Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Jinsi ya kushinda michezo ya kamari

Mimi nakumbuka ile habar ya yule Ustadhi aliyekuwa anafundisha kukuza dhakari(uume) kwa kutumia unga fulani (jina nimesahau), baada ya muda ule Unga uliadimika kabisa
 
Oooh hongera, kwahiyo lini ni siku yako na lini ni saa yako ya bahati?
Hata idadi ya kumbukumbu nimesahau mkuu, cha kufanya unatakiwa ufahamu ili kuweza kushinda lazima ujue siku yako ya bahati na saa ndio ufanye,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent from my ONE TOUCH 4033D using Tapatalk
 
Haya nenda mada za chit chat ndio zinakufaa hasa ile ya wenye stress mdogo wangu, huku intelligence kama una stress patakuboa tu utatukana mtu upigwe ban

sawa great sinker
 
Mkuu hayo maneno ni maneno yanayotoka kwenye lugha ya kiromania kutoka kwa majini wa kabila la kiroman maana yake ni
'kuwahisha usonto(uonyeshi) tendo la ushindi" hapa target ikiwa ni kamari zote

Rakims
Vipi kuhusu kubet mkuu unaweza kutumia pia?
 
Back
Top Bottom