Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umesema ulozi ndio nimekuuliza kikwenu?
hapo ndio fikra zako zimeishia
Hata idadi ya kumbukumbu nimesahau mkuu, cha kufanya unatakiwa ufahamu ili kuweza kushinda lazima ujue siku yako ya bahati na saa ndio ufanye,
Haya nenda mada za chit chat ndio zinakufaa hasa ile ya wenye stress mdogo wangu, huku intelligence kama una stress patakuboa tu utatukana mtu upigwe banhuo ni mwendelezo wa zilipoishia zako
Hata idadi ya kumbukumbu nimesahau mkuu, cha kufanya unatakiwa ufahamu ili kuweza kushinda lazima ujue siku yako ya bahati na saa ndio ufanye,
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya nenda mada za chit chat ndio zinakufaa hasa ile ya wenye stress mdogo wangu, huku intelligence kama una stress patakuboa tu utatukana mtu upigwe banhuo ni mwendelezo wa zilipoishia zako
ukifahamu?
Kila mtu ana siku zake mkuu sio kwamba wote tunatumia moja..Kwani nini lengo la thread?
Sent from my ONE TOUCH 4033D using Tapatalk
Haya nenda mada za chit chat ndio zinakufaa hasa ile ya wenye stress mdogo wangu, huku intelligence kama una stress patakuboa tu utatukana mtu upigwe ban
Wewe ndio yakobo? [emoji41]Uchawi huo maana imeandikwa usimwanamke mchawi kuishi na pia imeandikwa Hapana uganga wala uchawi juu ya Yakobo.!!;maneno hayo ya Mungu yawe halisi kwako wewe uliyepost ujumbe huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kuhusu kubet mkuu unaweza kutumia pia?Mkuu hayo maneno ni maneno yanayotoka kwenye lugha ya kiromania kutoka kwa majini wa kabila la kiroman maana yake ni
'kuwahisha usonto(uonyeshi) tendo la ushindi" hapa target ikiwa ni kamari zote
Rakims