Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes upo vizuri mno[emoji119]Muulize Kantry akwambie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna siku nilipika kitu iko mwenyewe alishtuka lile pishi
It's what it's [emoji23]Nimewaiwa na Countrywide
Afu hapo “hana hela” ndio umeharibu kabisaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Recipe nzurii Sana na ugalii ata walii.... Maini roastInategemea na namna unavotaka kupika kama nikuloweka maranying unaloweka na maziwa then unapika roast
Kuna ya kupika kawaida unaroast
Hiviii ukafanya marination ya kuku, then ukamuoka, na aliemchoma kawaid...... zote ni barbeque ?Yah nzuri pia maini hayachukui muda pia kupika ni rahis
Aaha acha tufurahie misosi[emoji39]Mm naona yote ni Yale Yale tu japo maana halisi Ni kuchoma sio kuoka
Santoo sana mamaa masaptasapta wacha nichukue madesa hapaa!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiuliza unaaambiwa ooh mchemsho
Mchemsho wakat dagaa wanaelea elea kama wako ziwani[emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Nimecheka Kuna njia nying kipenzShangazii nifundishe kupika wali wa njegere,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeishia kuambiwa "unachoweza wee ni umbea na kutooo..."
Jaman njegere zimemunyukana, sio wali ni uchafuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Boss lady, tajiri naomba unipe muongozo wa viungo vya kuweka kwenye nyama ili ikichomwa ilainike na kuwa tamu, december ndio hii ishafika😂😂😂😂Nimecheka Kuna njia nying kipenz
Rahisi
Chemsha njegere zikiwa tayari ziweke kwenye bakuli zisiwe na maji kata karot vipande vya saiz unayopenda( hapa karoti usikate mapande kama unataka kutafuna saiz ya kawaida tu )😂😂😂
pikawaliwako kama kawaida ukikauka maji punguza moto weka njegere zako na karoti juu funika baada ya muda geuza tu kama kawaida ukiiva pakua ule
Mbona hufikiNakuja nakuja usijali
Nilikuwa busy sana Leo poleMbona hufiki