothers & sisters why always u don't think about this fact

Acheni kukariri bhc
 
Kusindikiza kaburini kumefanyaje na kuna impact gani,mi nikifa nachomwa moto mambo ya kusindikizana sijui kukamuana kinyesi ujinga mtupu
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Tatizo watu wamefungwa akili zao na mapastor wao
 
Washukrani jazillah
 
Usikute ata kumzika marehemu ni dhambi lakin hatujui tu.. utajua ujui
 
Wewe unajuaje kuwa WAKRISTO HAWAKAMUIMAITI ZAO?
 
Ni dhahiri waislm wengi wanafuata utamaduni wa waarabu wa kale, utamaduni wameufanya ni sehemu ya imani, uarabuni sababu ya uhaba wa miti ya mbao walikuwa wanazika bila jeneza imeingia kwenye dini, kuzika maiti ubavu imeingizwa pia kwenye dini. MTU ULIYESTAHARABIKA HAIWEZEKANI KUKAMUA MAVI YA MAITI ILI IWEJE... MWARABU KAWAWEZA SANA
 
Binafsi ninapenda utamaduni wa Maiti kuchonwa Moto Tu
Ili kuhifadhi mazingira na ardhi kwa matumizi ya baadae.
 
UKRISTO ni kwa ajiri ya Watu walio HAI TU.
Maiti ni Maiti, ni za kuzikwa au kuchomwa Moto.
wewe sema una chuki zako binafsi na uislam.
Hata wakristo wanakamua maiti.
Kama wanaweza kumuosha Basi wakikutana maiti kaharibikiwa lazma watamkamua.ila hawawezi kukwambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…