Jirani anafosi nimle, mimi naona so

Yaan sisi wa Tz bwana yaan simu inaita alafu ww unashangaa ..... πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kwa mujibu wa maelezo yako wewe ndo unaliwa na Utaendelea kupiga honi kila akikuagiza sokoni na kukulia hela zako
 
Mwambie imeandikwa
"Mwakwazo hayana budi kuja ila ole wake ayaletayo..........."

"usizini"
 
Maisha ya Uswazi yana raha zake bana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…