Jinsi ya kupika chapati za maji ambazo hazina viungo vingi

Jinsi ya kupika chapati za maji ambazo hazina viungo vingi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan sahivi ndo nimezidi kubangukaaa, juzi nilimtumia text mtu had anasema ulichobakiza ni kuokota makopoo na kutembea uchi.
😂😂😂Wewe akilizako mbili kasoro😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbona ndoa nyingi zinavunjika humu tatizo nini?? Itakuwa umerogwa mdogoangu!!
We shem Mjep talaka yetu tuifate wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas, woiiiiiih
 
Shida ukijichanganya ukaoa hawapiki vzr kama picha inavoonesha
Hahaha, hii umeiweka kiutana ila ndio uhalisia wenyewe. Utakuta mwanzoni kila pishi linazingatiwa haswa ila mkizoeana sasa, hakuna kuunga tena, mafuta yanawekwa juu ya mboga vitunguu na nyanya kwa juu halafu ngoma inafunikwa.

Dawa yake ni kupita sehemu kabla haujarudi home.😂
 
Hahaha, hii umeiweka kiutana ila ndio uhalisia wenyewe. Utakuta mwanzoni kila pishi linazingatiwa haswa ila mkizoeana sasa, hakuna kuunga tena, mafuta yanawekwa juu ya mboga vitunguu na nyanya kwa juu halafu ngoma inafunikwa.

Dawa yake ni kupita sehemu kabla haujarudi home.😂
Ukiuliza unaaambiwa ooh mchemsho
Mchemsho wakat dagaa wanaelea elea kama wako ziwani😂😂😂
 
Natumaini mkopoa
Tujifunze namna ya kupika chapati za maji Kwa njia rahisi na haraka pia ni moja ya vitafunwa ambavyo havina mambo mengi
Mahitaji
Ngano robo au kias unachopenda Kulingana na familia Yako
Iriki au vanilla
Sukari /chumvi ni vile upendavyo
Yai moja au mawili
Maji ya baridi
Hatua
Chukua bakuli safi na kavu weka ngano na sukari Changanya kidogo Kisha Anza kuweka Maji ya baridi kidogo kidogo huku unakoroga had utapoona ngano Yako imekuwa uji mzito hakikisha hauna mabonge
Ongezea mayai pamoja na iriki au vannila endelea kukoroga kama itakuwa Bado nzito ongezea maji kidogo Ili upate uji ambao sio mzito Wala mwepesi Sana
JINSI YA KUPIKA
Weka pan Yako jikoni subir ipate moto hakikisha moto sio mkali
Kama pan sio non stick ipake mafuta kidogo ikipata joto
Weka uji wako wa ngano katika pan acha Kwa dakika 1 au 2 had uone Inakuwa kavu kidogo geuza upande wa pili nao acha kidogo Kisha weka mafuta nusu kijiko Chakula upande mmojaKisha geuza upande mwingine nao hivo had uone imebadilika rangi
Toa chapat zako jikoni zitakuwa tayari
Sio mjuzi sana wa mapishi karibuni pia kuongezea maoni

Unaweza kunywa na chai ya rangi hata maziwa View attachment 2791077
Niliwahi mpikia mwanamke wangu chakula siku yapili akaondoka bila kuaga jioni jioni ananitumia msg kuwa mwanaume gani unajuwa kupika😁😁😁
 
Hahaha, hii umeiweka kiutana ila ndio uhalisia wenyewe. Utakuta mwanzoni kila pishi linazingatiwa haswa ila mkizoeana sasa, hakuna kuunga tena, mafuta yanawekwa juu ya mboga vitunguu na nyanya kwa juu halafu ngoma inafunikwa.

Dawa yake ni kupita sehemu kabla haujarudi home.[emoji23]
Mbn ukipika ata km ulivosema vinaiva fresh sema madem wengi kupika..... zero.. wengn wanaharakisha kuwah kuchat n.k
 
Niliwahi mpikia mwanamke wangu chakula siku yapili akaondoka bila kuaga jioni jioni ananitumia msg kuwa mwanaume gani unajuwa kupika[emoji16][emoji16][emoji16]
Mwanamk km hajui kupika aseeh, ntamwelkza maake sipend chakula kibaya, hakijaiva, hakijaungwa, kwa ufupii maakul awe vzr,
 
Niliwahi mpikia mwanamke wangu chakula siku yapili akaondoka bila kuaga jioni jioni ananitumia msg kuwa mwanaume gani unajuwa kupika😁😁😁
😂😂Hata mm sitaki
Nina nduguyangu nimemfunika chapat za kusukuma,maandaz na pilau labda llkn vingine ni balaa mwanaume yule anapika had wali Nazi kha 😂😂
Sikuhiz kaoa mkewe anapika Kwa waiwasi 😀😀😀
 
Back
Top Bottom