Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiii.Namkaanga kweli akikaa vibaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan kila nikitaka kutulia, moyo umakataa[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe akilizako mbili kasoro[emoji23]
Itabidi nikualike kwangu uje nikupikie dr 😂😂😂Chapat nazipenda, znafata ndizi, pilau, na ugalii alooh..... [emoji16]
Bila kusahau na Kiko ya Babu yake kuvuta 🤪😂😂😂Angalau tuwe tunamtuma kuchota maji bombani 😂😂😂
Hahaha, hii umeiweka kiutana ila ndio uhalisia wenyewe. Utakuta mwanzoni kila pishi linazingatiwa haswa ila mkizoeana sasa, hakuna kuunga tena, mafuta yanawekwa juu ya mboga vitunguu na nyanya kwa juu halafu ngoma inafunikwa.Shida ukijichanganya ukaoa hawapiki vzr kama picha inavoonesha
Ukiuliza unaaambiwa ooh mchemshoHahaha, hii umeiweka kiutana ila ndio uhalisia wenyewe. Utakuta mwanzoni kila pishi linazingatiwa haswa ila mkizoeana sasa, hakuna kuunga tena, mafuta yanawekwa juu ya mboga vitunguu na nyanya kwa juu halafu ngoma inafunikwa.
Dawa yake ni kupita sehemu kabla haujarudi home.😂
Niliwahi mpikia mwanamke wangu chakula siku yapili akaondoka bila kuaga jioni jioni ananitumia msg kuwa mwanaume gani unajuwa kupika😁😁😁Natumaini mkopoa
Tujifunze namna ya kupika chapati za maji Kwa njia rahisi na haraka pia ni moja ya vitafunwa ambavyo havina mambo mengi
Mahitaji
Ngano robo au kias unachopenda Kulingana na familia Yako
Iriki au vanilla
Sukari /chumvi ni vile upendavyo
Yai moja au mawili
Maji ya baridi
Hatua
Chukua bakuli safi na kavu weka ngano na sukari Changanya kidogo Kisha Anza kuweka Maji ya baridi kidogo kidogo huku unakoroga had utapoona ngano Yako imekuwa uji mzito hakikisha hauna mabonge
Ongezea mayai pamoja na iriki au vannila endelea kukoroga kama itakuwa Bado nzito ongezea maji kidogo Ili upate uji ambao sio mzito Wala mwepesi Sana
JINSI YA KUPIKA
Weka pan Yako jikoni subir ipate moto hakikisha moto sio mkali
Kama pan sio non stick ipake mafuta kidogo ikipata joto
Weka uji wako wa ngano katika pan acha Kwa dakika 1 au 2 had uone Inakuwa kavu kidogo geuza upande wa pili nao acha kidogo Kisha weka mafuta nusu kijiko Chakula upande mmojaKisha geuza upande mwingine nao hivo had uone imebadilika rangi
Toa chapat zako jikoni zitakuwa tayari
Sio mjuzi sana wa mapishi karibuni pia kuongezea maoni
Unaweza kunywa na chai ya rangi hata maziwa View attachment 2791077
Mimi ntakuja kweny misosii sitakii mchezo [emoji16][emoji16]..... Na nyama yerewiiiItabidi nikualike kwangu uje nikupikie dr [emoji23][emoji23][emoji23]
Mbn ukipika ata km ulivosema vinaiva fresh sema madem wengi kupika..... zero.. wengn wanaharakisha kuwah kuchat n.kHahaha, hii umeiweka kiutana ila ndio uhalisia wenyewe. Utakuta mwanzoni kila pishi linazingatiwa haswa ila mkizoeana sasa, hakuna kuunga tena, mafuta yanawekwa juu ya mboga vitunguu na nyanya kwa juu halafu ngoma inafunikwa.
Dawa yake ni kupita sehemu kabla haujarudi home.[emoji23]
Mama akipk mchemsho aseeh..... Unakuwa in the next level, sema kupika kunahitaji upende jiko, muda, yesUkiuliza unaaambiwa ooh mchemsho
Mchemsho wakat dagaa wanaelea elea kama wako ziwani[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamk km hajui kupika aseeh, ntamwelkza maake sipend chakula kibaya, hakijaiva, hakijaungwa, kwa ufupii maakul awe vzr,Niliwahi mpikia mwanamke wangu chakula siku yapili akaondoka bila kuaga jioni jioni ananitumia msg kuwa mwanaume gani unajuwa kupika[emoji16][emoji16][emoji16]
Tatizo la mwanamke ukijua kupika kumzidi anaanza kisiraniMwanamk km hajui kupika aseeh, ntamwelkza maake sipend chakula kibaya, hakijaiva, hakijaungwa, kwa ufupii maakul awe vzr,
😂😂Hata mm sitakiNiliwahi mpikia mwanamke wangu chakula siku yapili akaondoka bila kuaga jioni jioni ananitumia msg kuwa mwanaume gani unajuwa kupika😁😁😁
Mchemsho mzurii Sana.... Ila wengi hawana umakini na muda jikoniExactly ukipenda jiko utapika vizuri wakati wote
Sehemu gani?Kama tamu mpishi je? Teh teh teh teh