toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Nieleweshe zaidi hapaKuna vitu umechanganya hapa asee, sikuelewi kabisa.
Zoezi hili lifanyike masaa 5-8 kabla ya muda unaotaka kuyaunga, njia hii niliitumia sana miaka ya ubachera nikiwa na jiko la mchina lile la mafuta, ambalo likiingiza hewa linalipuka.
Sent using Jamii Forums mobile app