Jirani kalisahau wowowo lake nje

Umeonaeee. Yaani mbio Hazard kaja kutuhoji wana jf wakati anaewaumiza shingo anaye huko Mtaani.

Ila mdogo wangu kuna vidada havina aibu hata kidogo huenda kangejichekesha, basi na hapo Hazard angelainika na asingeendelea nayo tena.
Ni kweli kabisa, labda angemwambia pia kausha basi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…