Jinsi ya kupika chapati laini na zenye ladha nzuri

Asante mama..... Yani nimejichokeaje?!
Nitajaribu badae sana..
 
Hizo chapati za leo me ninyimeni tu....niko radhii...yani me chapati za unga wa atta hazipandi kabisaaaa......
 
Sanaaaa nahisii kashamba namba mojaa heee heeee ntautafutaaa niuone

Google atta flour utaona ...

Kiufupi ni unga wa ngano whole wheat ambayo ni very healthy...

Kama ujuavyo kuna brown sugar na nyeupe basi ni kama hivo...
 

Mmmh! Hapo ulipo bado ni Tanzania?
 
Mashaallah,, Mm pia napenda kuutumia huo unga wa atta kuchanganya hata nikipika maandazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…