Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)


Dah umeniogopesha sana aisee
 
Imagination zako tu.

Unazania kuwa unajua kila kitu. Vitu vyote unaviongelea mimi nimefanya zamani sana, hata kujua bruce lee alikufaje nimejua kwa astra projection au nikwambie mengine ambayo hayajawahi andikwa na kitabu chochote Rankims. Initiation Mwaka 1983, nimepita ngazi zote.
 

Imani itabakia kuwa imani tuu hata kama ikokubwa kiasi gani au inashabihina na kwele kwa karibu sana bado sio lazima kuwa ndio ukweli mpaka utakapo tambua kuw ni kweli, ukweli hutafutwa. Ww unaamini sana lakini Rankims ana practice utambua ukweli
 
Nimeijaribu hii kitu kwa kufuata maelekezo yako yote lakini hali yangu ilibaki vile vile kwa zaidi ya nusu saa tangu nilipojilaza. Labda unijuze inachukua muda gani mpaka hatua zote kukamilika?

Sio kitu cha mara moja na njia zinafanana kwa kila. Jaribu kufunga pia kwani it is easy on a weak body and give up mind.
 

Lengo sio kupaa tuu bali kujua. Hivi unajua kwa nini unaishi? Kwa nini huliziki? Kwani nini unataka? Kwani ni mwoga wa kufa wakati unajua lazima utakufa tuu. Licha kuishi kwa miaka mingi vizee vya miaka mingi bado havitaki kufa? Nini hajakifanya na akikifanya atalizika.
 

Daaaa. .... umenivunja mbavu sana.
 
Imani itabakia kuwa imani tuu hata kama ikokubwa kiasi gani au inashabihina na kwele kwa karibu sana bado sio lazima kuwa ndio ukweli mpaka utakapo tambua kuw ni kweli, ukweli hutafutwa. Ww unaamini sana lakini Rankims ana practice utambua ukweli

FYI: The two great spiritualia realities which face all of humans are God's Kingdom and Satan's regnum. The Omnipotent God has supreme auctoritate over the universe, and He is served by a large number of anguli and humans. The devil's counterfeit regnum arose from a prehistoric seditionem against God's kingdom, and in its composition it shows clear signs of imitating the regnum of God.

So, when you act against the Kingdom of God, you are automatically executing the laws of the Diabolical kingdom.
 
mmmmnh mnatoka nje ya mwili mnaenda wapi?:noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea:
 

Naomba unieleze mambo yafuatayo kwann yanatokea wakati mtu amelala chalii tu

i.kufikiri kwa makini na kulala chalii
ii.kupumzisha mwili(relaxing) na kulala chali.
iii.ndoto za ajabu mfano kupaa,kupambana na wanyama,mauaji na kulala chali.
iv.majinamizi(kujiskia km vke unanyongwa unapoteza pumzi) wakati umelala chali..
v.kutoka nje ya mwili(astral projection) wakati mtu amelala chali.
vi.mtu akifa analazwa chali.

Pia je mtu anapolala chali ubongo huwa anajisogea kwenda nyumaa toka utosini?
 
Last edited by a moderator:
Hii kitu nimeipenda sana leo ni lazima nisafiri na safari yangu ya kwanza kwa obama
 
Mimi imewahi kunitokea mara kadhaa nikiwa nimelala chali. Afadhali nimejua chanzo.
 
Duh ni noma nmefanya sahv nmejickia km nataka ku paralize nikafumbua macho fasta duh hatar
 
mmmmnh mnatoka nje ya mwili mnaenda wapi?:noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea::noidea:

Mda huu huko na nani kitandani? Kama upo mwenyewe hebu jaribu bila kuogopa tutakutana ktk hali mpya..
 

Good 4 You!

"Rakims"
 
Haya poa,nisubiri... nisikute umekufa tu...:lol::lol:

Kuna Maeneo Ya Chitchat Na Jokes Humu Humu But Dis One Is Intelligence ningetaka Kufurahisha Huu Uzi Kwa Jokes Ningepeleka Huko Lakini Hapa Nimepostia Wapo Wanaotumia Akili Nyingi Nguvu Kidogo.. Even If Your Not Just Try To Differentiate Haya Majukwaa Ok? Jestina Na Mwenzio Au Kama Mmependa Kufanyia Utani Huu Uzi Waweza Ucopy Kule Mkauchezee Vizuri...
msiamshe hisia zilizozikwa zamani sana...


Rakims
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…