Jinsi ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Elimu nzuri ,kwani kunakuwaga Na denda hadi mswaki nauliza tu.
 
Umemaliza vizuri, kuwa hujui mengi, basi ulipaswa uwe mpole ujifunze toka kwa wanaojua. Hivyo ni vitu vya kawaida sana na ndivyo ambavyo hufanyika. Watu hufa wakiwa kwenye hali tofauti tofauti. Utu wa mtu huendelea hadi atakapolazwa kuzikwa.

Wengine humzika marehemu akiwa kavaa suti, tai, viatu, saa n.k sasa je huvishwa tu pasipo kuhudumiwa usafi? Unajua kule mochwari unapomuacha maiti hufanyiwaje?

Hatuna haja ya kuogopa wala kusema vibaya. Uislmau umeelekeza hatua kwa hatua nini afanyiwe marehemu kabla ya kwenda kuzikwa ikiwemo kuogeshwa kwa kuzingatia stara.
 
Hili jitu la Simba na elimu kama hizi naweka mashaka makubwa!!???
 
Nani kakuambia najua wanazo? Nina uhakika hawana
Hivi kwenye huu uzi ulialikwa

Au ndio ukosefu wa akili

Maana kwa mwenye akili anajua tu kua huu uzi una wahusu waislamu na imani yao sasa sijui tueleze kama unaakili zinazo fanya kazi mpaka kuingia huku
 
Hivi kwenye huu uzi ulialikwa

Au ndio ukosefu wa akili

Maana kwa mwenye akili anajua tu kua huu uzi una wahusu waislamu na imani yao sasa sijui tueleze kama unaakili zinazo fanya kazi mpaka kuingia huku
Kuna sehemu imeandikwa huu uzi ni wa waislam?
Au ndo kukosa akili kwenyewe
 
Umenena vyema.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…