Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasayansi wa wapi hawa?
Kama wewe ulivyo............WAARABU NI WA PUMBAFUUU SANA.
Sawa kwa sababu kwenu hakuna makaburiAcha wafu wazike wafu wenzao
Umemaliza vizuri, kuwa hujui mengi, basi ulipaswa uwe mpole ujifunze toka kwa wanaojua. Hivyo ni vitu vya kawaida sana na ndivyo ambavyo hufanyika. Watu hufa wakiwa kwenye hali tofauti tofauti. Utu wa mtu huendelea hadi atakapolazwa kuzikwa.Mambo mengine Ni Magumu kutafakari.
Amekufa,na atazikwa mavumbini,na ataoza muda si mrefu,alafu process hizi zote? WHY? Kama walipinduka na gari akazamishwa kwenye matope,au nyumba imeanguka akafukiwa na kifusi hapo inamake sense,
Anyway Mimi Ni kijana sijui mengi.
Nishawahi kuona......mfano hai ni mimi....Ni muislam na nina akili zote(ulizo maanisha wewe)Wewe ulishawahi kuona kichwa kimebeba mambo mawili na yakakaa??
Uislam na akili?
Usipokua na akili kwani utakuwa na akili ya kujua kuwa huna akili?Nishawahi kuona......mfano hai ni mimi....Ni muislam na nina akili zote(ulizo maanisha wewe)
Vp kuna lingine bwashee?
Hata kuwaita wenzako hawana akili ilhali unajua wanazo, pia ni kukosa akili kwa mtu husikaUsipokua na akili kwani utakuwa na akili ya kujua kuwa huna akili?
Nani kakuambia najua wanazo? Nina uhakika hawanaHata kuwaita wenzako hawana akili ilhali unajua wanazo, pia ni kukosa akili kwa mtu husika
Watu hawaijui shabaha yao ni niniHuu ni uzi unao wahusu waislamu tu mkiristo kama hizi taratibu haikua na haja ya ku comment unacho taka wewe
Mbona ilikua simpo tu
Hili jitu la Simba na elimu kama hizi naweka mashaka makubwa!!???Ili maiti aweze kuoshwa vizuri hatua zifuatazo ziweze kupitiwa:
1. Maiti awekwe kwenye kitanda chenye tobo katikati kwa ajili ya kupitisha uchafu utokao tumboni kama upo.
2. Lichimbwe shimo (ufuo) usawa wa tobo la kitanda ili kuhifadhi uchafu utokao kwa maiti.
3. Maiti afunikwe na shuka kubwa iliyonyepesi kiasi cha kuruhusu maji kupita.
4. Maiti ikalishwe kitako na makalio yake yaelekee kwenye tobo la kitanda.
5. Muoshaji apitishe mkono wake wa kushoto juu ya tumbo la maiti aliminyeminye kwa taratibu ili kutoa uchafu
6. Alazwe chali na aminyeminye tumbo lake kama hapo awali.
7. Aikalishe tena kisha apitishe mkono wa kushoto chini ukiwa umevalishwa kitambaa au gloves asafishe tupu mbili huku akijimiminia maji mkono wa kulia.
8. Ampigishe mswaki kwa kitambaa kilaini kilicho viringishwa kwenye kidole cha shahada cha mkono wa kushoto, akichove majini kisha amswakishe maiti vizuri meno ya juu na ya chini kisha akitupe ufuoni.
9. Azungushe kitambaa kingine kwenye kidole kidogo cha mkono wa kushoto, akichove majini, kisha amsafishe nacho tundu za pua kisha akitupe ufuoni.
10. Achukue kijiti laini achokonoe kucha zake, iwapo ni ndefu na chafu.
11. Akiwa pia kamkalisha maiti amtawadhishe maiti kwa kufuata utaratibu wa kawaida wa kutawadha.
12. Kumuosha kichwa kwa sabuni.
13. Kisha kumuosha kwa ubavu wa kulia kwa kumiminia maji mbele na nyuma.
14. Kisha hivyo hivyo na ubavu wa kushoto.
15. Baada ya makosho hayo mawili la maji na sabuni na kuondoa sabuni, pawe na kosho la tatu la maji yaliyowekwa karafuu maiti na marashi kidogo.
16. Baada ya makosho haya matatu, muoshaji anyooshe viungo vya maiti na kumlaza sawa sawa kama alivyolazwa mara ya kwanza baada ya kufa. Kisha achukue nguo kavu na kumfuta maiti tayari kwa kivishwa sanda.
Mkuu mambo ya Simba usiyalete huku. Twende jukwaa la sportsHili jitu la Simba na elimu kama hizi naweka mashaka makubwa!!???
Hivi kwenye huu uzi ulialikwaNani kakuambia najua wanazo? Nina uhakika hawana
Kuna sehemu imeandikwa huu uzi ni wa waislam?Hivi kwenye huu uzi ulialikwa
Au ndio ukosefu wa akili
Maana kwa mwenye akili anajua tu kua huu uzi una wahusu waislamu na imani yao sasa sijui tueleze kama unaakili zinazo fanya kazi mpaka kuingia huku
Umenena vyema.Ndio katika imani ya kiislamu mwanamke humuosha mwanamke mwenzake na mwanaume vivyo hivyo.
Ila ni bora zaidi maiti ikaoshwa na mtu wa karibu yake kama mume kumuosha mke au mke kumuosha mume!
Ama ni vyema kuoshwa na mtu ndugu yako ili kuficha aibu itakayoonekana kwa maiti.Mfano harufu mbaya,vidonda visivyomithilika n.k.
Mungu ndie mjuzi zaidi.
Elewa maana ya haya manenoKuna sehemu imeandikwa huu uzi ni wa waislam?
Au ndo kukosa akili kwenyewe
Sawa bandugu...wacha wafu wazike wafuElewa maana ya haya maneno
Ujione ulivyo huna akili
Mwenye Akili Ishara inamtosha.
Ok Shukran maana waislamu tu ndio wana makaburi kwaoSawa bandugu...wacha wafu wazike wafu