Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mdogoangu tujifunze kupika tutaachika 🤣🤣🤣Shangaziii mbona hukunifundsha nimpikie ankolii wakoo,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogoangu tujifunze kupika tutaachika 🤣🤣🤣Shangaziii mbona hukunifundsha nimpikie ankolii wakoo,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uvivu utafanya Sweet Mangi aniache 🤣🤣🤣Nakujua wewe Cha uvivu 😀😀
Tunapika hivo hivo 🤣🤣🤣Shida ukijichanganya ukaoa hawapiki vzr kama picha inavoonesha
Tushasanuka saivi ni mwendo wa sogea tukae 😁😁😁nakuweka ktk angle ambayo we tunaishi kama wanandoa ila ni wapenzi kikiumana dakika moja nadeclare sijaoaTunapika hivo hivo 🤣🤣🤣
Skia Imma nikupange! Kuna vyakula tukiona unajua kuvipika vzr tunaanza kupata wasi wasi na wwKuna siku nilikua likizo nikaenda Kwa mzazi, Asubuh nikawaambia ngoja niwatolee kitu chapati maji.. nika wamix na vitunguu pale , Kitu kimetoka mkao mafuta kwa mbalii, Wakasema kumbe Ndo maana Imma hauoi.
Et kwan kuna mahusiano gani mi kupika hvyo na kutokuoa wakuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakimbizana na life, kupikaa had nasahau, haswaa beba kibokoo.Shangazi yangu wewe nimekuandalia notes za kutosha pamoja na kiboko [emoji23] [emoji23][emoji23]
Sikusimangi bn! Sema next time ufundishe jinsi ya kupika birianiMmeanza kutusimanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu niwachee emu kwani.[emoji23][emoji23][emoji23] coca unanichukuliaje lakini? Me napika mpk mlaji naye akikaa vibaya nampika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niachike mara ngapii sasa? Niko Eda mwenziooMdogoangu tujifunze kupika tutaachika [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na sisi tutawapikia chapati km ramani ya Africa mpk mkome 🤣🤣🤣Tushasanuka saivi ni mwendo wa sogea tukae 😁😁😁nakuweka ktk angle ambayo we tunaishi kama wanandoa ila ni wapenzi kikiumana dakika moja nadeclare sijaoa
Sasa haya machapati maji tu. Si ni mepesi kabisa hayahitaji fedha za kigeniSkia Imma nikupange! Kuna vyakula tukiona unajua kuvipika vzr tunaanza kupata wasi wasi na ww
Zenyewe 🤣🤣🤣