Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani, naona umekereka.Hapana mkuu ila Dah
Aaliyyah kumbe umemkataa mwanetu kisa kibamiaAh anasema kibamia yeye hawezi vumilia
mzabzabMwambie aweke picha nione kama kweli🤣
Hua naogopa Sana kula chakula ambacho sijakizoea, Kuna mtu alinambia yy fundi wa mapishi kajisifia kinoma nkamualika anipikie wali samaki... nkamwachia kibunda mi nikaenda kucheki game, eeee bn weeee 😂😂😂 nashukuru Mungu mpaka saiv naendelea kula samaki almanusura iwe mwisho😀😀Njoo ujifunze kula vyakula tofaut
Ni chakula kinachopikwa sana na kinapendwa hasa pwani
Usipende wali maharage Kila siku😀😀
Kilikuwaje🤣🤣Hua naogopa Sana kula chakula ambacho sijakizoea, Kuna mtu alinambia yy fundi wa mapishi kajisifia kinoma nkamualika anipikie wali samaki... nkamwachia kibunda mi nikaenda kucheki game, eeee bn weeee 😂😂😂 nashukuru Mungu mpaka saiv naendelea kula samaki almanusura iwe mwisho
Huwa napenda kujaribu vitu vipya kilawakati ila nachofanya napika chakula kipya nikiwa kama najifunza sifanyi kuwa ni special kwa walaji hata kma nipo pekeyangu ili ikitokea nimetoa Boko Huwa nakuwa na mbadalaHua naogopa Sana kula chakula ambacho sijakizoea, Kuna mtu alinambia yy fundi wa mapishi kajisifia kinoma nkamualika anipikie wali samaki... nkamwachia kibunda mi nikaenda kucheki game, eeee bn weeee 😂😂😂 nashukuru Mungu mpaka saiv naendelea kula samaki almanusura iwe mwisho
Ndizi ikikosa nyama si ni mihogo tu mkuu!Natumaini mkopoa
Wapenz wa ndizi ,Ndizi mzuzu zikiiva msitupe
Leo nimewaletea recipe hii ya kupika ndizi mzuzu zilizoiva za Nazi
MAHITAJI
Naz
Ndiz zilizoiva
Iriki iliyosagwa ama nzima
Sukari kama hupendi tumia chumvi
Hatua ya kwanza
Menya ndizi kata vipande vinne
Kama unatumia Nazi ya kawaida chuja tui la kwanza zito (bubu)na tui la pili weka pekeyake
Kama unatumia ya pakti bas andaa Nazi Yako weka maji kidogo kwakuwa huwa nzito sana
Hatua ya pili
Bandika sufuria ama pan weka ndiz zako Kisha weka tui la Nazi
La pili lile jepes kama unatumia Nazi ya pakti weka maji(maji yasiwe mengi)Kisha weka iriki funika acha ichemke had maji yakikauka
Hatua ya Tatu
Maji yakikauka weka sukari kma hupendi weka chumvi Kisha mimina tui la lile zito tikisa sufuria taratibu had vichanganyike usikoroge koroge na mwiko vitapondeka acha vichemke Kwa dakika 5 zitakuwa tayari View attachment 3099784View attachment 3099785View attachment 3099786
Mi nishazoea samaki wa kukaanga yy akanunua wale wabichi kipande kikubwa akakipika hivo hivo....wali ulikua mzuri mchuzi upo vizuri sema Sasa nlikuwa nikichukua mnofu hv Ile ngozi ya samaki inabaki ni kama inajitenga hv....baadae akauliza samaki wabichi watamu eeee😂 nlikuwa wa nimechukuaa wali niweke mdomoni niliufinyanga kimtindo nikautupa kwenye vyombo bila yy kuona, nliokuwa nataka niumeze umekwama macho yanataka kulia huku nataka kutapika na kumwambia ukwel siwezi......nyie watu wanyamwezi sio watuKilikuwaje🤣🤣
Ntakula vile vile nlivyokua navila ikiongezeka sana labda viongezewe viambata kidogo vinginevyo tutatapishana bureeHuwa napenda kujaribu vitu vipya kilawakati ila nachofanya napika chakula kipya nikiwa kama najifunza sifanyi kuwa ni special kwa walaji hata kma nipo pekeyangu ili ikitokea nimetoa Boko Huwa nakuwa na mbadala
Mfano niliwah weka kiungo flani kwenye mboga sikukadiria ikabadili labda ya mchuz kabisa sikupenda
So nakuwa makini sana
Nilikula kwa mpemba mmoja, ni tamu hii kitu balaa......Mmh! Haya mapishi mengine jamani
Ndizi mbivu+nazi 😃
Asante Kwa ushuhuda ukowapi?Nilikula kwa mpemba mmoja, ni tamu hii kitu balaa......
Mi labda Nile ulopika wewe! tofauti na hapo apana Kwa kweliAsante Kwa ushuhuda ukowapi?
Mpaji Mungu njoo umsikilize eve nawe ujaribu
Yaan navojitetea nikipika kitu kipya 😀had watu wataonja sikumoja nilipata mgeni nilipika makange na ugali nikamkaangia na karanga za mayai na vikokotoo nikagundua hapend sukari 😀Ntakula vile vile nlivyokua navila ikiongezeka sana labda viongezewe viambata kidogo vinginevyo tutatapishana buree
Siku ya kwanza pika tu Ile misosi common kadri mtakavozoeana ndio ufanye inducement ya tuvitu vituYaan navojitetea nikipika kitu kipya 😀had watu wataonja sikumoja nilipata mgeni nilipika makange na ugali nikamkaangia na karanga za mayai na vikokotoo nikagundua hapend sukari 😀
Aisee hakuna kitu kinaniuma nipike kitu alafu mtu asile nilijielezea had akakubali kula kidogo zingine nikamfungia sijui kama alikula au aligawa ila niliridhika
Nitakupigia naogaaaa😹Asante Kwa ushuhuda ukowapi?
Mpaji Mungu njoo umsikilize eve nawe ujaribu