Jinsi ya kupika chapati za maji ambazo hazina viungo vingi

Jinsi ya kupika chapati za maji ambazo hazina viungo vingi

Asante nishapata pishi la usiku...nitapika hadi usiku wa manane 😅😅😅😅
 
Kuna siku nilikua likizo nikaenda Kwa mzazi, Asubuh nikawaambia ngoja niwatolee kitu chapati maji.. nika wamix na vitunguu pale , Kitu kimetoka mkao mafuta kwa mbalii, Wakasema kumbe Ndo maana Imma hauoi.
Et kwan kuna mahusiano gani mi kupika hvyo na kutokuoa wakuu
 
Kuna siku nilikua likizo nikaenda Kwa mzazi, Asubuh nikawaambia ngoja niwatolee kitu chapati maji.. nika wamix na vitunguu pale , Kitu kimetoka mkao mafuta kwa mbalii, Wakasema kumbe Ndo maana Imma hauoi.
Et kwan kuna mahusiano gani mi kupika hvyo na kutokuoa wakuu
Skia Imma nikupange! Kuna vyakula tukiona unajua kuvipika vzr tunaanza kupata wasi wasi na ww
 
Shangazi yangu wewe nimekuandalia notes za kutosha pamoja na kiboko [emoji23] [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakimbizana na life, kupikaa had nasahau, haswaa beba kibokoo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] coca unanichukuliaje lakini? Me napika mpk mlaji naye akikaa vibaya nampika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu niwachee emu kwani.
Usinambieee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakimbizana na life, kupikaa had nasahau, haswaa beba kibokoo.
Hivi hivi hutoboi Kuna mtu ana akili km zako kanitumia sms juzi nimecheka balaa😂😂nikakukumbuka😂😂😂
 
Na sisi tutawapikia chatapi km ramani ya Africa mpk mkome 🤣🤣🤣
Kama hii my wii🤣🤣
Mpaji Mungu
Screenshot_2023_1019_192239.png
 
Back
Top Bottom