Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)


kulala ni chali kama kawaida popote kitandani chini ishu ni pale patakapo kufanya ujiskie confortable.. kuhesabu mia kuja chini hadi hapo umefail maana ulikuwa unafanya kitu kingine na macho hukutuliza... thats all u have to correct...
 
kulala ni chali kama kawaida popote kitandani chini ishu ni pale patakapo kufanya ujiskie confortable.. kuhesabu mia kuja chini hadi hapo umefail maana ulikuwa unafanya kitu kingine na macho hukutuliza... thats all u have to correct...

!
!
majibu yako yamechelewa sana, kwa hiyo mrejesho ni kesho mkuu.
 
!
!
nshajichokea mkuu, huenda nimekazana kuwinda katika pori ambalo halina wanyama. Unaweza kukuta huko nje pako fresh sana basi tu

Hahahahah na kwel cku ukofanikiwa kwenda angalia kukoje ukiona kupo mzuka we jiachie tu haha
 
kulala ni chali kama kawaida popote kitandani chini ishu ni pale patakapo kufanya ujiskie confortable.. kuhesabu mia kuja chini hadi hapo umefail maana ulikuwa unafanya kitu kingine na macho hukutuliza... thats all u have to correct...

mkuu Rakims naomba niulize
nikiweza kufanikisha hiyo kitu
je ntaweza kuongea na mtu mwingine aliyelala(aliye usingizini) ?

.made in mby city.
 
Last edited by a moderator:

Kama ndio hv Hii kuwa out of body hunitokea sana ila si kwa maamuzi yangu, (sijui ni ya nani maana siambatani na mtu nakuwa mwenyewe) ila kuna siku nilienda nje kidogo ya mahali ninapoishi nikakutana na viumbe vitatu vya kutisha havipo ktk hali ya kibinadamu vilinishambulia nilipofanikiwa kurudi ktk hali ya kawaida nilikosa amani sana na huwa sisahau. Pia huwa nakuwa ktk hali ya kupaa na sio kutembea.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Rakims!

usiku wa kuamkia leo nimejaribu hili zoezi kwa kwa takriban masaa 3 hivi na kufuata taratibu zote lakini sijafanikiwa, au kuna masharti mengine? ( mimi ni mtumiaji mzuri sana wa mmea wa kondeni a.k.a jani/ weeda)
 

Kwanza Kabisa Umesikia? right? pili kifo cha mtu hafi hovyo hovyo hivyo.. hadi wakati wake ufike ndio anakufa.. na binadamu hafi ila kwa amri ya mungu tu... ingekuwa kufa ni rahisi hivyo basi hata anadondoka chini angekuwa haponi...

Mwisho Na Tatu Unapokuwa Nje Ya Mwili Hakuna Anaekuona Zaidi Ya Mwenyezi Mungu.. Sasa Huyu Aliemuona Alikuwa Ni Nani? Na Alikuwa Ndani Ya nyumba ya Pepekale? au alikuwa nae kipindi katoka nje ya mwili? Think Big...

"Rakims"
 
Last edited by a moderator:
Malarkey. Hocus pocus with neither locus no focus.

pourquoi êtes-vous encore en train de lire et de commenter si Hocus pocus ni avec Locus aucun foyer

"Rakims"
 

Tuelekeze namna ya kuzitumia kwa manufaa...
 
Last edited by a moderator:
Kuna tofauti gani na Ndoto? na ukitoka utakachopata ni nini? na kama hii kitu ingekuwa ni kweli wapelelezi wangeitumia sana

haipo vile unavyoimagine ndani ya kichwa chako.... punguza kwanza imagination... if if if zisahau kwanza...

"Rakims"
 
mkuu Rakims naomba niulize
nikiweza kufanikisha hiyo kitu
je ntaweza kuongea na mtu mwingine aliyelala(aliye usingizini) ?

.made in mby city.

Vizuri Tu, Kuna Mengi Zaidi Ya Hayo.....

"Rakims"
 
Last edited by a moderator:
ulikua haujaoga mkuu na kingine ni lazima imani iwepo na uvute hisia kali kwenye ubongo wako

Kama issue ni imani Kali na hisia ambayo inafanya ujumla wa mind control.....sasa kwann kuwe na ulazima wa kuoga au kuvaa nguo safi Mara kujifungia ndani na masharti mengine ya aina hiyo????
 

mkuu hiyo ni power unayo kazi kwako kuiacha iendelee kuwa automatically au kuitumia na kuiongoza... kama ingekuwa kufa ni hovyo hovyo kama watu wanavyoimagine ungekufa zamani tu.. ila kama ni kwa amri ya mungu hadi pale siku atakapo kuhitaji...

"Rakims"
 
Mkuu Rakims!

usiku wa kuamkia leo nimejaribu hili zoezi kwa kwa takriban masaa 3 hivi na kufuata taratibu zote lakini sijafanikiwa, au kuna masharti mengine? ( mimi ni mtumiaji mzuri sana wa mmea wa kondeni a.k.a jani/ weeda)

Hapo Ni Sawa Na Kuchanganya Chumvi Na Sukari Kutegemea Kupata Asali Hakuna Masharti Hapo Sio Uchawi Huu....

"Rakims"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…