Jinsi ya kutongoza mwanamke msiyejuana (Barabarani, kwenye daladala au popote)

haya na wakishamaliza kutongoza wakuje kwenye uzi wetu wa rickboy watupe chochote kitu.
 
Nimesoma kidogo ila ndasoma tena, hafu ndaenda kufanya practical
 
[emoji1787] viumbe wenye hekaheka kuwahi tokea duniani.
😂😂Wote tuna hekaheka
nyie mnashinda saluni kubandika kucha zinawatesa kula, kuweka nywele hauogi kichwa, kuvaa viatu unatembea kama unapaa(mchuchumio), kujichubua, lipstick hadi huwezi kula icecream njiani nk. Nk.

nyie mnahangaika ili tuwatongoze...Sisi tunahangaika kuwatongoza😂..ngoma droo
 
Aaah mabingwa wa summerization au sio😂😂...Nlikuwaga nawapenda watu kama nyie ile asubuhi ya pepa hujasoma halafu unakuta watu wanataja summary tu unakariri unaingia...afu unakuta mulemule😂😂
Ndio hapo sasa kunukia kwingi lakin msisahau😆
 
Mwandishi Mfano wako mmoja unamuuliza mwanamke saloni ya mama kimbo iko wapi? Bro what the fvck
😂😂 Afu hawa ndio wamejaa,nakutana nao mara kibao wenye hizi swaga
 
Wanahangaika wenzangu, mie sina hata kimoja hapo hahaa
 
Yote hayo ni kwaajili ya mwanamke tuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…