Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
- Thread starter
- #41
HawanaPole sana mkuu. Kaazime kwa jirani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HawanaPole sana mkuu. Kaazime kwa jirani.
Una jirani mmoja tuJirani hana
Wacha weeeee mtaani kwenu we ndo donHawana
Unaishi alone? Dah achana na juice hebu chukua bolt uje hapa Kinyerezi, pole sana Ndugu yanguNimeandaa matunda parachich, Tango,Ndizi,passion,mchaichai Na tangawizi Ni juisi yangu pendwa Sana Huu mchanganyiko .
Nikasema niandae zangu baadae nikae nawatch movie huku nashushia juisi yangu....nimeanza kusaga tu Brenda ikaunguaðŸ˜...Yan nimeishiwa pozi...
wazee wa 'loose ball'..!Miss_Mariaah, njoo tusage juice huku... Nina blender aina ya chuma cha Pua.. 😋😋😋
Aaghh wapiUko wapi nikuletee Blenda mpya sa ivi?
Wewe umekua lini fundi mabrendaSio imetrip motor
Hii sikukuuu imekua changamoto sana, hahahaahahwazee wa 'loose ball'..!
Ila nimecheka..!😂😂
Hamaaaaaaaaaaa mtaa wa kifukaraWacha weeeee mtaani kwenu we ndo don
Mtumishi wa Bwana nakusalimia tu Mimi,Unaishi alone? Dah achana na juice hebu chukua bolt uje hapa Kinyerezi, pole sana Ndugu yangu
Malizia na kinu!Nimeandaa matunda parachich, Tango,Ndizi,passion,mchaichai Na tangawizi Ni juisi yangu pendwa Sana Huu mchanganyiko .
Nikasema niandae zangu baadae nikae nawatch movie huku nashushia juisi yangu....nimeanza kusaga tu Brenda ikaunguaðŸ˜...Yan nimeishiwa pozi...
Nakazia, mtaa gani huo mtaa mzima brenda 1....ona leo kuna dharura hamna msaadaHamaaaaaaaaaaa mtaa wa kifukara
Amen Mpendwa, naona Ndugu yangu anapata shida wakati hapa home tumeandaa kila kitu na tuko wenyewe, akaribie hapa Kinyerezi tuMtumishi wa Bwana nakusalimia tu Mimi,
Kheri ya Ufufuko wa Kristo Yesu..!!
Kipato huleta majivuno.Kama unaishi vizuri na majirani zako unaona shida gani kwenda wakuazime kwa leo.
😂😂Wacha weeeee mtaani kwenu we ndo don
Majirani zake si ndio Sisi?Kama unaishi vizuri na majirani zako unaona shida gani kwenda wakuazime kwa leo.