Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

nomal mwili wako uta send signal na utarudi kwa wakat ni vile umelala mtu anakuja kukuamsha just the same like that!@ mzuvendi
 

daaaa mie ndo najarbu sahv lakn nashndwaaa,,yan macho yakifka sehem flan yanang'ang'ania kufumbuka yan mpaka nayafumbua tu nwenyewe daaah
 
Last edited by a moderator:
Kweli wewe ni mwanga. Kunasiku utajikuta huwezi kurudi, utaendelea kuzurura huko uchawini kwa muda gani kabla hujaanza kuoza huku?


Ni Sharti Moja Tu Uwe Na Akili Timamu Na Uelewa Maana Sifundishi Watoto Kwenda Kukamata Panzi In Spirit Form...
 
daaah hivi kwann mie nashndwa kila mara kufanya hvyo heb nipen maelezo kidogo ni wap nakosea hcho mimi ninacho sema nashndwa sasa kutumia toka jana nalala vile lakn sion kinachotokea
 
mimi sio mtaalam sana mkuu ila uoga nitatizo just say u can do it utaenda vizur na huwezi kufanya mara moja tu ukaweza mazoezi yana hitajika mkuu..

hahahaha acha uoga mkuu ww fanya tu aiseee ,,uende safar ya mbali dadeeeeeki c mchezo ila ndo vile ukicheza mazma unaondoka
 
hahahaha acha uoga mkuu ww fanya tu aiseee ,,uende safar ya mbali dadeeeeeki c mchezo ila ndo vile ukicheza mazma unaondoka

mazima hakuna iyo kitu mi siiamini mkuu... tunashauriwa kufanya vile vitu tunavyo viogopa .... misiogopi mkuu
 
mazima hakuna iyo kitu mi siiamini mkuu... tunashauriwa kufanya vile vitu tunavyo viogopa .... misiogopi mkuu

mkuu huamin vp aisee wakat tayar ushaweza kwenda had state ya kuparalyzed aiseee,kama vp jikaze mwl uendelee kuparalyzed had kichwan aiseee ndo unyanyuke
 
mkuu huamin vp aisee wakat tayar ushaweza kwenda had state ya kuparalyzed aiseee,kama vp jikaze mwl uendelee kuparalyzed had kichwan aiseee ndo unyanyuke

ku paralyze unaogapa coz unakua unashuhudia tu...ila ukiwa fofo unakua hiyo hali inakuwa ishakutokea na ww huja jua... mandoto yanakujia unapaa n.k sasa hii astra unakua unashuhudia live processes zinavo fanyika so ukifikiria unaona hakuna haja ya kuogopa. ni ku enjoy matrip tu mkuj
 
Mkuu Rakims........naomba nieleweshe..........naweza kutoka nikaenda kumtembelea mtu.........?......kuna rafiki zangu nimewamiss halafu wapo mbali.........japo niwaone tu.......maana najua sitaweza kuwaongelesha.............
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Rakims........naomba nieleweshe..........naweza kutoka nikaenda kumtembelea mtu.........?......kuna rafiki zangu nimewamiss halafu wapo mbali.........japo niwaone tu.......maana najua sitaweza kuwaongelesha.............

Njoo nikutoe unaangaika na rakim wa nini tomasa na massage za kutosha utasinzia tuuh!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…