Jinsi ya kupika chapati za maji ambazo hazina viungo vingi

Jinsi ya kupika chapati za maji ambazo hazina viungo vingi

Kuna siku nilikua likizo nikaenda Kwa mzazi, Asubuh nikawaambia ngoja niwatolee kitu chapati maji.. nika wamix na vitunguu pale , Kitu kimetoka mkao mafuta kwa mbalii, Wakasema kumbe Ndo maana Imma hauoi.
Et kwan kuna mahusiano gani mi kupika hvyo na kutokuoa wakuu
Ni tabu sana Nina kakaangu anajua kupika sana mkewe Kuna mda Hana Raha kabisa maana kupika Kuna vitu Bado hajajua vizuri alafu bro anapenda
Mwanaume jua kupika kiasi isizidi
 
Kwa mapishi hayo matamu, atakayekuja kuleta barua ya Posa lazima tumtajie mahari kubwa.

Hayo mapishi wengine wanaenda kujifunzia VETA
 
Kwa mapishi hayo matamu, atakayekuja kuleta barua ya Posa lazima tumtajie mahari kubwa.

Hayo mapishi wengine wanaenda kujifunzia VETA
Et veta ๐Ÿ˜€
Babu hauna mjukuu wako kijana mzuri mzuri huko nishachoka kuwa single๐Ÿ˜€
 
Et veta ๐Ÿ˜€
Babu hauna mjukuu wako kijana mzuri mzuri huko nishachoka kuwa single๐Ÿ˜€
Nina last born wangu ana miaka 45 anatafuta Mchumba, kama utaridhia kuolewa naye nitakuunganisha naye ๐Ÿคช

Nimeshawahi kuona binti ameolewa hata kuchemsha Chai hajui sembuse kupika Chakula chochote๐Ÿ™Œ

Kama chakula hajui kupika sina hakika kama kile Chakula kingine kama anajua hata kukiandaa ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Nina last born wangu ana miaka 45 anatafuta Mchumba, kama utaridhia kuolewa naye nitakuunganisha naye ๐Ÿคช

Nimeshawahi kuona binti ameolewa hata kuchemsha Chai hajui sembuse kupika Chakula chochote๐Ÿ™Œ

Kama chakula hajui kupika sina hakika kama kile Chakula kingine kama anajua hata kukiandaa ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
Chakula kingine mambo automatiki ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€yakujaga yenyewe nipe hata huyo wa 45 nikamlee akipata kisukari ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Chakula kingine mambo automatiki ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€yakujaga yenyewe nipe hata huyo wa 45 nikamlee akipata kisukari ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Hahahaha...............eti automatic ๐Ÿ˜

Wengine wameweka standards, kama hunyumbuliki na ndoa hupati ๐Ÿ™ˆ


Ngoja nitakuunganisha naye Mjukuu, Babu yako nimemisi kula Pilau la sherehe
 
Hahahaha...............eti automatic ๐Ÿ˜

Wengine wameweka standards, kama hunyumbuliki na ndoa hupati ๐Ÿ™ˆ


Ngoja nitakuunganisha naye Mjukuu, Babu yako nimemisi kula Pilau la sherehe
Fanya hivo Babu maana watoto wanachelewa shule ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Fanya hivo Babu maana watoto wanachelewa shule ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Kwa kweli bora umzalie mapema ili akifika miaka 60 walau first born wake awe na miaka 14 ๐Ÿ˜๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Kwa kweli bora umzalie mapema ili akifika miaka 60 walau first born wake awe na miaka 14 ๐Ÿ˜๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Angalau tuwe tunamtuma kuchota maji bombani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ulijuaje wii? Pishi la ndizi sijamaliza kufanya, leo umeibuka na chapati za maji!!
Ila zinaonekana tamu [emoji39][emoji39]
Chapat nazipenda, znafata ndizi, pilau, na ugalii alooh..... [emoji16]
 
Hivi hivi hutoboi Kuna mtu ana akili km zako kanitumia sms juzi nimecheka balaa[emoji23][emoji23]nikakukumbuka[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sahivi ndo nimezidi kubangukaaa, juzi nilimtumia text mtu had anasema ulichobakiza ni kuokota makopoo na kutembea uchi.
 
Back
Top Bottom