Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
😊😊😊Ndizi mpwiko?
We nae nimeona kuandika ndizi zilizopikwa nitatumia maneno mengi nikaamua kufupisha kama NDIZI MPWIKO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😊😊😊Ndizi mpwiko?
Ni kweliUsijali kunawatu hawawez kula kande Wala wali wa kuchanganya na maharage au choroko ila wengine wanakula
sawa wewe ni mkazi wa tanga?Ni kawaida usijali kilamtu kunakitu hawez kula
Okay okay 😊😊 ndo dinner nini hatukaribishani jirani??Achana nae huyo 😀
Ukila ndiz mvivu zinakuwa pombe au kwakuwa zimepikwa😀
sawaHapana
Ukipika kingine utanitag mkuuKishaliwa saa11 nilimpikia mdogowangu anazipenda sana
Haiwez kuwa raw had zikae baada ya muda hata chai Inakuwa wanzuki haimaniishi watu wasinywe chaiNdizi mbivu kama tunda is okay ila zikishapikwa zinakidhi kuwa raw material ya kutengeneza pombe.
Ndizi mbivu ikishapikwa siyo swala la muda ipe siku moja max mbili ni raw material tosha.Haiwez kuwa raw had zikae baada ya muda hata chai Inakuwa wanzuki haimaniishi watu wasinywe chai
Mahindi yakipikwa yanakuwa pombe lakin haimaniishi watu wasile makande
Mh, nje ya mada wewe dada unaonekana...............hakuna mwanamke anayejua mapishi halafu asijue...............huo ubunifu unaouona kwenye mapishi upo mpaka kwenye.............Leo nimewaletea recipe hii ya kupika ndizi mzuzu zilizoiva za Nazi
Ah anasema kibamia yeye hawezi vumiliaSijui mzabzab alifeli wapi kuchukua hii pisi na kuweka ndani full masotojo tu
Unakula halafu unaanza kula