Haya poa,nisubiri... nisikute umekufa tu...:lol::lol:
Kuna Maeneo Ya Chitchat Na Jokes Humu Humu But Dis One Is Intelligence ningetaka Kufurahisha Huu Uzi Kwa Jokes Ningepeleka Huko Lakini Hapa Nimepostia Wapo Wanaotumia Akili Nyingi Nguvu Kidogo.. Even If Your Not Just Try To Differentiate Haya Majukwaa Ok? Jestina Na Mwenzio Au Kama Mmependa Kufanyia Utani Huu Uzi Waweza Ucopy Kule Mkauchezee Vizuri...
msiamshe hisia zilizozikwa zamani sana...
Rakims
Kuna Maeneo Ya Chitchat Na Jokes Humu Humu But Dis One Is Intelligence ningetaka Kufurahisha Huu Uzi Kwa Jokes Ningepeleka Huko Lakini Hapa Nimepostia Wapo Wanaotumia Akili Nyingi Nguvu Kidogo.. Even If Your Not Just Try To Differentiate Haya Majukwaa Ok? Jestina Na Mwenzio Au Kama Mmependa Kufanyia Utani Huu Uzi Waweza Ucopy Kule Mkauchezee Vizuri...
msiamshe hisia zilizozikwa zamani sana...
Rakims
Rakim
Mkuu Rakims, naomba kusisitiza astra projection ni astra projection tuu!, kwa kifupi unafundisha watu kufanya "out of body!"
sijakataa wewe kutoa mafunzo, ila nimekutahadharisha wafundishe hao wanafunzi wako, the consequences za out of body!, hiyo silver cord ni kama utando wa buibui!, mtu ukiwa kwenye out of body, ukitingishwa, inakatika na ndio safari!.
Haya yote ni 'power manifestation', wafundishe hao wanaotaka kutoka out of body, wanatoka ili iweje?!.
Hizi stages za juu sana na zinafanywa kwa lengo maalum, naona wewe kama unawafundisha watu humu wafanye astral projection for fun!.
Kwa wale wasomaji wa uzi huu, nawasisitizia "don't try do anything you real don't know!". Na kwa wenye nia ya kufanya, kabla hujafanya kitu chochote, lazima kwanza ujiulize "what for", na swali la pili, "do I have to do this?!", yaani unafanya ili iweje?, na jee ni kweli unahitaji kwenda "out of body?!." ili ukafanye mini?!.
Kwa msio jua, hizi ni powers ambazo kila mmoja wetu anazo!, hata bila kufuata maelekezo yoyote ya Rakims, watu wengi hutokewa na "out of body" bila kijua, na mfano mzuri ni ndoto za majinamizi, wengi hujikuta awake lakini hawezi kutingisha mwili au kupiga kelele, ni katika kule kustrain, ndipo unaamka na kijasho juu huku unahema!.
Wachawi na wanga, kabla hawamchukua mtu, humpiga hiyo ganzi, nyinyi mnamuona kalala, kumbe analimishwa usiku kucha!.
Wachawi wote hutumia hii out of body kukutana na kupanga mambo yao, hivyo kwenda out of body bila guidance, una bog chances au kukumbwa na wazee wa kupaa usiku ukaenda kufanyiwa initiation za kushiriki zile "karamu zao za usiku", na kuonjeshwa!, ukishaonja tuu!, huachi!.
Angalieni msiwapoteze watu wakajikuta wanaenda kusiko, na mwisho wa siku ni 'ever forward!, no turning back!"
Please watch out na kuweni waangalifu sana!.
Waponyaji wanazitumia nguvu hizi kuponyeshea, na wachawi wanazitumia kulogea!.
Masikini wanashindwa kuzitumia kwa kutojua, na matajiri, wanazitumia kutajirikia!.
Ningefurahi kama mafunzo yangekuwa how to use them to make a difference and not how to use them for fun!, kujifurahishia tuu!.
Pasco
Aisee, hii ngumu kujaribu. Inatisha
Rakims
Ukiwa tayari umeshatoka kwenye mwili wako, sawa unakua na figure kamili ya binadamu lakin movement unazifanyaje kama kugeuka kutembea coz umesema unaeza enda hata ulaya hiyo speed ya movement inakuaje.? je, vyote hivyo vyote akili ndo inakua inacontrol bila physical action i mean inakua kama image flani inakua formed kichwani. Au unaona kila kitu katika hali halisi kama ya ubinadamu kama vile unaweza kuendesha gari ili ufike mahali na barabarani ukapishana magari katika hali ya uhalisia mengine bila wao kujua kama hiyo gari inaendeshwa na "spirit".?
Pia inakuaje kama pale ulipokua kwa wakati huo inatokea any real physical disturbance kama vile umeingia ndani ya jengo fulani then likaporomoka na sehemu uliyopo ikawa disturbed na real physical object kama matofali etc na vp kuhusu kuwa na emotions.?
kwani siwezi kufanya bila kuoga na bila kuvaa nguo safi?
Kusafiri na kuona dunia jinsi ilivyo kwani watu waaokwenda angani wanakwenda kufanya nini huko miaka ya nyuma?
Ina maana unaweza kwenda mpaka mbinguni.? Na ulaya pia.? Na huwa mnapishana na watu au viumbe vyengine.? Na unapokuwa katika hali hiyo unakuwa na akili .? Na ikitokea jambo la ghafla kama moto unaweza kuwahi kurudi huko uliko kabla hujaungua.? Na unarudi vipi kwenye real world.? Naomba kujua pls .
hapo ni pale ubongo ukichelewa kuactivate safe paralysis kwenye mwili hii hisababisha hata kuongea hovyo kitandani na sababu hasa ni pale mtu anaposinzia hovyo kwenye makochi na kuamshwa amshwa akalale ndani zaidi ya mara tatu... Ahsante
munrash
"Rakims"
fanya mkuu ndio utajua wanachosema ni kipi angalau hata ufikie kwenye safe paralysis ili uprove ni mida gani ile ganzi inakuwepo...
Tuko
ungekuwa unajua hapo ungevuta pumzi tatu za kawaida huku umetulia ukatoka hapo hapo pembeni unajiangalia halafu unarudi ndio mwanzo wa experience huo mkuu
@-----
mbinguni hufiki sayari zingine unafika mawinguni unafika.. unapokuwa in astral ni wewe na akili ni zako timamu na kila unachofanya ni kwa mapenzi yako kama vile sasa hivi unatembea unakula as u wish pia kurudi unakuwa na kitu kinaitwa silver cord inayowaunganisha wewe na ule mwili wako in case ukipotea ukijihisi tofauti inakurudisha yenyewe pia... hakuna anaeweza kuikata zaidi ya mwenyezi mungu aliekuumba tu in case umepotea ukitiza unaiona cold hiyo....
Rakims
Nataka kujaribu mkuu.lakini nitaanzaje kupaa na kuzunguka.? Na naweza kuona hata kusikia watu majumbani au disco.? Na kuna uwezekano wa kuongea na wafu.? Ina maana huko nakuwa peke yangu .?
ndo inakuwaje kuwaje mkuu watu 8