Jinsi ya kupika maharage kwa njia rahisi bila kutumia gharama kubwa

Jinsi ya kupika maharage kwa njia rahisi bila kutumia gharama kubwa

Nunua thermos zile kubwa za lita 2.5 au zaidi but siyo lazima ila thermos kubwa inakuwasaidia kwa mambo mengi.

Ukiwa umeshanunua maharagwe yako na kuyasafisha, chemsha maji kulingana na maharagwe yako, maji yakichemka nyuzi joto zinazotakiwa mimina kwenye thermos na yale maharagwe.

Zoezi hili lifanyike masaa 5-8 kabla ya muda unaotaka kuyaunga, njia hii niliitumia sana miaka ya ubachera nikiwa na jiko la mchina lile la mafuta, ambalo likiingiza hewa linalipuka.
Mkuu hapo kwenye jiko nifafanulie plZzzz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nunua thermos zile kubwa za lita 2.5 au zaidi but siyo lazima ila thermos kubwa inakuwasaidia kwa mambo mengi.

Ukiwa umeshanunua maharagwe yako na kuyasafisha, chemsha maji kulingana na maharagwe yako, maji yakichemka nyuzi joto zinazotakiwa mimina kwenye thermos na yale maharagwe.

Zoezi hili lifanyike masaa 5-8 kabla ya muda unaotaka kuyaunga, njia hii niliitumia sana miaka ya ubachera nikiwa na jiko la mchina lile la mafuta, ambalo likiingiza hewa linalipuka.
Jee nikiweka kwenye hiyo chupa more than 6 hours kuna shida?vp nikiloweka toka jana yake nije tena kuyaweka kwenye thermos kwa hizo 5 five hours then nikachemsha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nunua thermos zile kubwa za lita 2.5 au zaidi but siyo lazima ila thermos kubwa inakuwasaidia kwa mambo mengi.

Ukiwa umeshanunua maharagwe yako na kuyasafisha, chemsha maji kulingana na maharagwe yako, maji yakichemka nyuzi joto zinazotakiwa mimina kwenye thermos na yale maharagwe.

Zoezi hili lifanyike masaa 5-8 kabla ya muda unaotaka kuyaunga, njia hii niliitumia sana miaka ya ubachera nikiwa na jiko la mchina lile la mafuta, ambalo likiingiza hewa linalipuka.


Aisee, sayansi hii nani alikufundisha??

Very brilliance.
 
Hivi unajua kutumia gas ni cheaper kuliko mkaa?

Ule mtungi mdogo kuujaza ni 19,000 ambayo kwa matumizi ya rough inamaliza mwezi na matumizi ya kistaarabu ni zaidi ya mwezi. Ambapo ukisema ujiachie tu kwa huo mwezi mmoja utakuwa unatumia gas ya approximately 640 kwa siku. Kwa nnavyoonaga watu wanaotumia mkaa, sidhani kama mkaa wa 1,000 unatosha matumizi ya siku nzima.

So ukipiga mahesabu utagundua kwamba matumizi ya mkaa ni gharama sana.Bila kusahau gas inakuokolea muda wa kuanza kuwasha mkaa na kusubiria mpaka ushike moto pia utachangia kutunza mazingira japo kidogo.

Ushauri wangu.....achana na mkaa hamia kwenye gas.

Na mbinu za kuivisha maharage kwa haraka bila kutumia moto mwingi umeshapewa za kutosha ila niongezee tu kuwa ukienda sokoni utakutana na maharage mabichi na yenyewe hayachukui muda mrefu kuiva.
Ufafanuzi mzuri.
Ila kuhusu maharage mabichi sijui ni mimi tu? Naonaga hayanogi yamepooza sana.
 
Kuna vitu umechanganya hapa asee, sikuelewi kabisa.
(A) Jee nikiweka kwenye hiyo chupa more than 6 hours kuna shida?
(B) vp nikiloweka toka jana yake nije tena kuyaweka kwenye thermos kwa hizo 5 five hours then nikachemsha?
 
Back
Top Bottom