Jinsi ya kupika maharage kwa njia rahisi bila kutumia gharama kubwa

Jinsi ya kupika maharage kwa njia rahisi bila kutumia gharama kubwa

Umemaliza
Ndivyo tunavyofanya pia
Sie lazma kuloweka na maji ya uvuguvugu unayaacha usiku kucha ama mchana kutwa
Unamwaga yale maji then unaweka mapya na unapika fasta tu

Maharage yanalika na vingi
Napendelea maharage ya njano tu yana ladha na huiva vizuri kuliko mengine

Nunua pressure cooker kama hauna. Kisha nunua maharage loweka nenda kazini (Kama ni magumu), ila pia sio lazima kuloweka. Tia kwenye pressure cooker maharage yako, washa jiko lako nusu saa yameiva.
 
Baada Ya Maharage kuiva.. Chambua mchele vizuri uoshe kisha mwga maji yote. Tia katika mfuko wa rambo kulingana na kiasi cha mchele wako.

weka mchele wote kwenye mfuko weka mafuta yakupikia na chumvi funga mfuko wako vizuri, tafuta sufuria kubwa jaza maji yakiwa na mfuko wenye mchele wako.. acha maji mpaka yatokote kwa dakika tatu tano flani.

Ukiipiua utakua umepata maji yakuogea kwa mikoa yenye baridi huku ukila wali maharage matata kabisa.

NB. Nilikua nakula wali bwenini bila kujua naupikaje maana hakukua na jiko mi ni mwendo wa heater na ndoo ya maji tuu huku arage likiiva kwa njia ya mtoa uzi huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Noma sana hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hyo avatar kama yako kwel.nidirik kusema binafsi siwez acha mtoto mzur hvo aingie shambani...kiukwel
[emoji28][emoji28],

mie pia nimeshtuka imenibidi niende kuchungulia jukwaa la technology labda kuna mapya.
 
Ata mm hii njia ndo natumiaga
Nunua thermos zile kubwa za lita 2.5 au zaidi but siyo lazima ila thermos kubwa inakuwasaidia kwa mambo mengi.

Ukiwa umeshanunua maharagwe yako na kuyasafisha, chemsha maji kulingana na maharagwe yako, maji yakichemka nyuzi joto zinazotakiwa mimina kwenye thermos na yale maharagwe.

Zoezi hili lifanyike masaa 5-8 kabla ya muda unaotaka kuyaunga, njia hii niliitumia sana miaka ya ubachera nikiwa na jiko la mchina lile la mafuta, ambalo likiingiza hewa linalipuka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sasa ndo mpya kwangu, nitajaribu
Baada Ya Maharage kuiva.. Chambua mchele vizuri uoshe kisha mwga maji yote. Tia katika mfuko wa rambo kulingana na kiasi cha mchele wako.

weka mchele wote kwenye mfuko weka mafuta yakupikia na chumvi funga mfuko wako vizuri, tafuta sufuria kubwa jaza maji yakiwa na mfuko wenye mchele wako.. acha maji mpaka yatokote kwa dakika tatu tano flani.

Ukiipiua utakua umepata maji yakuogea kwa mikoa yenye baridi huku ukila wali maharage matata kabisa.

NB. Nilikua nakula wali bwenini bila kujua naupikaje maana hakukua na jiko mi ni mwendo wa heater na ndoo ya maji tuu huku arage likiiva kwa njia ya mtoa uzi huu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulichoongea na alichokisema mtoa Mada Hakina utofauti ila utofauti upo kwenye vyombo vya kutumia sasa kama utaloweka masaa 6≥7 afu tena +30' kuivilishia na huyu alosema masaa 5≥8 ko hapo utakuwa umekwepa nini coz njia yako ts near Masaa 8 kama ya huyu mtoa mada tu ama ulitaka kuonyesha kuwa na wewe unajua??? Oops[emoji28]
Umewazungusha sana, njia rahisi ni chukua maharage yako, yaloeke kwenye maji ya baridi tuu kwa masaa 6-7 yatakuwa yashavimba=kulainika.

Then baada ya hapo unayainjika kwa dakika 20-30, yanakuwa tayari kwa kuliwa. Na quality yake inabaki palepale.


NB: Ukiyaloeka kwa masaa zaidi ya 24, utakuta yashaota. Hizi techniques tunaiga toka vijijini tulikotokea ambapo mvua ikiwahi kunyesha na ikakukuta hujapanda, basi unachofanya unaloeka mbegu zako kwa siku moja, baada ya saa 24 zinakuwa zishaota ndio unazipanda. Ukipanda leo kesho yake unakuta zimeshachomoza.


Unforgetable

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hapo kwenye mifuko unataka serikali waingilie kati huu uzi [emoji23][emoji23]
Baada Ya Maharage kuiva.. Chambua mchele vizuri uoshe kisha mwga maji yote. Tia katika mfuko wa rambo kulingana na kiasi cha mchele wako.

weka mchele wote kwenye mfuko weka mafuta yakupikia na chumvi funga mfuko wako vizuri, tafuta sufuria kubwa jaza maji yakiwa na mfuko wenye mchele wako.. acha maji mpaka yatokote kwa dakika tatu tano flani.

Ukiipiua utakua umepata maji yakuogea kwa mikoa yenye baridi huku ukila wali maharage matata kabisa.

NB. Nilikua nakula wali bwenini bila kujua naupikaje maana hakukua na jiko mi ni mwendo wa heater na ndoo ya maji tuu huku arage likiiva kwa njia ya mtoa uzi huu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada Ya Maharage kuiva.. Chambua mchele vizuri uoshe kisha mwga maji yote. Tia katika mfuko wa rambo kulingana na kiasi cha mchele wako.

weka mchele wote kwenye mfuko weka mafuta yakupikia na chumvi funga mfuko wako vizuri, tafuta sufuria kubwa jaza maji yakiwa na mfuko wenye mchele wako.. acha maji mpaka yatokote kwa dakika tatu tano flani.

Ukiipiua utakua umepata maji yakuogea kwa mikoa yenye baridi huku ukila wali maharage matata kabisa.

NB. Nilikua nakula wali bwenini bila kujua naupikaje maana hakukua na jiko mi ni mwendo wa heater na ndoo ya maji tuu huku arage likiiva kwa njia ya mtoa uzi huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitaijaribu hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom