Jioni yangu imekua mbaya ghafla😩😩😩😩😩


1. Tafuta fundi inaweza kuwa haijaungua yaweza kuwa ni shoti tu kwenye nyaya ukiwamo waya wa blender.

2. Muhimu usiwahi kujiaminisha imeungua bila kuthibitishwa na fundi mwenye kifaa mahsusi cha kupimia.

3. Tatizo linaweza kuwa dogo tu kama fuse ..
 
Huu uzi kuna mtu anatafutwa anunue brenda apige na kimasihara. Uzi umekaa kidangaji dangaji sana.
 
1. Tafuta fundi inaweza kuwa haijaungua yaweza kuwa ni shoti tu kwenye nyaya ukiwamo waya wa blender.

2. Muhimu usiwahi kujiaminisha imeungua bila kuthibitishwa na fundi mwenye kifaa mahsusi cha kupimia.

3. Tatizo linaweza kuwa dogo tu kama fuse ..
Huu uzi kuna mtu anatafutwa anunue brenda apige na kimasihara. Uzi umekaa kidangaji dangaji sana.
Huu uzi kuna mtu anatafutwa anunue brenda apige na kimasihara. Uzi umekaa kidangaji dangaji sana.
Niliipeleka Kwa fundi ikarudi kuitumia ndoivo ikawa inatoa harufu YA kuungua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…