Nunua pressure cooker kama hauna. Kisha nunua maharage loweka nenda kazini (Kama ni magumu), ila pia sio lazima kuloweka. Tia kwenye pressure cooker maharage yako, washa jiko lako nusu saa yameiva.
Maharage mabichi sio kabisa hupati ladhaUfafanuzi mzuri.
Ila kuhusu maharage mabichi sijui ni mimi tu? Naonaga hayanogi yamepooza sana.
nauliza mkuu majiko hayo ya kichina sio maharagwe.
Noma sana hiiBaada Ya Maharage kuiva.. Chambua mchele vizuri uoshe kisha mwga maji yote. Tia katika mfuko wa rambo kulingana na kiasi cha mchele wako.
weka mchele wote kwenye mfuko weka mafuta yakupikia na chumvi funga mfuko wako vizuri, tafuta sufuria kubwa jaza maji yakiwa na mfuko wenye mchele wako.. acha maji mpaka yatokote kwa dakika tatu tano flani.
Ukiipiua utakua umepata maji yakuogea kwa mikoa yenye baridi huku ukila wali maharage matata kabisa.
NB. Nilikua nakula wali bwenini bila kujua naupikaje maana hakukua na jiko mi ni mwendo wa heater na ndoo ya maji tuu huku arage likiiva kwa njia ya mtoa uzi huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28],
mie pia nimeshtuka imenibidi niende kuchungulia jukwaa la technology labda kuna mapya.
Nunua thermos zile kubwa za lita 2.5 au zaidi but siyo lazima ila thermos kubwa inakuwasaidia kwa mambo mengi.
Ukiwa umeshanunua maharagwe yako na kuyasafisha, chemsha maji kulingana na maharagwe yako, maji yakichemka nyuzi joto zinazotakiwa mimina kwenye thermos na yale maharagwe.
Zoezi hili lifanyike masaa 5-8 kabla ya muda unaotaka kuyaunga, njia hii niliitumia sana miaka ya ubachera nikiwa na jiko la mchina lile la mafuta, ambalo likiingiza hewa linalipuka.
Baada Ya Maharage kuiva.. Chambua mchele vizuri uoshe kisha mwga maji yote. Tia katika mfuko wa rambo kulingana na kiasi cha mchele wako.
weka mchele wote kwenye mfuko weka mafuta yakupikia na chumvi funga mfuko wako vizuri, tafuta sufuria kubwa jaza maji yakiwa na mfuko wenye mchele wako.. acha maji mpaka yatokote kwa dakika tatu tano flani.
Ukiipiua utakua umepata maji yakuogea kwa mikoa yenye baridi huku ukila wali maharage matata kabisa.
NB. Nilikua nakula wali bwenini bila kujua naupikaje maana hakukua na jiko mi ni mwendo wa heater na ndoo ya maji tuu huku arage likiiva kwa njia ya mtoa uzi huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28],
mie pia nimeshtuka imenibidi niende kuchungulia jukwaa la technology labda kuna mapya.
Umewazungusha sana, njia rahisi ni chukua maharage yako, yaloeke kwenye maji ya baridi tuu kwa masaa 6-7 yatakuwa yashavimba=kulainika.
Then baada ya hapo unayainjika kwa dakika 20-30, yanakuwa tayari kwa kuliwa. Na quality yake inabaki palepale.
NB: Ukiyaloeka kwa masaa zaidi ya 24, utakuta yashaota. Hizi techniques tunaiga toka vijijini tulikotokea ambapo mvua ikiwahi kunyesha na ikakukuta hujapanda, basi unachofanya unaloeka mbegu zako kwa siku moja, baada ya saa 24 zinakuwa zishaota ndio unazipanda. Ukipanda leo kesho yake unakuta zimeshachomoza.
Unforgetable
Baada Ya Maharage kuiva.. Chambua mchele vizuri uoshe kisha mwga maji yote. Tia katika mfuko wa rambo kulingana na kiasi cha mchele wako.
weka mchele wote kwenye mfuko weka mafuta yakupikia na chumvi funga mfuko wako vizuri, tafuta sufuria kubwa jaza maji yakiwa na mfuko wenye mchele wako.. acha maji mpaka yatokote kwa dakika tatu tano flani.
Ukiipiua utakua umepata maji yakuogea kwa mikoa yenye baridi huku ukila wali maharage matata kabisa.
NB. Nilikua nakula wali bwenini bila kujua naupikaje maana hakukua na jiko mi ni mwendo wa heater na ndoo ya maji tuu huku arage likiiva kwa njia ya mtoa uzi huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maharagwe ya kijani sijawahi kuonana nayo, miaka hiyo yaliyokuwa yanapatikana ni rangi nyekundu nk
π π π , ongeza siku mkuu.
Nitaijaribu hiiBaada Ya Maharage kuiva.. Chambua mchele vizuri uoshe kisha mwga maji yote. Tia katika mfuko wa rambo kulingana na kiasi cha mchele wako.
weka mchele wote kwenye mfuko weka mafuta yakupikia na chumvi funga mfuko wako vizuri, tafuta sufuria kubwa jaza maji yakiwa na mfuko wenye mchele wako.. acha maji mpaka yatokote kwa dakika tatu tano flani.
Ukiipiua utakua umepata maji yakuogea kwa mikoa yenye baridi huku ukila wali maharage matata kabisa.
NB. Nilikua nakula wali bwenini bila kujua naupikaje maana hakukua na jiko mi ni mwendo wa heater na ndoo ya maji tuu huku arage likiiva kwa njia ya mtoa uzi huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunazungumzia muda wa kuyapika pia...Pressure cooker inafaa zaidi mengine ni dalili za Umasikini